Kazi ya mke ni ipi nyumbani?

Kazi ya mke ni ipi nyumbani?

Akifany kaz zote za nyumban utapunguza mawazo?!, Utaacha kutulia Bara?!, utapunguza misongo?!, ni Nooo
Kubwa mwanamke awe mtiifu kwko tu hilo pekee linatosha. Tuondokana na shida kwenye ndoa
Hapana
Mungu alimpa mwanamke ofisi moja
Ambayo ni nyumbani.
Akifanya kazi zote na Mumewe,mumewe atapunguza mawazo ndio.
Mwanaume atatulua ndio kwakuwa mke ni msaidizi wa shughuli za mwanaume
 
1. Mke kutii: ikiwa wewe ni mke, inatakiwa kusikia sauti ya mume wake hata kama anakipato cha chini au anamapungufu fulani, au ni mwenye dhambi, Unapaswa umtii na ujishushe kwasababu hayo ndiyo maagizo ya Mungu.
2. Mwanaume kupenda: ukimpenda mtu unamuwaza, unamfkiria, unamtendea mazuri na mema, unafanya mambo Kwa ajili yake unamjali, unampa dhamani, Unampa anachostaili, unamsikiliza, na kuheshmu, huo ndo Upendo.
Ukumtii mumeo hutaangaika kuwahudumia,ama kuwatumikia wanaume wengine
 
Yalikwama ndio sababu mtu akaoa.
Kama ulioa kwa sababu ya kufanya tendo tuu basi ww hukuoa
Mungu hakumpa adam mke kwakigezo cha kufanya tendo.
Ila kwa sababu ya upweke wa adam
We nae , Mungu alimpa Adamu mke halafu akawanyima ufahamu wa kulana mpaka Nyoka alipowalisha tunda ndio wakajua kulana, unachekesha kasome vizuri.
 
We nae , Mungu alimpa Adamu mke halafu akawanyima ufahamu wa kulana mpaka Nyoka alipowalisha tunda ndio wakajua kulana, unachekesha kasome vizuri.
Shetani hakuwalisha tunda
Alimlisha mwanamke tunda.
Isipokuwa mwanamke alitolewa bikira na nyoka kabla ya mumewe.
Maana hawa alifanya tendo na nyoka kabla ya mumewe
Kama wadada wengi wafanyavyo sikuizi
 
We nae , Mungu alimpa Adamu mke halafu akawanyima ufahamu wa kulana mpaka Nyoka alipowalisha tunda ndio wakajua kulana, unachekesha kasome vizuri.
Ndio maana nimekuambia Mungu hakumpa adam mke kwa ajil ya tendo.
Na wala hakuwataka washiriki tendo .
Isipokuwa ibilisi alipomdanganya mwanamke kupitia nyoka
Na nyoka alikuwa akitembea na mwenye miguu na mikonk mpaka pale alipolaaniwa
Na mwanamke akalaaniwa sehem za siri kuza akwa uchungu .
Nawalipokula walificha sehem zao za siri kwakuwa walijua wapouchi laa wangeziba midomo yak.
Damu ilimwagika ya bikira mbele za nyoka akatoka akaenda kulalapia na mumewe akapata mimba za wawili ndani ya siku moja

Alipozaa akazaa mmoja anatabia za adam mwingine muuaji mwenye tabia za shetani

Biblia inasema nyoka ndie mnyama aliekuwa karibu sana kufanana na mwanadamu
Na alipotoweshwa wanyama wote wanawexa fanyiwa breed isipokuwa mwanadam maana nyoka alishabadilishwa
 
Anatakiwa afanye kazi/majukumu yapi, na yapi hatakiwi kufanya akiwa nyumbani?

Kwa sababu kuna watu wanajisifia huku duniani kuwa wameoa,lakini hawajui majukumu ya wake zao.

Wengine wanaishia kuwa na misongo ya mawazo, kushinda bar, kuchanganikiwa na kujiongelesha wenyewe wenyewe; inayopelekea ukuaji wa tatizo la magonjwa ya akili.

Wakuu, nawasilisha.

