Kazi ya Ualimu imeniharibia maisha yangu. Sisemi msiisomee la hasha!

Kazi ya Ualimu imeniharibia maisha yangu. Sisemi msiisomee la hasha!

Mwl mkuu au mek au afs elm w utamnyenyekea kama unasaka cheo na vifursa uchwara. Kuna miamba hasa yenye digrii takatifu, sio zile za kuungaunga hadi tunawatongoza hao mabosi na wananyoshwa vzr tu.

Kipnd cha awam ya shetan mwenda kuzm ndo walianza kupandsha mabega.
 
Mwl mkuu au mek au afs elm w utamnyenyekea kama unasaka cheo na vifursa uchwara. Kuna miamba hasa yenye digrii takatifu, sio zile za kuungaunga hadi tunawatongoza hao mabosi na wananyoshwa vzr tu.

Kipnd cha awam ya shetan mwenda kuzm ndo walianza kupandsha mabega.
Tulikataza humu kumsema mtu aliye jisakilifaisi maisha yake
 
Sijui nikuelezeje lakin huwez acha kazi kisa eti una dharauliwa ww ulipata kazi nzuri, wachungaji wa dini wanadharailiwa Sana lakin kwa sababu ya wito hawaachi kazi, nasema hvi usinge kuwa umepata hyo kazi kweli Sasa hv ungekua Bado mwl ,
Alafu dharau ni jinsi wewe unaichukulia mtu akikudharau ukampuuza nothing will affect you,
Lakin akikudharau ukaweka kichwani utaona umedharauliwa ,
Nchi yetu Bado Haina pesa ya kulipa walim kama USA Kule ili uwe mwl lazima kwanza uwe na div 1 yaan bright ndo wanatakiwa kuwa walim,
Sisi uku kwetu Bado , mtu ana div 4 anaenda kufundisha ,
Shukuru Mungu ulipata huo ualim walio kudharau walikua wanakupa changamoto Sasa ilibidi uishide ,

Mimi sio mwl kozi yangu nimemaliza 2016 since now Sija ajiriwa , before sijasoma hii kozi nilitaka nianzishe twishen eneo nililokua nakaa hakukua na kindergarten, nilitaka niombe pale kanisan niweke kindergarten na ningetoboa,.
Sasa ambae angenidharau si ningemcheka tu,

Bahati nzuri nikaenda somea hii kozi,

My dear dharau Ni jinsi wewe unaichukulia kwa hyo wale wanaume wanao tembeza mboga barabarani au sokonj na ni wanaume nao vip ,
Fikilia Wana dharauliwa kiasi Gani ?
Waache kisa dharau,

NB; hakuna kazi isiyo kuwa na changamoto hata apo ulipo Zinakuja au hujazisema
Issue wala sion dharau tu...ISSUE hapo DHARAU NYINGI-MALIPO DUNI-MAISHA MAGUMU

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
 
Issue wala sion dharau tu...ISSUE hapo DHARAU NYINGI-MALIPO DUNI-MAISHA MAGUMU

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Huo huo ualim Kuna watu wametoboa na mshahara kiduchi Ina depends on how una changa karata zako, police nao Wana lalamika hata wabunge,

Ok hongera lakin kwa kupata kazi mpya
 
Huo huo ualim Kuna watu wametoboa na mshahara kiduchi Ina depends on how una changa karata zako, police nao Wana lalamika hata wabunge,

Ok hongera lakin kwa kupata kazi mpya
Inategemea na maana yako ya KUTOBOA ndugu...
Watu wengi tunasurvive tu: EXISTING Vs LIVING
Kuna kuwepo tu (Existing) na Kuishi (Living):Wengi tupo tu, hatuishi...Tumpongeze mwenzetu kwa kupiga hatua...kwa kufanikiwa kufanya kitu roho inapenda, ana Amani sasa..kaanza kuishi

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
 
Ualimu ni kazi nzuri Sana. Inavutia Sana kuifanya kwa moyo. Nakumbuka nikiwa darasani nikiwalekeza watoto napata Raha sana mwanafunzi anapoelewa na kuelezea(demonstrate) like jambo.

Nilikuwa nafurahia Sana nilikutana na mtoto hajui kusoma vizuri au hata kuandika sawasawa nikamuuliza mama au baba ake ..." Huyu mtoto anevukaje sekondari Ili hali hajui kusoma vema na kuandika.."..na tuifanye nini..

