Kazi ya mke ni ipi nyumbani?

Kazi ya mke ni ipi nyumbani?

1. Mke kutii: ikiwa wewe ni mke, inatakiwa kusikia sauti ya mume wake hata kama anakipato cha chini au anamapungufu fulani, au ni mwenye dhambi, Unapaswa umtii na ujishushe kwasababu hayo ndiyo maagizo ya Mungu.
2. Mwanaume kupenda: ukimpenda mtu unamuwaza, unamfkiria, unamtendea mazuri na mema, unafanya mambo Kwa ajili yake unamjali, unampa dhamani, Unampa anachostaili, unamsikiliza, na kuheshmu, huo ndo Upendo.
Sasa mbona haujamalizia kwamba hata kama mke ana mapungufu na dhambi mume anatakiwa ampende tu
 
Anatakiwa afanye kazi/majukumu yapi, na yapi hatakiwi kufanya akiwa nyumbani?

Kwa sababu kuna watu wanajisifia huku duniani kuwa wameoa, lakini hawajui majukumu ya wake zao.

Wengine wanaishia kuwa na misongo ya mawazo, kushinda bar, kuchanganikiwa na kujiongelesha wenyewe wenyewe; inayopelekea ukuaji wa tatizo la magonjwa ya akili.

Wakuu, nawasilisha.

:CarltonPls: :LeroyPls: :MufasaPls: :OrangeJustice:
ni principal assistant wa mtu mume, ambae jukumu lake la mwanzo kabisa ni kuambatana na mume wake na kushiriki kikamilifu pamoja na Mungu, katika kazi muhimu sana na ya Baraka ya uumbaji. Kuzaa watoto 🐒

Lakini kazi nyingine za ziada za mwanamke kwa mwanaume ni pamoja na kumsaidia mume wake kimwili na kiroho, katika kazi za malezi na uzalishaji kwa unyenyekevu, heshima, utii, na upendo wa kiwango cha Juu sana ili hatimae furaha, Amani, utulivu maelewano na Mapenzi motomoto yakatamalaki katika nyumba yenu 🐒

hata hivyo, Imeandikwa,
1 Pet 3:7
kadhalika ninyi waume, kaeni na wake zenu kwa akili, na kumpa mke heshima, kama chombo kisicho na nguvu, na kama warithi pamoja na neema ya uzima, kusudi kuomba kwenu kusizuiliwe.
 
Issue ya KATAA NDOA ingeingizwa kwenye katiba ili watu kama nyie mnaeleta thread za ndoa mfungwe maisha...

KATAA NDOA, NDOA NI UTAPELI..
As much as “you” are concerned, Hii comment yako imenikumbusha mara ya kwanza naangalia series ya Queen charlotte, Series inaanza kwa heka heka za King George kuozwa Queen Charlotte, harusi imefanyika fresh na vikwazo vyake. Ajabu ni kuwa kabla hatujaoneshwa scene ya King na queen kubanduana, director akachomekea scene ya mlinzi/msaidizi wa kiume wa king na msidizi wa kiume na wa king kutamaniana na mwisho kubanduana. (Li scene lirefu kweli, from kissing to penetrating)

Yaani director na crew yake waliona ni vyema na haki watutangulizie scene ya mashoga kubanduana kabla ya wawili waliooana. Akili yangu ndogo ILIJIULIZA maswali mengi sana!!

Rejea sentensi yangu ya kwanza; halafu rejelea comment yako mahali ukisema mwenyewe kuwa “Ofcoz sio shida zako kumlala shoga” (i hope sijakufananisha)
Halafu rejelea nilipobold, We have alot of questions kwa kataa ndoa, Naelewa kuwa “baadhi” wana reasons genuine na maoni yao yaheshimiwe, ila kwenye huu msafara wa kenge kuna hadi nungunungu 😂

I’m very good at observing, ni mara nyingi tu nimewabamba kataa ndoa wengi wakicomment “very softly” likija suala la wanaume kulawitiana, ikiwemo yule kiongozi wenu kuna mahali comment yake ilinishangaza, alijichekesha katika kitu mada ya Me kumlala Me mwenzie, mada ambayo haikuhitaji yeyote ajichekeshe! WAKUU KWEMA?

