Sijui nikuelezeje lakin huwez acha kazi kisa eti una dharauliwa ww ulipata kazi nzuri, wachungaji wa dini wanadharailiwa Sana lakin kwa sababu ya wito hawaachi kazi, nasema hvi usinge kuwa umepata hyo kazi kweli Sasa hv ungekua Bado mwl ,
Alafu dharau ni jinsi wewe unaichukulia mtu akikudharau ukampuuza nothing will affect you,
Lakin akikudharau ukaweka kichwani utaona umedharauliwa ,
Nchi yetu Bado Haina pesa ya kulipa walim kama USA Kule ili uwe mwl lazima kwanza uwe na div 1 yaan bright ndo wanatakiwa kuwa walim,
Sisi uku kwetu Bado , mtu ana div 4 anaenda kufundisha ,
Shukuru Mungu ulipata huo ualim walio kudharau walikua wanakupa changamoto Sasa ilibidi uishide ,
Mimi sio mwl kozi yangu nimemaliza 2016 since now Sija ajiriwa , before sijasoma hii kozi nilitaka nianzishe twishen eneo nililokua nakaa hakukua na kindergarten, nilitaka niombe pale kanisan niweke kindergarten na ningetoboa,.
Sasa ambae angenidharau si ningemcheka tu,
Bahati nzuri nikaenda somea hii kozi,
My dear dharau Ni jinsi wewe unaichukulia kwa hyo wale wanaume wanao tembeza mboga barabarani au sokonj na ni wanaume nao vip ,
Fikilia Wana dharauliwa kiasi Gani ?
Waache kisa dharau,
NB; hakuna kazi isiyo kuwa na changamoto hata apo ulipo Zinakuja au hujazisema