Majukumu mengine ni kumuonea tuu mwanamkeInawezekana ikawa ni mojawapo ya majukumu;mengine ni yapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Majukumu mengine ni kumuonea tuu mwanamkeInawezekana ikawa ni mojawapo ya majukumu;mengine ni yapi?
[emoji3]Issue ya KATAA NDOA ingeingizwa kwenye katiba ili watu kama nyie mnaeleta thread za ndoa mfungwe maisha...
KATAA NDOA, NDOA NI UTAPELI..
Kama nani?Wengi wana misongo ya mawazo 😀
Duuh kwahiyo mzigo wa kubeba mimba, kuzaa, kunyonyesha, kulea, kufanya kazi za nyumbani na kutii binadamu mwenzako maisha yako yote sio mzito mkuuHapo ndipo ujue, mwanaume amebebeshwa mzigo mzito sana; bahati nzuri mbinguni hatuendi na mali
Sasa mbona haujamalizia kwamba hata kama mke ana mapungufu na dhambi mume anatakiwa ampende tu1. Mke kutii: ikiwa wewe ni mke, inatakiwa kusikia sauti ya mume wake hata kama anakipato cha chini au anamapungufu fulani, au ni mwenye dhambi, Unapaswa umtii na ujishushe kwasababu hayo ndiyo maagizo ya Mungu.
2. Mwanaume kupenda: ukimpenda mtu unamuwaza, unamfkiria, unamtendea mazuri na mema, unafanya mambo Kwa ajili yake unamjali, unampa dhamani, Unampa anachostaili, unamsikiliza, na kuheshmu, huo ndo Upendo.
ni principal assistant wa mtu mume, ambae jukumu lake la mwanzo kabisa ni kuambatana na mume wake na kushiriki kikamilifu pamoja na Mungu, katika kazi muhimu sana na ya Baraka ya uumbaji. Kuzaa watoto 🐒Anatakiwa afanye kazi/majukumu yapi, na yapi hatakiwi kufanya akiwa nyumbani?
Kwa sababu kuna watu wanajisifia huku duniani kuwa wameoa, lakini hawajui majukumu ya wake zao.
Wengine wanaishia kuwa na misongo ya mawazo, kushinda bar, kuchanganikiwa na kujiongelesha wenyewe wenyewe; inayopelekea ukuaji wa tatizo la magonjwa ya akili.
Wakuu, nawasilisha.
![]()
![]()
![]()
As much as “you” are concerned, Hii comment yako imenikumbusha mara ya kwanza naangalia series ya Queen charlotte, Series inaanza kwa heka heka za King George kuozwa Queen Charlotte, harusi imefanyika fresh na vikwazo vyake. Ajabu ni kuwa kabla hatujaoneshwa scene ya King na queen kubanduana, director akachomekea scene ya mlinzi/msaidizi wa kiume wa king na msidizi wa kiume na wa king kutamaniana na mwisho kubanduana. (Li scene lirefu kweli, from kissing to penetrating)Issue ya KATAA NDOA ingeingizwa kwenye katiba ili watu kama nyie mnaeleta thread za ndoa mfungwe maisha...
KATAA NDOA, NDOA NI UTAPELI..
jukumu la kwanza ni awe na KWewe unataka afanye nini?
Tafuta atakaekuwa tayari kukupa mahitaji yako
Maana kwenye hizi mada mnakuja kusema wanawapa K tu, nyie mnataka nini?
Hayo yote unayo taja ni nadharia wala yasikutishe kwakuwa hayana ukweli wowote.Kwaio ww uliumba ulimwengu?
Uliyapa mipaka maji na nchi kavu
Uliziweka nyota mahali pao na katika mizunguko yao
Ww ulitengeneza nyasi ili walao nyasi wafurahie
Ama ww ndie ulielipa jua sheria yakuzama jion na kutoka asubuh
Ona sasa umeanza kuleta hadithi za James.That's what satan have told u
Kwamba usiamini uwepo wake wala wa mungu.
Uishi tuu
Na amewakamata wengi.
Kama huwezi kuuona uwepo wa mungu ulimwenguni wala kwenye nature.
Amekuweza asilimia 100
Na akama huwez kumuona ibiisi basi hali yako ni mbaya zaidi.
Mtoto akiachwa bila kupewa dini yeye anavutwa kwa ibilisi moja kwa moja
Maana ndipo uimwengu unapovuta
Na je ww unawezaje kujipumbaza uwepo wa mungu na wa ibilisi.
Ila hata hvyo Kuna nafasi zilishahukumuwa kabla ya kuzaliwa.
Zaburi 14:1-3
[1]Mpumbavu amesema moyoni, Hakuna Mungu;
Wameharibu matendo yao na kuyafanya chukizo,
Hakuna atendaye mema.
[2]Toka mbinguni BWANA aliwachungulia wanadamu,
Aone kama yuko mtu mwenye akili,
Amtafutaye Mungu.
[3]Wote wamepotoka, wameoza wote pamoja,
Hakuna atendaye mema,
La! Hata mmoja.
Tuishi humu kwa leoKATAA NDOA, NDOA NI UTAPELI..
Itakuwa labda hawajui majukumu yaowanawake mkuje huku mjibu sasa
nafikiri wamepuuziaItakuwa labda hawajui majukumu yao
Anatakiwa afanye kazi/majukumu yapi, na yapi hatakiwi kufanya akiwa nyumbani?
Kwa sababu kuna watu wanajisifia huku duniani kuwa wameoa, lakini hawajui majukumu ya wake zao.
Wengine wanaishia kuwa na misongo ya mawazo, kushinda bar, kuchanganikiwa na kujiongelesha wenyewe wenyewe; inayopelekea ukuaji wa tatizo la magonjwa ya akili.
Wakuu, nawasilisha.
![]()
![]()
![]()
Ashinde na nguo nyepesi na asivae chupi ya aina yoyote awapo mbele ya mumeo yaani akae uchi, ili Mume apate munkali wa kumpelekea paipu mengine ni ya nyongeza hujaolewa kwenda kuosha vyombo na kupika umeolewa ukaukalie mpinimajukumu yapi