Kazi ya Kuuza Movie/Series Kwa Kijana Mwenye Uzoefu nayo

Kazi ya Kuuza Movie/Series Kwa Kijana Mwenye Uzoefu nayo

Comrade Liu Yang

Senior Member
Joined
Aug 16, 2023
Posts
161
Reaction score
282
Ofisi inajihusisha na ujasiriamali wa kuuza Series/movies kwa watu majumbani.

Anahitajika kijana mwenye uzoefu na kazi ambae ameshawahi kuifanya na mwenye uzoefu nayo.

Lakini kwa ambae anajua computer vizuri kutumia na Kuitengeneza matatizo madogo madogo pia unaweza kufaa.

Kazi ni Kuingiza Movie kwenye kifaa atakachokuja nacho mteja.

Kupanga Movie kwnye mafaili yake kulingana na mwaka na siku husika.

Usafi wa Eneo lako la kazi na kuhakikisha usalama wa vifaa vyako..

Mshahara : 300,000 kwa mwezi
Muda Wa kuingia 1:00 asubuhi
Muda wa Kutoka : 5:00 usiku

Eneo la Kazi : Dar/Temboni/Mwika Annex.

Kwa atakaesikia hii amtaarifu na mwingine.

Mawasiliano : Inbox
 
Fulusa🔥
GK2qbk4WIAAGUMW.jpeg
 
Asante, ila I did it on purpose ili niendane na bandiko na aina ya mtu anayetakiwa

Wengi wao ndio wale wanao andika h badala ya a,e,i,o na u,
Mfano
Hanakuja
Hendelea.....
Mkuu sipendi aina hiyo ya watu basi tu nashindwaga elewa shule watu wanakua wanaenda kufanya nini.

Ila tuwachukulie tu ndio udhaifu wao
 
Mkuu sipendi aina hiyo ya watu basi tu nashindwaga elewa shule watu wanakua wanaenda kufanya nini.

Ila tuwachukulie tu ndio udhaifu wao
Huwa nachukia sana pale mtu anapo amua kuzungumza au kuandika namna hiyo tena makusudi kabisa.

Wanamuziki
Jux.......
Watangazaji
Wanasiasa
Walala hoi wenzangu
 
Huwa nachukia sana pale mtu anapo amua kuzungumza au kuandika namna hiyo tena makusudi kabisa.

Wanamuziki
Jux.......
Watangazaji
Wanasiasa
Walala hoi wenzangu
Hiii ni zaidi kwa wakazi wa Dar na Mkrogoro wao wameathiriwa na herufi "L"

Arusha wao Herufi "R"

Wengi ni kuigana ujinga
 
Back
Top Bottom