Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe Zuckerberg ni MuafricaMark Zuckerberg alienda kulala polisi mara ngapi wakati akipambana kuisimika facebook yake?
Wenye akili alafu nimatajiri wapo serikalini asilimia kubwa zaid ni mafisadi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Usijidanganye Mkuu.
Alafu wenye akili hawanaga Utajiri[emoji3][emoji3]
Mtu akishakuwa na akili kamwe hawezi kuwa Tajiri labda akili ya kawaida lakini kama unamaanisha Akili nyingi basi utakuwa unakosea.
Kwa hapa Afrika hakuna Tajiri wa hivyo
Msuva ana pesa kuwashinda wakina Ronaldo au Messi?Msuva ana bilioni moja na kaipata hapa hapa Africa. Haya hilo wasemaje?
🤣🤣🤣Msuva ana bilioni moja na kaipata hapa hapa Africa. Haya hilo wasemaje?
idea ya facebook alipewa aifanye kwa malipo na mapacha pale chuoni kwao, yeye akaiba na kuifanya yake.Mark Zuckerberg alienda kulala polisi mara ngapi wakati akipambana kuisimika facebook yake?
Only a low IQ person thinks this way.I mean what the fvck was the guy thinking wakati anandika hizi komedi
kabisa mkuuAfrika jela ni kwa ajili ya watu masikini, ukimuona tajiri jela, amezinguana na walamba asali.
Only if you a ZERO BRAIN!Kwema Wakuu!
Ikiwa kazi unayoifanya haijawahi kukuletea Polisi, au haijawahi kukupeleka kwenye vyombo vya kisheria ujue hiyo kazi haiwezi kukufanya kuwa Tajiri.
Utajiri na uvunjifu wa sheria ni pande mbili za sarafu moja.
Huwezi kuwa tajiri bila kuivunja sheria ya nchi, mahali popote Katika hii dunia.
Kazi yoyote yenye hatari za kukamatwa na Polisi kazi hiyo ujue inauwezo wa kukufanya uwe tajiri.
Kadiri unavyozidi kupata pesa ndivyo unavyoukaribia Mdomo wa Jela, hivyo ndio maana ni lazima ufanye Kolabo na Wakubwa ili kuyavunja Meno ya Jela ili hata siku ukiingiamo ndani yake jela haiwezi kukusaga saga.
Hiyo ni kanuni ya Kidunia.
Kanuni ya Afrika, pesa unaweza ukapata pasipo hata kutumia Uchawi au uganga Ila Inategemea na kiwango cha Pesa.
Milioni 5 sijui 10M mpaka milioni 100M hizo unaweza ukazipata Kwa nguvu zako mwenyewe hata pasipo kujiingiza kwenye Uchawi. Wala hata serikali isiwe na time na wewe.
Lakini kuna pesa ili uishike na kuilinda basi itakupasa Ujiingize kwenye Uchawi na uganga huko.
Ngumu Sana na nadra Sana mtu amiliki milioni Mia tano tuu bila ndumba hiyo ni ngumu Sana.
Najua kuna watu watanibishia, lakini huo ndio ukweli.
Kisheria na kihaki hakuna Logic ya mtu kuwa Tajiri wa mabilioni ya pesa pasipo kuvunja sheria tena Kwa makusudi kabisa, hakuna kitu Kama hicho.
Taikon leo amecheka baada ya kukutana na Bilionea mmoja huku Kahama, bilionea huyu nilimuuliza ni Kwa nini yeye ni Tajiri akanijibu; "Kwa sababu siogopi kuvunja sheria" Nikabaki namkodolea macho tu!
Nipumzike sasa!
Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Kahama
Only if you a ZERO BRAIN!
Mtu mwenye akili iliyo sawasawa na aliyesoma na kueleimika, hawezi kuwaza upumbavu huu hata siku moja. Mfano hai upo kwamba Mh Dr. Reginald Mengi (RIP), hakuwahi kuwaza huu ujinga na hayupo Mtanzania hata mmoja hadi leo ambaye ameshavunja rekodi yake. Acha ku-impart watu wenye akili, mawazo ya kipumbavu. Unless mtu ni mpumbavu, then unachokiongea kinaweza ku-apply na ku-sound kwake
Only a low IQ person thinks this way.