Kazi nilizowahi zifanya na zikanishinda kwenye utafutaji

Nikiri tu kwa kusema NDIYO.mwanaume kaumbiwa mateso ila mmh.Acha mapambano yaendelee,nimepishana na bus la kanisa moja hapa limeandikwa Efatha,nimewaza na mi nijipeleke kwenye hizo mambo .Na jua linawaka bwana.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji3064]
 
Kumbe unaongelea za bongo. Mi nilikuwa naosha vyombo restaurant huko ugaibuni ila mpaka sasa waifu hajui. Rafiki yangu alikuwa anaogesha wazee na yeye waifu wake hajui mpaka sasa.
Lakini pesa si mlipata
 
Mzee wa Mmaa umetendea haki nia ya Uzi huu,nilitaka visa vya namna hiyo

yani unapga kazi unaona kabisa noo hiyo hela wasinipe,uhai wangu n wathamani sanaaa [emoji23] [emoji23]
Aisee haya maisha acha kabisa nikikumbuka nilivyosota,kumbe sikuwa peke yangu ukitokea familia ya chini hamna wa kukushika mkono lazima kitaa kikuchakaze na kikufunze displine hata siku ukipata pesa hutachezea
 
Controla unachonichekesha unanguvu ya kuthubutu lakin Sasa kuingia mitin ni dakika sifur [emoji23][emoji23][emoji23]we jamaaa umenichekesha leo
 
Ameein
 
Nimecheka kama chizi, machozi yakinitoka aisee
Sipatii picha khali uliyokuwa nayo wakati huo ukizingatia wenyeji unaowaona ndo wamekwisha kata tamaa
 
Nimecheka kama chizi, machozi yakinitoka aisee
Sipatii picha khali uliyokuwa nayo wakati huo ukizingatia wenyeji unaowaona ndo wamekwisha kata tamaa
Mzee hiii thread vinavyosimuliwa n kama vichekesho ila usiombe uwe ndio unayaptia haya yanayosimuliwa in Reality....
 
Kumbe unaongelea za bongo. Mi nilikuwa naosha vyombo restaurant huko ugaibuni ila mpaka sasa waifu hajui. Rafiki yangu alikuwa anaogesha wazee na yeye waifu wake hajui mpaka sasa.
Naomb usimulie ilikuwaje
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Weewe ndio mwamba mkuu,Nime appreciate sana hii comment ni kweli Kuna mambo mwanamke anatakiwa ayajue baadae sana,Akiyajua wakati huo huo tatizo linakuwa kubwa sana.

Wanawake wengi ni watu wa hisia sana.

"A true measure of a man isn't what he reveals to the world but what he hides from it"
 
Nimecheka sana😂😂😂😂
 
Daah kweli kuzaliwa mwanaume kazi... Nmecheka sana. Kuna kazi zina watu wake asee
 
Kutengeneza kalai yaani unakata bati la pipa afu unalitwanga linakuwa kalai afu kalai moja unalipwa 400,kuna tangazo moja nililikuta kwenye nguzo ya umeme ?mara tunatafuta mastoo kipa,madereva n.k, nika apply bhana kufika ofisini nika kubaliwa nikapelekwa kwa wenzangu nikawakuta kama wamekata tama hivi utawasikia wanasema hi guy !!? We believe in mechandize if you tired don't quite,,haha watu soli za viatu zimeisha wamepiga tai chini ndala haha nikasema nimepatikana baadae tunakabidhiwa mizigo ya chupa ya chai na mabeseni,kilichofata ni kuuza mlango kwa mlango,mda mwingine una kutana na wahuni wanakupiga biti,,,unashindia tu mihogo ya kutafuna ,maisha haya noma sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…