Ojuolegbha
JF-Expert Member
- Sep 6, 2020
- 1,278
- 797
KAZI INAENDELEA! VIJIJI 28, WANANCHI 20,000 KUNUFAIKA NA MRADI WA UMWAGILIAJI MKOMAZI, KOROGWE TANGA
Mradi wa Mkomazi ni wa kihistoria, kwani ulianzishwa zaidi ya miaka 50 iliyopita lakini utekelezaji wake umekuwa ukisuasua kwa muda mrefu na Sasa unatekelezwa kikamilifu chini ya Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan.
Mradi unatarajiwa kuwanufaisha wananchi zaidi ya 20,000 kwenye vijiji 28 vya kata saba za Mkomazi, Mkumbara, Mazinde, Mombo, Chekelei, Makuyuni, na Magila Gereza.
Mradi wa Mkomazi unakadiriwa kugharimu zaidi ya Shilingi Bilioni 18 na unatarajiwa kukamilika ifikapo Agosti 2025.
Mradi wa Mkomazi ni wa kihistoria, kwani ulianzishwa zaidi ya miaka 50 iliyopita lakini utekelezaji wake umekuwa ukisuasua kwa muda mrefu na Sasa unatekelezwa kikamilifu chini ya Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan.
Mradi unatarajiwa kuwanufaisha wananchi zaidi ya 20,000 kwenye vijiji 28 vya kata saba za Mkomazi, Mkumbara, Mazinde, Mombo, Chekelei, Makuyuni, na Magila Gereza.
Mradi wa Mkomazi unakadiriwa kugharimu zaidi ya Shilingi Bilioni 18 na unatarajiwa kukamilika ifikapo Agosti 2025.