Gaddo alikuwa anachora viponzo vya Magufuli kila wiki. Acha uongoMagufuli walikuwa wanamuogopa ndio maana alijifanyia atakavyo huku majority ya Watanzania walikuwa kimyaaa...haha nimejaribu kuichunguza hii tabia nikafikia kusema labda inatokana na historia yetu ya utumwa na ukoloni.
Tunampenda mtu anayetukandamiza WHY?!
We are very weak mentally.
Uongo wangu ni nini?Acha uongo
Mkuu hatukoseagi!!Wakenya kumbe kweli wako behind ya haya makelele
Lord denning
mjinga uyu achana naye tulikuwa tunamchana magufuli japo alikuwa muuaji.. Leo tumwogope mpembaUongo wangu ni nini?
Hapana ndugu yupo mpaka 2035Labda kifo kiingilie,ila kama mambo yatabaki hivi......Samia mpaka 2030
mchoraji wa katuni peponi moja kwa mojaView attachment 2675264
Godfrey Mwampembwa ni mchoraji wa katuni kutoka nchini Tanzania anayeishi Kenya. Katuni zake nyingi zinahusu habari za siasa lakini amechora pia Hekaya za Abunuwasi. Gado ni mchoraji anayechapishwa zaidi katika Afrika ya Mashariki.
Ndio zimetumika hongo na safari za wale wote wanaotetea huu mkataba(Machawa)gado ni mtoto wa sinza a ni bro wetu mtaani kenya yupo kikazi,,. kwa ujumla kuna TETESI dola milioni 500 hazijulikani zipo wapi.ZA MKATABA WA BANDARI
Najua hiliNdio zimetumika hongo na safari za wale wote wanaotetea huu mkataba(Machawa)