Kazi isiyoangaliana na mlango wa Jela haiwezi kukufanya kuwa Tajiri

Si kweli ndumba ni imani, pana watu wanamiliki zaidi ya b kadhaa au utajiri bila ndumba wengi tu. Utajiri ni akili, utajiri ni tabia na umasikini ni tabia pia. Utajiri wa kichawi na utajiri wa kiMungu ni 50 kwa 50.
Unaweza ukapata utajiri kwa Mungu au Shetani.
 
Hayo ya kuwahi kuvunja sheria kwa namna moja au nyingine yamkini ni kubwa kwa matajiri wengi.

Ila la uganga na uchawi mimi nadhani linawahusu wachache sana.

Unafikiri Pesa inalindwaje MkuuπŸ˜‚πŸ˜‚

Kuna pesa kuipata na kuwa nayo lazima uwe na Ulinzi wa kutosha. Na hapo ndipo wengi hujikuta katika Ulozi.
 


πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Usijidanganye Mkuu.

Alafu wenye akili hawanaga UtajiriπŸ˜€πŸ˜€

Mtu akishakuwa na akili kamwe hawezi kuwa Tajiri labda akili ya kawaida lakini kama unamaanisha Akili nyingi basi utakuwa unakosea.

Kwa hapa Afrika hakuna Tajiri wa hivyo
 
Katika kitu nakubaliana na wewe ni hapo kwenye tabia, asikwambie mtu tabia na utamaduni wa mtu ama familia na ndugu zake zina mchango mkubwa sana katika kufanya wafanikiwe ama wafeli.

Omba sana Mungu akupe tabia zinazolinda maendeleo yako na akuepushe na ndugu au watu wa karibu wenye mambo ya kukuangusha.
Katika Afrika yetu ya kusaidiana kindugu, unaweza jikuta unabeba majukumu kibao ambayo ni mzigo kwako kisa tu kuna ndugu ambao hawafanyi wapaswacho kufanya kwenye maisha yao.
 
Mzee wa fasihi unaweza ukamiliki pesa nyingi bila ndumba mfano fanya biashara ya real estate jiingize biashara za kuuza viwanja utapata b za kutosha, panda miti eka 20 au zaidi baada ya miaka 12 utapata b za kutosha.
 
Mzee wa fasihi unaweza ukamiliki pesa nyingi bila ndumba mfano fanya biashara ya real estate jiingize biashara za kuuza viwanja utapata b za kutosha, panda miti eka 20 au zaidi baada ya miaka 12 utapata b za kutosha.

Mkuu hiyo ni rahisi mdomoni, lakini pesa sio Maneno.
Kila kitu kinahitaji Bahati"Nyota"
Hata ukienda kulima nini kama huna Nyota hakuna utakachoambulia.
Na hapo ndipo Uchawi unapoingia Kwa wengi
 
Mkuu hiyo ni rahisi mdomoni, lakini pesa sio Maneno.
Kila kitu kinahitaji Bahati"Nyota"
Hata ukienda kulima nini kama huna Nyota hakuna utakachoambulia.
Na hapo ndipo Uchawi unapoingia Kwa wengi
Bahati unaivuta uhitaji mganga wala ushirikina.Shida wengi Wana ni vipofu kuhusu elimu ya roho.
Ukiyapata maarifa KILA kitu kinawezekana
 
Usigeneralize labda sababu matajiri wengi hawana utamaduni wa kuandika historia zao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…