Apologies for any confusion caused ! Karibu chai.
 
1. Kuhakikisha nyumba ipo kwenye Hali nzuri
2. Kuhakikisha watu wa nyumbani kwake wamekula vizuri
3. Kumfariji na kumtia moyo mume wake
4. Kumuombea na kumtakia mema mume wake
5. Kulea watoto na kuwafundisha maadili
6. Kutimiza mahitaji ya ki mwili ya mume wake ( sex).
 
Kwaio ww uliumba ulimwengu?
Uliyapa mipaka maji na nchi kavu
Uliziweka nyota mahali pao na katika mizunguko yao
Ww ulitengeneza nyasi ili walao nyasi wafurahie
Ama ww ndie ulielipa jua sheria yakuzama jion na kutoka asubuh
Hayo yote unayo taja ni nadharia wala yasikutishe kwakuwa hayana ukweli wowote.
Ni mbinu tu za kukusanya mapato kutoka kwa wanyonge bila shuruti.
 
That's what satan have told u
Kwamba usiamini uwepo wake wala wa mungu.
Uishi tuu
Na amewakamata wengi.
Kama huwezi kuuona uwepo wa mungu ulimwenguni wala kwenye nature.
Amekuweza asilimia 100
Na akama huwez kumuona ibiisi basi hali yako ni mbaya zaidi.

Mtoto akiachwa bila kupewa dini yeye anavutwa kwa ibilisi moja kwa moja
Maana ndipo uimwengu unapovuta
Na je ww unawezaje kujipumbaza uwepo wa mungu na wa ibilisi.

Ila hata hvyo Kuna nafasi zilishahukumuwa kabla ya kuzaliwa.


Zaburi 14:1-3
[1]Mpumbavu amesema moyoni, Hakuna Mungu;
Wameharibu matendo yao na kuyafanya chukizo,
Hakuna atendaye mema.

[2]Toka mbinguni BWANA aliwachungulia wanadamu,
Aone kama yuko mtu mwenye akili,
Amtafutaye Mungu.

[3]Wote wamepotoka, wameoza wote pamoja,
Hakuna atendaye mema,
La! Hata mmoja.
Ona sasa umeanza kuleta hadithi za James.
Mkuu wewe fanya kazi ili upate kipato,muda wako wa kuishi ukiisha umeisha na wala usitarajie kuwa kuishi kwa mara nyingine.

Utaota mmea sehemu utakapozikwa/nitakapozikwa ama yatachimbwa mafuta sehemu hiyo.
Hayo mengine ni vitisho tu vya King James na wachumi alio kaa nao kipindi wana andaa huo mpango kazi.
 
Anatakiwa afanye kazi/majukumu yapi, na yapi hatakiwi kufanya akiwa nyumbani?

Kwa sababu kuna watu wanajisifia huku duniani kuwa wameoa, lakini hawajui majukumu ya wake zao.

Wengine wanaishia kuwa na misongo ya mawazo, kushinda bar, kuchanganikiwa na kujiongelesha wenyewe wenyewe; inayopelekea ukuaji wa tatizo la magonjwa ya akili.

Wakuu, nawasilisha.

:CarltonPls: :LeroyPls: :MufasaPls: :OrangeJustice:
1711684099053.png


 
majukumu yapi
Ashinde na nguo nyepesi na asivae chupi ya aina yoyote awapo mbele ya mumeo yaani akae uchi, ili Mume apate munkali wa kumpelekea paipu mengine ni ya nyongeza hujaolewa kwenda kuosha vyombo na kupika umeolewa ukaukalie mpini
 
Back
Top Bottom