Nilifurahia Sana mzazi anapotoa sababu...na Kwa kuwa lengo ni Moja tu ajue kusoma na kuandika na kupambanua mambo.

Nilifurahia na kuifanya kazi Kwa moyo.

Suala la mtoto kupita sekondari hajui si kosa la mzazi bali yule mwalimu wake wa shule ya awali na msingi.

Tatizo ni kwamba mwalimu amechoka, anafanya kazi Muda wote na watoto huku akiishi maisha ya dhiki,dharau na kunyanyaswa na wanaoitwa mwalimu mkuu(msingi) au Mkuu wa shule (sekondari), MEK,AFISA ELIMU (MSINGI NA SEKONDARI)

MIKOANI SIJUI(KWA MAANA YA AFISA ELIMU MKOA NA KATIBU TAWALA WAKE) HAO WANENE SIJUI.

MIMI nimepoteza Muda wangu Kwa dharau na kutojali unyanyasaji kutoka Kwa hawo viongozi.

Ninaamini hata walimu wenzangu yanawakutaa na haya.

Nina Umri wa miaka 25 kazini. Kazi hii ya ualimu nimeifanya yapata miaka 17. Baada ya hapo nikaipata kazi nyingine. Na niseme wazi wazi kama Mungu yupo kuna watu Wana dhambi nyingi na hamtapata nafasi utetezi.

Kazi ya 'Ualimu' imeniharibia maisha yangu. Sisemi msiisomee la hasha! Nimetumia sehemu ya maisha yangu ya kazi nikishuhudia dharau na kutojali na kutuona walimu hatuna thaman kuliko wao MEK na baadhi ya viongozi.

MEK ni Mratibu Elimu Kata.
Mwalimu Mkuu ni Mkuu wa kituo msingi.

Mkuu wa shule ni Mkuu wa kituo sekondari.

Sikumbuki Cha maana nilichopata zaid ya kumbukumbu mbaya kutoka kwenye mamlaka. Mwalimu anaambulia kujenga, kununuyusafiri na kusubiri kuinua mgongo. Sijaona kitu kingine. Kwa Sasa naona tofauti katika kazi hii nikiyonayo na kazi pendwa ya ualimu.
Dah! nimejihc machozi...MUNGU ni mwema ipo pengine siku nitakuja kuandika ujumbe km huu..kila la kher uko uliko... endelea kutuombea nasi
 
Ndo maaana mnahamishia stress kwa wanafunzi.


Halafu hii tabia ni mbaya ya kuhamishia stress zao kwa wanafunzi (watoto wa watu). [emoji24]

Walimu wengine (wanawake) akivurugana kidogo na mume wake au akipigwa hasira anaenda kuzimalizia kwa kubutua watoto wa watu shuleni.! Imagine! [emoji848][emoji848]
 
Walimu wengi wmetoka familia duni. Mshahara 600+ lakini ukoo mzima wanataka mgao [emoji23][emoji23][emoji23] sasa huyu mtu atatoboa lini jameni?
Wanaopokea Hy 600+ ni wachache wengi mishahara tayari ina virus unakuta mkononi mwl anaondoka na 250+ bas
 
Binafsi ualimu umenitoa

Ni kweli kuna changamoto za hapa na pale ila pia kuna faida kutegemeana na mazingira uliyopo

Ualimu ulinipa muda wa kutosha,muda huo ulinipa nafasi ya kufanya mambo kadhaa ambayo yalinipa pesa na kunipunguzia machungu.

Kwa mwaka unapata likizo mara 4,na bado unaweza omba ruhusa siku7 na ukakaa siku hata 20 kikubwa uwasiliane na mkuu wako vizuri.

Niliweza kufuga nguruwe mkoa tofauti na nilipo,nilisimamia vyema kama nipo hapo hapo,kila mwezi nilipata siku5 z kuwa huko na likizo zote nakua huko hadi wafanya kazi wakanyooka.

Nikalima vizuri tu na huku kila siku kuanzia sa9 nafanya shughuli za hapa na pale za mjini ambazo per day sikosi 20,10 kama faida.

Kwa mwaka ilikua lazima nikutane na sio chini ya 50m, ila mambo ya kutaka heshima na allowanse haya huku muda hupati nao ni upuuzi ulioniponza.

