Kazi ya Ualimu imeniharibia maisha yangu. Sisemi msiisomee la hasha!

Kazi ya Ualimu imeniharibia maisha yangu. Sisemi msiisomee la hasha!

Mama Edina

JF-Expert Member
Joined
Dec 18, 2022
Posts
850
Reaction score
2,019
Ualimu ni kazi nzuri Sana. Inavutia Sana kuifanya kwa moyo. Nakumbuka nikiwa darasani nikiwalekeza watoto napata Raha sana mwanafunzi anapoelewa na kuelezea(demonstrate) like jambo.

Nilikuwa nafurahia Sana nilikutana na mtoto hajui kusoma vizuri au hata kuandika sawasawa nikamuuliza mama au baba ake ..." Huyu mtoto anevukaje sekondari Ili hali hajui kusoma vema na kuandika.."..na tuifanye nini..

Nilifurahia Sana mzazi anapotoa sababu...na Kwa kuwa lengo ni Moja tu ajue kusoma na kuandika na kupambanua mambo.

Nilifurahia na kuifanya kazi Kwa moyo.

Suala la mtoto kupita sekondari hajui si kosa la mzazi bali yule mwalimu wake wa shule ya awali na msingi.

Tatizo ni kwamba mwalimu amechoka, anafanya kazi Muda wote na watoto huku akiishi maisha ya dhiki,dharau na kunyanyaswa na wanaoitwa mwalimu mkuu(msingi) au Mkuu wa shule (sekondari), MEK,AFISA ELIMU (MSINGI NA SEKONDARI)

MIKOANI SIJUI(KWA MAANA YA AFISA ELIMU MKOA NA KATIBU TAWALA WAKE) HAO WANENE SIJUI.

MIMI nimepoteza Muda wangu Kwa dharau na kutojali unyanyasaji kutoka Kwa hawo viongozi.

Ninaamini hata walimu wenzangu yanawakutaa na haya.

Nina Umri wa miaka 25 kazini. Kazi hii ya ualimu nimeifanya yapata miaka 17. Baada ya hapo nikaipata kazi nyingine. Na niseme wazi wazi kama Mungu yupo kuna watu Wana dhambi nyingi na hamtapata nafasi utetezi.

Kazi ya 'Ualimu' imeniharibia maisha yangu. Sisemi msiisomee la hasha! Nimetumia sehemu ya maisha yangu ya kazi nikishuhudia dharau na kutojali na kutuona walimu hatuna thaman kuliko wao MEK na baadhi ya viongozi.

MEK ni Mratibu Elimu Kata.
Mwalimu Mkuu ni Mkuu wa kituo msingi.

Mkuu wa shule ni Mkuu wa kituo sekondari.

Sikumbuki Cha maana nilichopata zaid ya kumbukumbu mbaya kutoka kwenye mamlaka. Mwalimu anaambulia kujenga, kununuyusafiri na kusubiri kuinua mgongo. Sijaona kitu kingine. Kwa Sasa naona tofauti katika kazi hii nikiyonayo na kazi pendwa ya ualimu.
 
Ualimu ni kazi nzuri Sana. Inavutia Sana kuifanya kwa moyo. Nakumbuka nikiwa darasan nikiwalekeza watoto napata Raha sana mwanafunzi anapoelewa na kuelezea(demonstrate) like jambo.

Nilikuwa nafurahia Sana nilikutana na mtoto hajui kusoma vizuri au hata kuandika sawasawa nikamuuliza mama au baba ake ..." Huyu mtoto anevukaje sekondari Ili hali hajui kusoma vema na kuandika.."..na tuifanye nini..

Nilifurahia Sana mzazi anapotoa sababu...na Kwa kuwa lengo ni Moja tu ajue kusoma na kuandika na kupakbanua mambo.

Nilifurahia na kuifanya kazi Kwa moyo.

Suala la mtoto kupita sekondari hajui si kosa la mzazi bali yule mwalimu wake wa shule ya awali na msingi.

Tatizo ni kwamba mwalimu amechoka, anafanya kazi Muda wote na watoto huku akiishi maisha ya dhiki,dharau na kunyanyaswa na wanaoitwa mwalimu mkuu(msingi) au Mkuu wa shule (sekondari), MEK,AFISA ELIMU (MSINGI NA SEKONDARI)

MIKOANI SIJUI(KWA MAANA YA AFISA ELIMU MKOA NA KATIBU TAWALA WAKE) HAO WANENE SIJUI.

MIMI nimepoteza Muda wangu Kwa dharau na kutojali unyanyasaji kutoka Kwa hawo viongozi.

Ninaamini hata walimu wenzangu yanawakuta haya.

