sawaKwamba kukaa lindoni ukaona ni kifo lkn hujaona kifo kutembea njiani saa 8 au 9 usiku. Na hukuwaza ulikuwa tayari unakata tiketi ya segerea kwa kuondoka lindoni na kuacha mali ulizokabidhiwa? Ila nahisi hapa kwenye ulinzi hujanyoosha maelezo
😅😅😅😅 Balaaa ,unasamehe na Helanguo ni zako ila unazinyatia
Rafiki yako alikafaje hiko Kifo kibaya??tafadhali tupe news Mkuu tujifunzeSitosahau kazi ya upagazi kubeba mizigo Kilimanjaro, wale wote maPorter wa Kilimanjaro nawasalimu.
Rafiki yangu alikufa kifo cha kusikitisha nikawa naogopa kumpa taarifa mke wake na mtoto wao alikuwa mdogo. Maiti ilipelekwa singida kwa mazishi. kazi ilikuwa ngumu mno. mzigo ni kilo 20 tu lakin mazingira yalikuwa mabaya mabovu usipime. kuna watu wanatafuta mlo wao kwa taabu sana. Mungu wabariki watu wale. niliki maisha yale baada ya kupata Dollar 80 iyo ilikuwa ni kazi yangu ya mwisho na kampuni ya ZARA TOURS
vanus porter mwenzako huyuSitosahau kazi ya upagazi kubeba mizigo Kilimanjaro, wale wote maPorter wa Kilimanjaro nawasalimu.
Rafiki yangu alikufa kifo cha kusikitisha nikawa naogopa kumpa taarifa mke wake na mtoto wao alikuwa mdogo. Maiti ilipelekwa singida kwa mazishi. kazi ilikuwa ngumu mno. mzigo ni kilo 20 tu lakin mazingira yalikuwa mabaya mabovu usipime. kuna watu wanatafuta mlo wao kwa taabu sana. Mungu wabariki watu wale. niliki maisha yale baada ya kupata Dollar 80 iyo ilikuwa ni kazi yangu ya mwisho na kampuni ya ZARA TOURS
tueleze hali ilikuwaje pale ulipofika kwenye lile jiwe la kubusuSitosahau kazi ya upagazi kubeba mizigo Kilimanjaro, wale wote maPorter wa Kilimanjaro nawasalimu.
Rafiki yangu alikufa kifo cha kusikitisha nikawa naogopa kumpa taarifa mke wake na mtoto wao alikuwa mdogo. Maiti ilipelekwa singida kwa mazishi. kazi ilikuwa ngumu mno. mzigo ni kilo 20 tu lakin mazingira yalikuwa mabaya mabovu usipime. kuna watu wanatafuta mlo wao kwa taabu sana. Mungu wabariki watu wale. niliki maisha yale baada ya kupata Dollar 80 iyo ilikuwa ni kazi yangu ya mwisho na kampuni ya ZARA TOURS
Sitosahau kazi ya upagazi kubeba mizigo Kilimanjaro, wale wote maPorter wa Kilimanjaro nawasalimu.
Rafiki yangu alikufa kifo cha kusikitisha nikawa naogopa kumpa taarifa mke wake na mtoto wao alikuwa mdogo. Maiti ilipelekwa singida kwa mazishi. kazi ilikuwa ngumu mno. mzigo ni kilo 20 tu lakin mazingira yalikuwa mabaya mabovu usipime. kuna watu wanatafuta mlo wao kwa taabu sana. Mungu wabariki watu wale. niliki maisha yale baada ya kupata Dollar 80 iyo ilikuwa ni kazi yangu ya mwisho na kampuni ya ZARA TOURS
Tunaitaga breakfast kwasababu ukiamka asubuhi na wenge lako unakutana na huo mlima mkali si mchezo, usipokuwa makini unaweza kuporomoka ukapasua kichwa kwenye majabali makubwatueleze hali ilikuwaje pale ulipofika kwenye lile jiwe la kubusu
Jeshi au🤣🤣Mi nlizama sehem unapata mafunzo ukitoboa basi unakula shavu... Mamaaaa nlio wahi pishana nayo huko...
Ukimuona mtu anakula bia yake we mwache tuu
Mkuu hebu andaa thread ya hiki kistory ulichomokaje kwenye hii case?Nilipewa kazi ya kulinda sehemu karibia na chichi na lacasa chica tulikuwa na kajumba chetu yani ka post tulikuwa wawili
Malaya wakitoka kujiuza chichi wanakuja kujistiri kwenye kibanda maana kurudi mwenyewe saa tisa usku ni mushkeli
Malipo yao ilikuwa ni kuwala mbususu kipindi kile mimi nilikuwa muoga ila mzee ambaye nilikuwa naye ndio zilikuwa pigo zake
Mzee alikufa na ukimwi nikabaki mwenyewe ile kazi nikaipiga chini siku malaya walivyopigana visu kwenye ugomvi wao kwakua waliuana kwenye post yangu ikawa crime scene plus kuchukuliwa maelezo na kuwa shahidi nilikoma
Mkuu umetisha sana, hivi kuna wanawake ma porter? Hao jamaa daaa, huruma sana , jamaa kama wakimbizi miziko hadi kichwana maisha hayako fair.Hawa ndo wanaitwa ma-porter aka wagumu wanatembea hapo mlimani cruiser cha mtoto.