:CarltonPls: :LeroyPls: :MufasaPls: :OrangeJustice:
Kumburudisha mmewe.
 
Andiko ku support hoja?
Kasome mwanzo 2
Miti yote ilioteshwa kutoka ardhini isipokuwa mti wa uzima pamoja na mti wa ujuzi wa mema na mabaya

Mti wa uzima ni Yesu kristk
Na mti wa ujuzi wa mema na mabaya uliokati kati ya bustani ndio pale mtu anapovunja ungo na kubalehe.
Yaan sehem za siri za mwanamke
 
Burudani ya mwanaume haipo kwa mwanamke
Mungu aliweka burudani ya mwanaume kwenye kumuabudu Mungu
Isipokuwa wengi huiweka mahali ambapo sipo
Kwenye pombe,umalaya,bangi,mipira uko kotee hakumridhishi mwanadamu isipokuwa uwepo wa mungu kwenye maisha yake
Mungu ni nani?

Mungu ni binadamu yaani mimi na wewe.
Binadamu akifanya matendo yasiyofaa kwenye jamii anageuka kuwa shetani.

Kwa hiyo Mungu ni binadamu halafu shetani pia ni binadamu. Ukienda mbali utagundua kwamba Whites have Jesus,Arabs have Mohammad and we AFRICANS ours is Saturn.

Vp Wachina na Wkorea kaskazini wao wana muabudu nani na je ndiye aliyewaumba na ndiye anayewapa pumzi ya uhai?
 
Mungu ni nani?

Mungu ni binadamu yaani mimi na wewe.
Binadamu akifanya matendo yasiyofaa kwenye jamii anageuka kuwa shetani.

Kwa hiyo Mungu ni binadamu halafu shetani pia ni binadamu. Ukienda mbali utagundua kwamba Whites have Jesus,Arabs have Mohammad and we AFRICANS ours is Saturn.

Vp Wachina na Wkorea kaskazini wao wana muabudu nani na je ndiye aliyewaumba na ndiye anayewapa pumzi ya uhai?
That's what satan have told u
Kwamba usiamini uwepo wake wala wa mungu.
Uishi tuu
Na amewakamata wengi.
Kama huwezi kuuona uwepo wa mungu ulimwenguni wala kwenye nature.
Amekuweza asilimia 100
Na akama huwez kumuona ibiisi basi hali yako ni mbaya zaidi.

Mtoto akiachwa bila kupewa dini yeye anavutwa kwa ibilisi moja kwa moja
Maana ndipo uimwengu unapovuta
Na je ww unawezaje kujipumbaza uwepo wa mungu na wa ibilisi.

Ila hata hvyo Kuna nafasi zilishahukumuwa kabla ya kuzaliwa.


Zaburi 14:1-3
[1]Mpumbavu amesema moyoni, Hakuna Mungu;
Wameharibu matendo yao na kuyafanya chukizo,
Hakuna atendaye mema.

[2]Toka mbinguni BWANA aliwachungulia wanadamu,
Aone kama yuko mtu mwenye akili,
Amtafutaye Mungu.

[3]Wote wamepotoka, wameoza wote pamoja,
Hakuna atendaye mema,
La! Hata mmoja.
 
Mungu ni nani?

Mungu ni binadamu yaani mimi na wewe.
Binadamu akifanya matendo yasiyofaa kwenye jamii anageuka kuwa shetani.

Kwa hiyo Mungu ni binadamu halafu shetani pia ni binadamu. Ukienda mbali utagundua kwamba Whites have Jesus,Arabs have Mohammad and we AFRICANS ours is Saturn.

Vp Wachina na Wkorea kaskazini wao wana muabudu nani na je ndiye aliyewaumba na ndiye anayewapa pumzi ya uhai?
Kwaio ww uliumba ulimwengu?
Uliyapa mipaka maji na nchi kavu
Uliziweka nyota mahali pao na katika mizunguko yao
Ww ulitengeneza nyasi ili walao nyasi wafurahie
Ama ww ndie ulielipa jua sheria yakuzama jion na kutoka asubuh
 
Back
Top Bottom