Asalamaleko
JF-Expert Member
- May 10, 2015
- 2,699
- 7,726
Ulipoingiza habar za uchawi na uganga ndipo ulipokosea... Huko kwengine umesema ukweli...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo alipoandika maneno, "ni kanuni ya dunia nzima" aliwalenga waafrika pekee au watu wote duniani?Kumbe Zuckerberg ni Muafrica
Msuva ni mpambanaji Sana ,big up kwake huyu mwamba.kuna siku nilipita check point moja nikiwa naenda dar frm Dom,nikakuta watu wa misitu wameikamata Lori lake likiwa na shehena ya gunia za ubuyu.jamaa anatafuta pesa kwa Hali na mali.big up Sana mwamba.Msuva ana bilioni moja na kaipata hapa hapa Africa. Haya hilo wasemaje?
Arap mashamba sio?Wanasiasa ndio watu wanaomiliki Mali nyingi zizizo halali.
Kwa mfano Kama kwetu Kenya Kuna mwanasiasa mmoja maarufu ambaye utajiri wake unasemekana kuwa bilioni 35 za kikenya.
Aisee huyu mwamba ni mkatili Sana maana Ana skendo nyingi Sana za wizi wa Mali za serikali na kunyang'anya wanyonge mashamba yao.
Nikitaja skendo za huyo jamaa mnaweza mkashangaa Sana ila acha niishie Hapa tu Ila inauma Sana Yaani😥
Taikon nahis hukumuekewa vizuri,zaidi ungemuomba afafanue.Kwema Wakuu!
Ikiwa kazi unayoifanya haijawahi kukuletea Polisi, au haijawahi kukupeleka kwenye vyombo vya kisheria ujue hiyo kazi haiwezi kukufanya kuwa Tajiri.
Utajiri na uvunjifu wa sheria ni pande mbili za sarafu moja.
Huwezi kuwa tajiri bila kuivunja sheria ya nchi, mahali popote Katika hii dunia.
Kazi yoyote yenye hatari za kukamatwa na Polisi kazi hiyo ujue inauwezo wa kukufanya uwe tajiri.
Kadiri unavyozidi kupata pesa ndivyo unavyoukaribia Mdomo wa Jela, hivyo ndio maana ni lazima ufanye Kolabo na Wakubwa ili kuyavunja Meno ya Jela ili hata siku ukiingiamo ndani yake jela haiwezi kukusaga saga.
Hiyo ni kanuni ya Kidunia.
Kanuni ya Afrika, pesa unaweza ukapata pasipo hata kutumia Uchawi au uganga Ila Inategemea na kiwango cha Pesa.
Milioni 5 sijui 10M mpaka milioni 100M hizo unaweza ukazipata Kwa nguvu zako mwenyewe hata pasipo kujiingiza kwenye Uchawi. Wala hata serikali isiwe na time na wewe.
Lakini kuna pesa ili uishike na kuilinda basi itakupasa Ujiingize kwenye Uchawi na uganga huko.
Ngumu Sana na nadra Sana mtu amiliki milioni Mia tano tuu bila ndumba hiyo ni ngumu Sana.
Najua kuna watu watanibishia, lakini huo ndio ukweli.
Kisheria na kihaki hakuna Logic ya mtu kuwa Tajiri wa mabilioni ya pesa pasipo kuvunja sheria tena Kwa makusudi kabisa, hakuna kitu Kama hicho.
Taikon leo amecheka baada ya kukutana na Bilionea mmoja huku Kahama, bilionea huyu nilimuuliza ni Kwa nini yeye ni Tajiri akanijibu; "Kwa sababu siogopi kuvunja sheria" Nikabaki namkodolea macho tu!
Nipumzike sasa!
Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Kahama
Taikoni wa fasihi karibu nyumbani ushirombo-
Taikon nahis hukumuekewa vizuri,zaidi ungemuomba afafanue.
Kuvunja sheria ni suala pana.
Je,yeye huvunja sheria zepi?
Zipo za asili,binafsi,za shule,kampuni,za nchi,za dini!
So waweza vunja shrmeria na bado usifanikiwe kwa maana hukujua ni sheria zipi uvunje!