Experience ya ule mwendo wa kutembea mlimani itakufanya ujue vizuri matumizi ya gear zote 5 za kwenye gari
Gear no 1 hutumika wakati wa kupanda mlima mkali, yaani unageuka gari kabisa na discipline inakuepo hakuna cha race wala nini ni mdogo mdogo
Gear no 2 utakutana na kilima kimeanza kulainika ndo hapo kidogo unavuta wese
Gear no 3 hapo kwa sadala kidogo unapiga story na wana
Gear no 4 na 5 ndo kabisa unachanganya mwendo wese la kutosha uwahi camp kabla wageni hawajakukuta njiani, maana yule guide wa mlima na wageni huwa wanakuwa wa mwisho kufika camp, sasa guide akikukuta njiani ni matusi kilo 7 anakuambia
“ww malaya kaza hiyo sifuri huku hakuna shangazi wala mjomba mpaka saivi hujafika camp unakata viuno na bag la wageni”
Gear no 1 pia hii hutumika wakati wa kushuka mlima hapa ndo utaimba haleluya ni kheri kupanda kuliko kushuka maana kunakuwa na mteremko mkali sana na umebeba mzigo hapo mgongoni yaani miguu inakosa balance kabisa swala la kuanguka na mzigo wako kama tembo ni kawaida sababu ya utelezi maana sehemu nyingi za kushuka huwa zimezungukwa na forest hivyo mvua mvua zinakuwepo through out the seasonsView attachment 2327765
Sent using Jamii Forums mobile app
Tamaa mbaya sana.[emoji28]Miaka flani hapo moro nasoma chuo cha ujenzi,
Life ngumu,nikashauriwa na jamaa yangu kwanini usiuze hata miwa inalipa...
Nikatafuta jamaa anauza miwa anipe hints, akuwa mchoyo wa michongo.Akanipa maelekezo yote.
Enzi zile wanakodi baiskel kulikua hamna boda,
Mtaji ulikua buku 15 tu.
Nikakodi baiskeli yangu huyooo nikakitafuta chuo cha SUA,nikakipita nikanyonga ngwinjo kuelekea ni "kauzeni" kama sijakosea...majina mengi nimesahau..
Niliendesha baiskeli zaidi ya masaa 2,
Kila ninaposimama kuulizia naambiwa ni hapo mbele..
Unasonga tu hufiki,hatimaye kuna ka mtaa nikafika nikaelekezwa mbele kidogo kuna kijumba.
Nikakuta kuna wazee wakarimu kweli,wakanipa kijana anipeleke shambani sasa...
Ebooo ikabidi niwaulize bado hatujafika?wakasema sio mbali ni hapo tu...nikajiuliza hii hapo tu si ndio ile naambiwa toka kule mwanzo na sikua nafika,Nikasema nishafika mpaka hapa wacha nijipe moyo...
Mana sikua nimezoea kufanya kazi ngum wala kuendesha baiskeli masafa marefu,miguu ilikua inatetemeka na kuchoka kwa umbali mrefu.
Tulitembea tena na baiskel kwa mda,mpaka tunafika sehem kuna kijumba mbele kuna kijinjia si kijinjia hasa ni ki mfereji...
Tukawacha baiskeli na ndala zangu tukaanza fata hicho ki mfereji...
Baada ya mwendo mbele tulikuta shamba kubwa sana la miwa....
Tulipofika dogo akaita mara kadhaa,kuna mzee akaitika akasema niko huku.
Tukasalimiana na mzee nikakaribishwa shamba kwa ukarimu.
Nikaulizwa nataka miwa ya bei gani,nikasema ya buku 10,akasema sawa unaweza kukata,mana mimi nimebanana nina miwa naanda muda si mrefu inakuja kuchukuliwa..
Nikasema naweza,nikapewa panga.
Nikauliza nikate mingapi,
"Niko busy kijana kata unayoweza kubeba"
Wee tamaa ikaniingia nikasahau safari ya nilikotoka.
Miwa ilikua ni mingi mno mingine iko chini tu ni kukataa tu,hapo moyoni nikasema kama ni hivi nitatoboa mapema.
Nikakata mizigo miwili mikubwa ya haja kwa msaada wa dogo [emoji38].
Kimbembe kwenye kubeba kuifikisha njiani baiskeli ilipo sasa.
Kwanza miwa ni mirefu na minene,pili ukibeba mingi inanesanesa na kukuyumbisha.
