Myahudi Jr II
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 6,816
- 8,809
Least developing country.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wabongo tupo vizuri.Mimi sio boss😑 ila Dm
Am interested nipe mawasaliano yako kakaNB. Kazi hii imelenga kuwapa nafasi wasio na kazi kabisa, au yoyote mwenye muda wa ziada
Mtu mmoja anahitajika kuendesha mitandao ya kijamii.
*Uwe na smartphone/computer
*Uwe na uwezo wa kua online angalau masaa 5 kila siku
*Uwe na uzoefu wa kutumia mitandao ya kijamii
*Ukifahamu lugha ya kiingereza una advantage
&KAZI INATUMIA AROUND 300MB
-Malipo ni sh1500/- kila jioni baada ya kazi kwa njia ya Mpesa/Airtelmoney/Tigopesa.
Dm Kama upo interested
WowKaka mambo so mambo huku
Kwamba "yamepanda kichwani" sio...🤣🤣Hiyo hela si yakununua tu mihogo na chachandu?
Thamani ya muda wa 5 hours kwa Tshs 1500?
Mkuu hebu jaribu kupima malaria kwanza.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mods Thread ipelekwe jukwaa la utani
Hii ni ajira ili upate mshahara wa hasara sio faida.Hata kama ajira zmekua ngum sikiivo,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hii ni ajira ili upate mshahara wa hasara sio faida.
Yaani unapewa ajira ili utumie hela zako kwenye kazi za muajiri wako.
[emoji1787][emoji1787]
Fackin jobNB. Kazi hii imelenga kuwapa nafasi wasio na kazi kabisa, au yoyote mwenye muda wa ziada
Mtu mmoja anahitajika kuendesha mitandao ya kijamii.
*Uwe na smartphone/computer
*Uwe na uwezo wa kua online angalau masaa 5 kila siku
*Uwe na uzoefu wa kutumia mitandao ya kijamii
*Ukifahamu lugha ya kiingereza una advantage
&KAZI INATUMIA AROUND 300MB
-Malipo ni sh1500/- kila jioni baada ya kazi kwa njia ya Mpesa/Airtelmoney/Tigopesa.
Dm Kama upo interested
Vichaa wamehamia jf.hahaha noma sana
Huyu mwajiri fallar sanaJamani mbona mnamfokea mwajiri 😂😂
Eti sir? Au saa mbovu1500 masaa 5? Come on Sir!