Nashauri wewe(kumbuka unajina sasa ndani ya JF) ulitakiwa umalizie kwa caution... mfano1"at ur own risk" AU "Makinika"
Accounts za benki gani hii mkuu?Mkuu napingana na wewe, huyu jamaa unaona hizo account zake?
inasoma USD178K sawa na tsh milioni 409. Account ya pili inasoma 186USD sawa na tsh million 427 jumla unapata million 836. Hapa unasemaje mkuu??View attachment 2289032View attachment 2289040
Masikini siku zote ni watu wenye roho mbaya na wivu maana yake chochote kile utakachofanya ni lazima waumie na kuzusha maneno sasa usiombee uwe na uwezo mkubwa wa kifedha.Wanasiasa ndio watu wanaomiliki Mali nyingi zizizo halali.
Kwa mfano Kama kwetu Kenya Kuna mwanasiasa mmoja maarufu ambaye utajiri wake unasemekana kuwa bilioni 35 za kikenya.
Aisee huyu mwamba ni mkatili Sana maana Ana skendo nyingi Sana za wizi wa Mali za serikali na kunyang'anya wanyonge mashamba yao.
Nikitaja skendo za huyo jamaa mnaweza mkashangaa Sana ila acha niishie Hapa tu Ila inauma Sana Yaani😥
Ahaa hii ni real account ya mt4 mkuu au unataka bank statement kabisa?Accounts za benki gani hii mkuu?
Watu wa Forex bhana
Acha kuwaongelea watu,wewe unajua kaupataje utajiri,umefanya utafiti juu ya htimisho ulokuja nalo??Only if you a ZERO BRAIN!
Mtu mwenye akili iliyo sawasawa na aliyesoma na kueleimika, hawezi kuwaza upumbavu huu hata siku moja. Mfano hai upo kwamba Mh Dr. Reginald Mengi (RIP), hakuwahi kuwaza huu ujinga na hayupo Mtanzania hata mmoja hadi leo ambaye ameshavunja rekodi yake. Acha ku-impart watu wenye akili, mawazo ya kipumbavu. Unless mtu ni mpumbavu, then unachokiongea kinaweza ku-apply na ku-sound kwake
Unakaribia na ukweli, kwamba ukifuatisha mifumo huwezi kuwa tajiri.Kwema Wakuu!
Ikiwa kazi unayoifanya haijawahi kukuletea Polisi, au haijawahi kukupeleka kwenye vyombo vya kisheria ujue hiyo kazi haiwezi kukufanya kuwa Tajiri.
Utajiri na uvunjifu wa sheria ni pande mbili za sarafu moja.
Huwezi kuwa tajiri bila kuivunja sheria ya nchi, mahali popote Katika hii dunia.
Kazi yoyote yenye hatari za kukamatwa na Polisi kazi hiyo ujue inauwezo wa kukufanya uwe tajiri.
Kadiri unavyozidi kupata pesa ndivyo unavyoukaribia Mdomo wa Jela, hivyo ndio maana ni lazima ufanye Kolabo na Wakubwa ili kuyavunja Meno ya Jela ili hata siku ukiingiamo ndani yake jela haiwezi kukusaga saga.
Hiyo ni kanuni ya Kidunia.
Kanuni ya Afrika, pesa unaweza ukapata pasipo hata kutumia Uchawi au uganga Ila Inategemea na kiwango cha Pesa.
Milioni 5 sijui 10M mpaka milioni 100M hizo unaweza ukazipata Kwa nguvu zako mwenyewe hata pasipo kujiingiza kwenye Uchawi. Wala hata serikali isiwe na time na wewe.
Lakini kuna pesa ili uishike na kuilinda basi itakupasa Ujiingize kwenye Uchawi na uganga huko.
Ngumu Sana na nadra Sana mtu amiliki milioni Mia tano tuu bila ndumba hiyo ni ngumu Sana.
Najua kuna watu watanibishia, lakini huo ndio ukweli.
Kisheria na kihaki hakuna Logic ya mtu kuwa Tajiri wa mabilioni ya pesa pasipo kuvunja sheria tena Kwa makusudi kabisa, hakuna kitu Kama hicho.
Taikon leo amecheka baada ya kukutana na Bilionea mmoja huku Kahama, bilionea huyu nilimuuliza ni Kwa nini yeye ni Tajiri akanijibu; "Kwa sababu siogopi kuvunja sheria" Nikabaki namkodolea macho tu!
Nipumzike sasa!
Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Kahama