Comrade Liu Yang
Senior Member
- Aug 16, 2023
- 161
- 282
- Thread starter
- #21
Uskasirike Mkuu😂Bure kabisa 😡
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uskasirike Mkuu😂Bure kabisa 😡
Arusha hatuna huo ugonjwa wa kuchanganya L na RArusha wao Herufi "R"
Nikajua huwa napata hasira peke yangu kumbe tuko wengi basi ndio hasira zinazidi. Mambo ya aibu kabisa.Uskasirike Mkuu😂
Napendekeza uurekebishe,hiyo saa 1 asubuhi mtu wa kuweka wapi utampata wapi?,fanya kuingia saa 2 asubuhi kutoka saa 4 usiku ili huyo mtu hata hakai tembon aweze kurudi kwaoOfisi inajihusisha na ujasiriamali wa kuuza Series/movies kwa watu majumbani.
Anahitajika kijana mwenye uzoefu na kazi ambae ameshawahi kuifanya na mwenye uzoefu nayo.
Lakini kwa ambae anajua computer vizuri kutumia na Kuitengeneza matatizo madogo madogo pia unaweza kufaa.
Kazi ni Kuingiza Movie kwenye kifaa atakachokuja nacho mteja.
Kupanga Movie kwnye mafaili yake kulingana na mwaka na siku husika.
Usafi wa Eneo lako la kazi na kuhakikisha usalama wa vifaa vyako..
Mshahara : 300,000 kwa mwezi
Muda Wa kuingia 1:00 asubuhi
Muda wa Kutoka : 5:00 usiku
Eneo la Kazi : Dar/Temboni/Mwika Annex.
Kwa atakaesikia hii amtaarifu na mwingine.
Mawasiliano : Inbox
sawa mkuuNapendekeza uurekebishe,hiyo saa 1 asubuhi mtu wa kuweka wapi utampata wapi?,fanya kuingia saa 2 asubuhi kutoka saa 4 usiku ili huyo mtu hata hakai tembon aweze kurudi kwao
😂😂😂Nikajua huwa napata hasira peke yangu kumbe tuko wengi basi ndio hasira zinazidi. Mambo ya aibu kabisa.
Unakuta mtu mzima anasema
"Husimdharau mtu" kweli?
😂😂😂😂😂😂 Daaah mi kwa hapo shukrani mkuu 😂😂😂🙌🙌🙌
Cheki kwanza hii mzee, na hivi uko dar una kuta unaa jishikiza kimtindoShukrani Mkuu, kuna mamichongo nafuatilia mzee ikibuma nini taona
Yap, ni kazi POA bhana, Tena Kama uli piga computer na mdomoni uko vizuri lazina u master chap🤒Nipo mie hapa!! Seriously
Nakuja PM
Acha dharau.Asante, ila I did it on purpose ili niendane na bandiko na aina ya mtu anayetakiwa
Wengi wao ndio wale wanao andika h badala ya a,e,i,o na u,
Mfano
Hanakuja
Hendelea.....
KweliArusha hatuna huo ugonjwa wa kuchanganya L na R
Hayo mambo utayakuta Dar, Mbeya, Tanga n.k