Mjomba ilibidi niigawe mara nne na bado nilifika kwenye baiskeli kwa tabu sana.
Nikajisemea tabu gani hiii..
Kwenye kuifunga kwenye baiskeli sasa ni mingi haikutosha ikabidi mingine ibaki,mzee anacheka tu...
Kimbembe kingine kuikokota hio baiskel ni shughuli...
Ki ukweli nilifika mjini ila miwa mingine mingi niliacha njiani kidogo niitupe yote.nisije nikafa bure na niliyokuwa nayo kwenye baiskel niliikatakata vipande vipande mana ni mirefu ilikua inanesanesa inasababisha baiskeli kuyumba. .
Sikuwahi kurudi tena na sitarudi.
Mwamba richie ze best inaonekana kule kauzeni Ni wakulima wazuri Sana wa miwa hasa kuanzia pale Magadu kwenda mbele kule MzingaMiaka flani hapo moro nasoma chuo cha ujenzi,
Life ngumu,nikashauriwa na jamaa yangu kwanini usiuze hata miwa inalipa...
Nikatafuta jamaa anauza miwa anipe hints, akuwa mchoyo wa michongo.Akanipa maelekezo yote.
Enzi zile wanakodi baiskel kulikua hamna boda,
Mtaji ulikua buku 15 tu.
Nikakodi baiskeli yangu huyooo nikakitafuta chuo cha SUA,nikakipita nikanyonga ngwinjo kuelekea ni "kauzeni" kama sijakosea...majina mengi nimesahau..
Niliendesha baiskeli zaidi ya masaa 2,
Kila ninaposimama kuulizia naambiwa ni hapo mbele..
Unasonga tu hufiki,hatimaye kuna ka mtaa nikafika nikaelekezwa mbele kidogo kuna kijumba.
Nikakuta kuna wazee wakarimu kweli,wakanipa kijana anipeleke shambani sasa...
Ebooo ikabidi niwaulize bado hatujafika?wakasema sio mbali ni hapo tu...nikajiuliza hii hapo tu si ndio ile naambiwa toka kule mwanzo na sikua nafika,Nikasema nishafika mpaka hapa wacha nijipe moyo...
Mana sikua nimezoea kufanya kazi ngum wala kuendesha baiskeli masafa marefu,miguu ilikua inatetemeka na kuchoka kwa umbali mrefu.
Tulitembea tena na baiskel kwa mda,mpaka tunafika sehem kuna kijumba mbele kuna kijinjia si kijinjia hasa ni ki mfereji...
Tukawacha baiskeli na ndala zangu tukaanza fata hicho ki mfereji...
Baada ya mwendo mbele tulikuta shamba kubwa sana la miwa....
Tulipofika dogo akaita mara kadhaa,kuna mzee akaitika akasema niko huku.
Tukasalimiana na mzee nikakaribishwa shamba kwa ukarimu.
Nikaulizwa nataka miwa ya bei gani,nikasema ya buku 10,akasema sawa unaweza kukata,mana mimi nimebanana nina miwa naanda muda si mrefu inakuja kuchukuliwa..
Nikasema naweza,nikapewa panga.
Nikauliza nikate mingapi,
"Niko busy kijana kata unayoweza kubeba"
Wee tamaa ikaniingia nikasahau safari ya nilikotoka.
Miwa ilikua ni mingi mno mingine iko chini tu ni kukataa tu,hapo moyoni nikasema kama ni hivi nitatoboa mapema.
Nikakata mizigo miwili mikubwa ya haja kwa msaada wa dogo [emoji38].
Kimbembe kwenye kubeba kuifikisha njiani baiskeli ilipo sasa.
Kwanza miwa ni mirefu na minene,pili ukibeba mingi inanesanesa na kukuyumbisha.
Mjomba ilibidi niigawe mara nne na bado nilifika kwenye baiskeli kwa tabu sana.
Nikajisemea tabu gani hiii..
Kwenye kuifunga kwenye baiskeli sasa ni mingi haikutosha ikabidi mingine ibaki,mzee anacheka tu...
Kimbembe kingine kuikokota hio baiskel ni shughuli...
Ki ukweli nilifika mjini ila miwa mingine mingi niliacha njiani kidogo niitupe yote.nisije nikafa bure na niliyokuwa nayo kwenye baiskel niliikatakata vipande vipande mana ni mirefu ilikua inanesanesa inasababisha baiskeli kuyumba. .
Sikuwahi kurudi tena na sitarudi.
Nimeosha vyombo ila hapa hapa bongo na haikunishinda,ni 1 ya kazi ambazo kupitia hiyo kazi mafanikio yangu mzizi wake ni hiyo kazi.Mi nilikuwa naosha vyombo restaurant huko ugaibuni
Huko nyumbani kabisaMwamba richie ze best inaonekana kule kauzeni Ni wakulima wazuri Sana wa miwa hasa kuanzia pale Magadu kwenda mbele kule Mzinga