Kazi ya mke ni ipi nyumbani?

Kazi ya mke ni ipi nyumbani?

Anatakiwa afanye kazi/majukumu yapi, na yapi hatakiwi kufanya akiwa nyumbani?

Kwa sababu kuna watu wanajisifia huku duniani kuwa wameoa, lakini hawajui majukumu ya wake zao.

Wengine wanaishia kuwa na misongo ya mawazo, kushinda bar, kuchanganikiwa na kujiongelesha wenyewe wenyewe; inayopelekea ukuaji wa tatizo la magonjwa ya akili.

Wakuu, nawasilisha.

:CarltonPls: :LeroyPls: :MufasaPls: :OrangeJustice:
Kazi kuu Ni Minyambuo yani Kunyambuana Mengine Extravaganza ata House Girl atafanya
 
Anatakiwa afanye kazi/majukumu yapi, na yapi hatakiwi kufanya akiwa nyumbani?

Kwa sababu kuna watu wanajisifia huku duniani kuwa wameoa, lakini hawajui majukumu ya wake zao.

Wengine wanaishia kuwa na misongo ya mawazo, kushinda bar, kuchanganikiwa na kujiongelesha wenyewe wenyewe; inayopelekea ukuaji wa tatizo la magonjwa ya akili.

Wakuu, nawasilisha.

:CarltonPls: :LeroyPls: :MufasaPls: :OrangeJustice:
ivi n kwel unataka kujua kaz ya mke?au unaturingishia tuone ivyo vikatun ulivyoweka
 
Jukumu la mwanamke kwa mwanaume ni Personal Assistant. Majukumu ambayo PA anayafanya kwa CEO yanafanana na anayofanya mke kwa mume.

Mwanamke anatakiwa kuwa female version ya mwanaume duniani. Afanye vile vitu mwanaume hawezi fanya kwa niaba yake.

Mfano, kumfariji anapokuwa ameghafirika, kumshauri, kumkumbusha mambo muhimu, kuwa sikio lake pale anapohitaji mtu wa kumsikiliza tension zake, kumpikia na kumuandalia chakula kizuri, kumuuguza akiumwa, kumtunzia Siri na faragha zake, kuongea nae kwa sauti ya kike yenye upole na utii ndani yake, mtunza mali zake, msimamizi wa mali zake pale anapokuwa hayupo, msisimuaji wa mwili wa mwanaume na kumpa raha za kimwili, mbeba uzao wake na kulea watoto wake na warithi wa himaya yake.

Mwanamke ana majukumu hayo kwa mwanaume.
 
Back
Top Bottom