Nikiri tu,nilijenga nikiwa mwalimu,
Usafiri nilinunua nikiwa mwalimu
Ndugu zangu niliwapa mitaji nikiwa mwalimu
Huku niliko faida zipo ila muda hakuna kabisa
 
Inategemea na maana yako ya KUTOBOA ndugu...
Watu wengi tunasurvive tu: EXISTING Vs LIVING
Kuna kuwepo tu (Existing) na Kuishi (Living):Wengi tupo tu, hatuishi...Tumpongeze mwenzetu kwa kupiga hatua...kwa kufanikiwa kufanya kitu roho inapenda, ana Amani sasa..kaanza kuishi

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Watu wote waaoponda ualimu ni aidha siyo walimu a ni walimu wenye MATATIZO ya kisaikolojia.

Maana kiuhalisia Ualimu kiutumishi una Afadhali kubwa kuliko kada nyingi tu serikalini.
  • Mshahara
  • Likizo ( Muda)
 
Hivi baadhi yenu mnaojiita walimu mna akili timamu kweli?
Yaani unakutana na changamoto za kazini kwako unazihamishia jamiiforums?

Ulishawahi kuona mwanajeshi, askari polisi, usalama wa taifa madaktari n.k wanafungua nyuzi kulalamikia mambo ya kazi zao?

Kwani hamkai vikao mkayasema huko kuliko kujivua nguo humu?

Je, kuna kada yenye ubabe mwingi na kupelekeshana kama za majeshi? Mbona wao hawaji humu kulalamikia changamoto za kazi zao?

Hamna maadili ya kazi!
 
Ualimu ni kazi nzuri Sana. Inavutia Sana kuifanya kwa moyo. Nakumbuka nikiwa darasani nikiwalekeza watoto napata Raha sana mwanafunzi anapoelewa na kuelezea(demonstrate) like jambo.

Nilikuwa nafurahia Sana nilikutana na mtoto hajui kusoma vizuri au hata kuandika sawasawa nikamuuliza mama au baba ake ..." Huyu mtoto anevukaje sekondari Ili hali hajui kusoma vema na kuandika.."..na tuifanye nini..

Nilifurahia Sana mzazi anapotoa sababu...na Kwa kuwa lengo ni Moja tu ajue kusoma na kuandika na kupambanua mambo.

Nilifurahia na kuifanya kazi Kwa moyo.

Suala la mtoto kupita sekondari hajui si kosa la mzazi bali yule mwalimu wake wa shule ya awali na msingi.

Tatizo ni kwamba mwalimu amechoka, anafanya kazi Muda wote na watoto huku akiishi maisha ya dhiki,dharau na kunyanyaswa na wanaoitwa mwalimu mkuu(msingi) au Mkuu wa shule (sekondari), MEK,AFISA ELIMU (MSINGI NA SEKONDARI)

MIKOANI SIJUI(KWA MAANA YA AFISA ELIMU MKOA NA KATIBU TAWALA WAKE) HAO WANENE SIJUI.

MIMI nimepoteza Muda wangu Kwa dharau na kutojali unyanyasaji kutoka Kwa hawo viongozi.

Ninaamini hata walimu wenzangu yanawakutaa na haya.

Nina Umri wa miaka 25 kazini. Kazi hii ya ualimu nimeifanya yapata miaka 17. Baada ya hapo nikaipata kazi nyingine. Na niseme wazi wazi kama Mungu yupo kuna watu Wana dhambi nyingi na hamtapata nafasi utetezi.

Kazi ya 'Ualimu' imeniharibia maisha yangu. Sisemi msiisomee la hasha! Nimetumia sehemu ya maisha yangu ya kazi nikishuhudia dharau na kutojali na kutuona walimu hatuna thaman kuliko wao MEK na baadhi ya viongozi.

MEK ni Mratibu Elimu Kata.
Mwalimu Mkuu ni Mkuu wa kituo msingi.

Mkuu wa shule ni Mkuu wa kituo sekondari.

Sikumbuki Cha maana nilichopata zaid ya kumbukumbu mbaya kutoka kwenye mamlaka. Mwalimu anaambulia kujenga, kununuyusafiri na kusubiri kuinua mgongo. Sijaona kitu kingine. Kwa Sasa naona tofauti katika kazi hii nikiyonayo na kazi pendwa ya ualimu.
Una miaka 25 na umefundisha kwa miaka 17,je ulianza kazi na miaka mingapi?
 
Back
Top Bottom