Kazi ya Kuuza Movie/Series Kwa Kijana Mwenye Uzoefu nayo

Shukrani Mkuu, kuna mamichongo nafuatilia mzee ikibuma nini taona
Nimehisi utakua vizuri sana, sikujui ila nimesukumwa kuku point...

Njoo PM niambie nini shida nini unafatilia if something i can offer more utakuja huku... karibu.
 
Wengi huogopa huhisi kazi ngumu ila hii kazi ni very easy and friendly..wale watu indoors wasiopenda onekana walipo hizi ndio kazi za kujificha watu hawajui hata upo wapi.
Eneo la kazi ni wapi?
Jumapilli kazi inafanyika?
 
usimchukulie serious mkuu wengine wanatania tu na hata kama wapo wa ivyo sio wote.

mbona hiyo kazi watu wastarabu na wasomi wengi sana wanaifanya.. Mchukulie easy Mkuu.
 
Hiii ni zaidi kwa wakazi wa Dar na Mkrogoro wao wameathiriwa na herufi "L"

Arusha wao Herufi "R"

Wengi ni kuigana ujinga
Arusha hawachanganyi R na L isipokua kila moja inatajwa sehem sahihi na inasikika, arusha hakuna ugonjwa wa kukosea maneno kwa kutamka "sukali, Baiskeri, taperi, Habali" hiyo hamna ni "sukari, Baiskeli, Tapeli, Habari" L na R zinasikika vizuri zikitamkwa, huo ugonjwa upo kanda ya ziwa hasa kwa wakurya na makabila mengine ya mkoa wa mara.
 
Nyimbo ilikua anakupa DJ au mnarip kwa kutumia Ashampoo au Windows Media Player. Nikaifanya nikiwa chuo na nilivyomaliza pia.
umenikumbusha mbali sanaaa, enzi za kutumia ashampoo na ku rip cd za nyimboo..

basi nilikuaga najikuta mwamba,wengi walikua hawaezi kutoa nyimbo kwenye cd iliyo ripped.

wakiweka nyimbo zinasoma zina KB 1 zotee

basi unaskia wanaaambiana Nenda kwa yule Brooo anaweza zitoa hizooo

Nafungua NERO 6 yangu nafanya yangu...ashampoo sijaitumiaga maana wengi huitumia nli ipenda nero
 
Wengi huogopa huhisi kazi ngumu ila hii kazi ni very easy and friendly..wale watu indoors wasiopenda onekana walipo hizi ndio kazi za kujificha watu hawajui hata upo wapi.
kazi nzuri hiyo mkuu, Tena kwa mpenda movie ka kina Poor Brain, Vincenzo Jr, Selikavu, adriz lazima awa bambe wateja coz Wana zijua Kali zipiπŸ€£πŸ˜‚
 
Umeshapata mkuu?
 
Ebwana acha tu 🀣

Sasa Nero 6 ndiyo ilikua very convenient. Ziliposogea version nyingine zikawa complicated vibaya.

Ashampoo ilibidi nikomae nayo kwakua hizi version mpya za Nero zikawa unstable mno kuliko Nero 6. Unaburn ukimaliza CD inasoma imejaa ila huoni kitu.

Siku hizi mtu anadownload tu 🀣
 
siku hizi nyimbo zinauzika zilipendwa hazipo mtandaoni na nyimbo za dini watu wanazskia ila hawazjui majina kwahyo ukimpgia anasema hiyo hiyo nilikua naitafutaaaaπŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…