Kazi nilizowahi zifanya na zikanishinda kwenye utafutaji

Kimsingi tutafuteni helaaaa....kubeba ndoo tatu za lita 20 za nyanya ...kichwani sio jambo dogooo.....ndoo zote zimewekwa kwenye kreti.....ila Kuna wanna wanakung'uta sio maelezooo na uelezi kituuu juu yaooo
 
Napaelewa huko miaka ya nyuma tunatoka Moshi mjini mpaka geti fonga Kwa mguu kwenda shamba aah
Sana mzee natoka Rau KKkt usiku saa 9 natembea kwa mguu mpaka geti fonga nafika saa 11 tena hapo njianiiii ni balaaaa mbwaa wanakubwekeaa. Utadhani. Wewe ni mwizii ila for safe ukipita barabara kuu inakuwa safe kidogoo
 
Hakuna kaz nilikua naichukua na niasema sidhan kama nitaweza na sidhan kama itatokea nije kufanya. KUUZA VITU VYA PROMOSHENI MTAANI πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚.
kwakifupi biashara za kutembeza, umachinga.mimi kuongea ongea nimekua sipendi kabisaaa maisha yangu yoote;

Ila sasa, ninachokifanya leo wala hakina tofauti.πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚. Umachinga uliochangamka, ukinikuta na lasket yangu mgongoni ,ndani laptop napita mtaa kwa mtaa kuuza maneno.

Naipenda balaa siku hizi.
Eyce .
 
Nimecheka sana

Sent from my SM-N980F using JamiiForums mobile app
 
Hiyo kazi siipendi walahi 😁😁😁

Nimeifanya kupatia pesa lakini pia imenifunza vingi ila kwa sasa, labda nihangaikie kitu changu mwenyewe
 
kuna miti unachimba kisiki,inafika muda unaacha kuchimba unabonyeza ule mti ni Mti au Jiwe

maana kila unavyoonyesha juhudi kisiki kimekaa tu kinakuangalia yani kama unakitekenya hiviii
Hahahaha.. Γ±imecheka sanaa hii πŸ€— ..... mkuu nΓ¬lichojifunza kila mtu ana gumu lake alopitia japo hatufanani..
 
Hahaha..Hii mbinu inakipaji ndani yake.. mkuu ilikua kazigani hiyo? πŸ˜„
 
Chai
 
πŸ˜„ πŸ˜„

Nje ya mada ukichek pambano lile la Davis na roach πŸ˜„ naona wameamua liwe draw

Ova
Pambano la Roach na Tank sikulitazama full ila nilicheki highlights,ila kama itatokea rematch Tank atashinda.

BTW Tank amepotea sana tangu awe mbali na Floyd.

Pambano bora la mwaka huu nililoliona ni Bivol na Beterbiev 2.
 
Hii si Tangaa? Chichi maeneo ya Library pale!

Duh Kitambo sanaaa ... Nilikuwa na shida usiku na walinzii wa Richodi kwa wachina pale maeneo ya uhuru garden kama sikosei Malaya walikuwa wanakuja sana kutokea chichi
 
Pambano la Roach na Tank sikulitazama full ila nilicheki highlights,ila kama itatokea rematch Tank atashinda.

BTW Tank amepotea sana tangu awe mbali na Floyd.

Pambano bora la mwaka huu nililoliona ni Bivol na Beterbiev 2.
Kweli lile pambano la bivol vs beberbiev halina ubishi

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…