OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Kwani umelewa nini mzee Dpworlddddddddddddd😂😂😂😂😂😂😂😂🙏🙏🙏Wakenya kumbe kweli wako behind ya haya makelele
Lord denning
Samia kazungukwa na majizi nayeye kawa mwizi..View attachment 2675264
Godfrey Mwampembwa ni mchoraji wa katuni kutoka nchini Tanzania anayeishi Kenya. Katuni zake nyingi zinahusu habari za siasa lakini amechora pia Hekaya za Abunuwasi. Gado ni mchoraji anayechapishwa zaidi katika Afrika ya Mashariki.
gado ni mtoto wa sinza a ni bro wetu mtaani kenya yupo kikazi,,. kwa ujumla kuna TETESI dola milioni 500 hazijulikani zipo wapi.ZA MKATABA WA BANDARIWakenya kumbe kweli wako behind ya haya makelele
Lord denning
Inaonyesha Samia kapata fedha za kampeni ya 2025.
Inaonyesha Samia kapata fedha za kampeni ya 2025.
Labda aibe Uchaguzi kama Magufuli.Labda kifo kiingilie,ila kama mambo yatabaki hivi......Samia mpaka 2030
Labda aibe Uchaguzi kama Magufuli.
Wewe boya mbona unamaringo kama mwanamke [emoji53][emoji53]sinikukuuliza bei ya jumla ya madawa ya kulevya kwa sasa mnauza sh ngapi?Wakenya kumbe kweli wako behind ya haya makelele
Lord denning
Magufuli walikuwa wanamuogopa ndio maana alijifanyia atakavyo huku majority ya Watanzania walikuwa kimyaaa...haha nimejaribu kuichunguza hii tabia nikafikia kusema labda inatokana na historia yetu ya utumwa na ukoloni.Kuiba muhimu,ila je watanzania Wana khofu ya Samia kama walivyokuwa na khofu Kwa JPM!!?
Kuna Ile ya Mwendazake akiwa na kichwa kikubwa ya Masoud Kipanya naitafuta sanaView attachment 2675264
Godfrey Mwampembwa ni mchoraji wa katuni kutoka nchini Tanzania anayeishi Kenya. Katuni zake nyingi zinahusu habari za siasa lakini amechora pia Hekaya za Abunuwasi. Gado ni mchoraji anayechapishwa zaidi katika Afrika ya Mashariki.
Kenya ni muhujumu mkubwa wa maendeleo ya Tanzania. Vuta picha swala la Loliondo, bomba la gesi kati ya Tanzania na Uganda, bandari nk.Wakenya kumbe kweli wako behind ya haya makelele
Lord denning
Wahujumu uchumi wa tanganyika ni ccm unawasingizia wakenyaKenya ni muhujumu mkubwa wa maendeleo ya Tanzania. Vuta picha swala la Loliondo, bomba la gesi kati ya Tanzania na Uganda, bandari nk.
Ila bahati nzuri viongozi wetu wameshawajua hivyo huendelea na mipango yao ya kimaendeleo bila kujali hujuma zao na za vibaraka wao.