Nina Umri wa miaka 25 kazini. Kazi hii ya ualimu nimeifanya yapata miaka 17. Baada ya hapo nikaipata kazi nyingine. Na niseme wazi wazi kama Mungu yupo kunawatu Wana dhambi nyingi na hamtapata nafasi utetezi.

Kazi ya 'Ualimu' imeniharibia maisha yangu. Sisemi msiisomee la hasha! Nimetumia sehemu ya maisha yangu ya kazi nikishuhudia dharau na kutojali na kutuona walimu hatuna thaman kuliko wao MEK na baadhi ya viongozi.

MEK ni Mratibu Elimu Kata.
Mwalimu Mkuu ni Mkuu wa kituo msingi.

Mkuu wa shule ni Mkuu wa kituo sekondari.
Fafanua zaidi mkuu. Vipi hii kazi mpya waionaje?
 
Fafanua zaidi mkuu. Vipi hii kazi mpya waionaje?
Ninapata allowance
(1)usafiri.
Zamani nilikuwa natumia miguu, nikakopa nikununua bodaboda ikawa inanisadia. Nadhani hii ndio Hali wanayoishi walimu kwa Sasa. Hujajiongeza utaishi Kwa taabu.

Kwa Sasa transport allowance IPO. Namshukuru Mungu.

(2) House allowance IPO. Awali nilipangisha. Nikakopa nikajenga Kwa taabu Sana.

Serikali inattuhadaa Sana hapa kujenga nyumba za walimu"kwio"

Najiuliza kwanini sikupata hii kazi mapema? Mwalimu asipojipanga ataishia kuishi maisha ya taabu.

(3) Heshima. Jamani hakuna Jambo muhimu katika maisha kama heshima.
 
MEK na AEK ndo wenyewe hao sasa. Ualimu ni kazi fundisha waelewe wasielewe vuta mpunga kula
AEK ni AFISA ELIMU KATA.

Hawa ni Bora wafute hii nafasi Haina maana inawapa kiburi Sana yaani unaweza ukatamani uwe mchawi au mwanga kuliko hukukutana na MEK huku AFISA ELIMU WILAYA yaani ni kama hawajui nini wanafanya.
 
IMG_4392.jpg
 
Welldone mtoa hoja na hongera sana ,umejitahidi kudumu kwenye kazi hii ya chaki,binafsi mmmm miezi 6 tu nikainua mikono!,waiter wa Cassanova restaurant, anatengeneza mshahara wangu wa ualimu within 10days!,it's craze
 
AEK ni AFISA ELIMU KATA.

Hawa ni Bora wafute hii nafasi Haina maana inawapa kiburi Sana yaani unaweza ukatamani uwe mchawi au mwanga kuliko hukukutana na MEK huku AFISA ELIMU WILAYA yaani ni kama hawajui nini wanafanya.
Wahuni sana hao wanakagua hadi lesson na scheme na kugonga mihuri. Alaf wanajiskiaga sana na wanapenda kuwala wamadam hata kwa kulazimisha.
 
Pole Sana Ualimu ni wito
Ukitaka utajiri ni kufanya Biashara.


Pia usitafute Heshima hapa Duniani , Heshima yaani unataka Binadamu wa kuheshimu ili iweje nyie wasomi uchwara
Hapana si hivyo.

Hivi hawa wanaoitwa viongozi Elimu wanamamlaga gani ya kukufokea hali akijua hana haki hiyo. Mengine ingia wewe ukakumbane nayo.

Wengi Wana maumivu
Screenshot_20230211-083124.jpg


Hata hivyo sishangai kuona kundi teteatetea ujinga
 
Ninapata allowance
(1)usafiri.
Zamani nilikuwa natumia miguu, nikakopa nikununua bodaboda ikawa inanisadia. Nadhani hii ndio Hali wanayoishi walimu kwa Sasa. Hujajiongeza utaishi Kwa taabu.

Kwa Sasa transport allowance IPO. Namshukuru Mungu.

(2) House allowance IPO. Awali nilipangisha. Nikakopa nikajenga Kwa taabu Sana.

Serikali inattuhadaa Sana hapa kujenga nyumba za walimu"kwio"

Najiuliza kwanini sikupata hii kazi mapema? Mwalimu asipojipanga ataishia kuishi maisha ya taabu.

(3) Heshima. Jamani hakuna Jambo muhimu katika maisha kama heshima.
Unazungumzia ualimu wa ulaya au bongonyoko, hakuna mwalimu anaepewa allowance usitake kuwashika watu masikio hapa, ni mkuu wa shule peke ake anapewa 250000 ya madaraka na majukumu yake
 
Back
Top Bottom