Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Poverty mindsetHawa watu wanaoandika wanatumia nini kufikiria
Kuanzia bil.2 kushuka chini ni pesa ndogo Sana Wala haina haja ya mambo meengi aliyoeleza jamaaNi mil 500 au Bil 500? Yaan kupata tu mil 500 mpaka uchawi?
Wanaita attitudesKatika kitu nakubaliana na wewe ni hapo kwenye tabia, asikwambie mtu tabia na utamaduni wa mtu ama familia na ndugu zake zina mchango mkubwa sana katika kufanya wafanikiwe ama wafeli.
Omba sana Mungu akupe tabia zinazolinda maendeleo yako na akuepushe na ndugu au watu wa karibu wenye mambo ya kukuangusha.
Katika Afrika yetu ya kusaidiana kindugu, unaweza jikuta unabeba majukumu kibao ambayo ni mzigo kwako kisa tu kuna ndugu ambao hawafanyi wapaswacho kufanya kwenye maisha yao.
Punguza makasirikoI mean what the fvck was the guy thinking wakati anandika hizi komedi
Hapo kwenye siri ndio uchawi wenyewe sasaSekta ya madini bila uchawi inawezekana kabisa na b ni hela ya kawaida tu. Ukizijua siri za uchimbaji madini uhitaji mganga wala ushirikina na utajiri utaupata tena wa halali bila masharti
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Hapo kwenye uchawi naweza nisikubaliane na wewe, binafsi Nina zaidi ya hizo 500m lakini sijawahi kumjua mganga.
Nafikili Tanzania napo wangeuwa waganga wote ili tusikwamishane mtu unalima hekari za kutosha unafanyiwa ndumba unavuna gunia kituko na mvua zilinyesha vizuri majirani mavuno safi mbolea uliweka kanuni ulifata ila mavuno sasa wasukuma tunaelewa namaanisha niniHii nadharia ya kuwapotosha watu huwezi fanikiwa au kuwa tajiri bila dawa ni nadharia iliyoua saikolojia ya waafrika Wengi sana na kuwafanya wazidi kutopea kwenye umasikini zaidi. Ndo maana ulaya waliua waganga na wachawi karibu wote Ili wasiwapotoshe watu kwa kuwaaminisha akili bandia, bali wapate kizazi kinachofikiri kwa kutegemea akili na sio miujiza. Ingekuwa hii nadharia ya kipumbavu inafanya kazi basi waafrika wengi 90% sana wangekuwa matajiri, maana ni asilimia kubwa Sana kutwa viguu na njia kwa waganga wakipeleka kuku but kwann still bado wengi maisha yanawachapa? Maana pana maeneo KILA baada ya watu watatu wa nne ni mganga, mchawi au mshirikina but dhoofu hali.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Hata 50m kuilinda lazima uende kwa sangoma
Angalia mfumo wa kukusanya kodi barani Africa background ya familia nyingi za kiafrica ubora wa elimu inayotolewa mashuleni mazingira wanayokulia vijana wengi wa kiafrica angalia viongozi wa kiafrica na mfumo mzima wa utawala utamuelewa mtoa madaOnly a low IQ person thinks this way.
Waliosoma na kuelimika ndio wanakimbizana kwenye ajira juzi zimetangazwa nafasi 17,412 wakaomba 165,948 sasa kama waliosoma na kuelimika ndio hawa huo utajiri tunaupataje kama kujiajiri tu imekuwa kipengeleOnly if you a ZERO BRAIN!
Mtu mwenye akili iliyo sawasawa na aliyesoma na kueleimika, hawezi kuwaza upumbavu huu hata siku moja. Mfano hai upo kwamba Mh Dr. Reginald Mengi (RIP), hakuwahi kuwaza huu ujinga na hayupo Mtanzania hata mmoja hadi leo ambaye ameshavunja rekodi yake. Acha ku-impart watu wenye akili, mawazo ya kipumbavu. Unless mtu ni mpumbavu, then unachokiongea kinaweza ku-apply na ku-sound kwake
Niliwahi kukutana na Uzi humu JF akilalamikiwa kufanya dhulumaMkuu napingana na wewe, huyu jamaa unaona hizo account zake?
inasoma USD178K sawa na tsh milioni 409. Account ya pili inasoma 186USD sawa na tsh million 427 jumla unapata million 836. Hapa unasemaje mkuu??View attachment 2289032View attachment 2289040
Alichokisema kina leta maana regardless ni masikini au tajiri ni msomi au si msomi don't judge the person judge the content ,,ni wanasiasa wangapi bongo wanaiba billions of money maafisa wa TRA mawaziri wanafanya biashara haramu wanakwepa kodi na mambo chungu nzima (baadhi lakini)Masikini siku zote ni watu wenye roho mbaya na wivu maana yake chochote kile utakachofanya ni lazima waumie na kuzusha maneno sasa usiombee uwe na uwezo mkubwa wa kifedha.
Wewe ni mmoja wapo mkuu.
Mkuu sehemu iliyotawaliwa na uchawi sasa ni huko bila ramani za waganga utachimba miaka yako yote ya ujana na uzee hadi kifo hutaambulia mali kubwa ila pesa ya kula utapata but pesa ya utajiri sahau mzeeSekta ya madini bila uchawi inawezekana kabisa na b ni hela ya kawaida tu. Ukizijua siri za uchimbaji madini uhitaji mganga wala ushirikina na utajiri utaupata tena wa halali bila masharti
Manzile nipunguzie Milioni moja, nijikwamue.Hapo kwenye uchawi naweza nisikubaliane na wewe, binafsi Nina zaidi ya hizo 500m lakini sijawahi kumjua mganga.