Habari wanaJF,
Mimi ni mwalimu wa kike niko Kagera. Nina degree ya elimu kutoka UDOM mwaka 2014 ndio nilimaliza nikiwa na G.P.A ya 3.4. Nina uzoefu wa miaka 4 mpaka sasa nikiwa kazini.
Mimi ni mtu ninayependa sana kujituma, kufanya kazi kwa bidii, ninauwezo mkubwa wa kutumia computer (MS word na Excel), ninauwezo wa kufanya vizuri kaz bila uangalizi na usimamizi wa mtu.
Ninauwezo wa kuandika contents (articles na vitabu), ninaongea lugha ya Kiingereza na Kiswahili vizuri (fluently).
Nina vifaaa kama Pc, smartphone yenye uwezo wa kufanya kazi hata kama sina computer karibu, internet ya kasi kubwa n.k.
Ninaomba kazi ya kufanya even through online. Kazi yoyote halali kutoka kwenye NGO's, serikalini, binafsi kama una blog, websites, shule ( kufundishwa online), kampuni mbalimbali na mashirika. Nipo tayari kufanya kazi kuanzia sasa kwa masaa 7 kwa siku.
Tafadhari niko serious na hili, mwenye kujihitaji tuwasiliane ikibidi nimpe uthibitisho kutumia nakala za vyeti, na niko tayari kufanya interview.
Asanteni.
Mimi ni mwalimu wa kike niko Kagera. Nina degree ya elimu kutoka UDOM mwaka 2014 ndio nilimaliza nikiwa na G.P.A ya 3.4. Nina uzoefu wa miaka 4 mpaka sasa nikiwa kazini.
Mimi ni mtu ninayependa sana kujituma, kufanya kazi kwa bidii, ninauwezo mkubwa wa kutumia computer (MS word na Excel), ninauwezo wa kufanya vizuri kaz bila uangalizi na usimamizi wa mtu.
Ninauwezo wa kuandika contents (articles na vitabu), ninaongea lugha ya Kiingereza na Kiswahili vizuri (fluently).
Nina vifaaa kama Pc, smartphone yenye uwezo wa kufanya kazi hata kama sina computer karibu, internet ya kasi kubwa n.k.
Ninaomba kazi ya kufanya even through online. Kazi yoyote halali kutoka kwenye NGO's, serikalini, binafsi kama una blog, websites, shule ( kufundishwa online), kampuni mbalimbali na mashirika. Nipo tayari kufanya kazi kuanzia sasa kwa masaa 7 kwa siku.
Tafadhari niko serious na hili, mwenye kujihitaji tuwasiliane ikibidi nimpe uthibitisho kutumia nakala za vyeti, na niko tayari kufanya interview.
Asanteni.