Kazi ya Ualimu imeniharibia maisha yangu. Sisemi msiisomee la hasha!

Kazi ya Ualimu imeniharibia maisha yangu. Sisemi msiisomee la hasha!

Kuna yule jamaa mmoja ndan ya CCM na alishika nyazfa mbali mbali ndan ya serikali alisema

"Hakuna mtumish alifanikiw maisha kwakuptia mshahara"

Mtumish ni kujiongez tuu 95% ya watumish wanajimud kimaisha namaansha maisha kwamba mtu anaweza tembea na Gari la M20+ na akabalisha akajenga na kufanya mengine ana msingi wa biashara
 
Mwl mkuu au mek au afs elm w utamnyenyekea kama unasaka cheo na vifursa uchwara. Kuna miamba hasa yenye digrii takatifu, sio zile za kuungaunga hadi tunawatongoza hao mabosi na wananyoshwa vzr tu.

Kipnd cha awam ya shetan mwenda kuzm ndo walianza kupandsha mabega.
Kipnd cha awam ya shetan mwenda kuzm ndo walianza kupandsha mabega.
 
Inategemea na maana yako ya KUTOBOA ndugu...
Watu wengi tunasurvive tu: EXISTING Vs LIVING
Kuna kuwepo tu (Existing) na Kuishi (Living):Wengi tupo tu, hatuishi...Tumpongeze mwenzetu kwa kupiga hatua...kwa kufanikiwa kufanya kitu roho inapenda, ana Amani sasa..kaanza kuishi

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
kitu roho inapenda
 
Ualimu ni kazi nzuri Sana. Inavutia Sana kuifanya kwa moyo. Nakumbuka nikiwa darasani nikiwalekeza watoto napata Raha sana mwanafunzi anapoelewa na kuelezea(demonstrate) like jambo.

Nilikuwa nafurahia Sana nilikutana na mtoto hajui kusoma vizuri au hata kuandika sawasawa nikamuuliza mama au baba ake ..." Huyu mtoto anevukaje sekondari Ili hali hajui kusoma vema na kuandika.."..na tuifanye nini..

Nilifurahia Sana mzazi anapotoa sababu...na Kwa kuwa lengo ni Moja tu ajue kusoma na kuandika na kupambanua mambo.

Nilifurahia na kuifanya kazi Kwa moyo.

Suala la mtoto kupita sekondari hajui si kosa la mzazi bali yule mwalimu wake wa shule ya awali na msingi.

Tatizo ni kwamba mwalimu amechoka, anafanya kazi Muda wote na watoto huku akiishi maisha ya dhiki,dharau na kunyanyaswa na wanaoitwa mwalimu mkuu(msingi) au Mkuu wa shule (sekondari), MEK,AFISA ELIMU (MSINGI NA SEKONDARI)

MIKOANI SIJUI(KWA MAANA YA AFISA ELIMU MKOA NA KATIBU TAWALA WAKE) HAO WANENE SIJUI.

MIMI nimepoteza Muda wangu Kwa dharau na kutojali unyanyasaji kutoka Kwa hawo viongozi.

Ninaamini hata walimu wenzangu yanawakutaa na haya.

Nina Umri wa miaka 25 kazini. Kazi hii ya ualimu nimeifanya yapata miaka 17. Baada ya hapo nikaipata kazi nyingine. Na niseme wazi wazi kama Mungu yupo kuna watu Wana dhambi nyingi na hamtapata nafasi utetezi.

Kazi ya 'Ualimu' imeniharibia maisha yangu. Sisemi msiisomee la hasha! Nimetumia sehemu ya maisha yangu ya kazi nikishuhudia dharau na kutojali na kutuona walimu hatuna thaman kuliko wao MEK na baadhi ya viongozi.

MEK ni Mratibu Elimu Kata.
Mwalimu Mkuu ni Mkuu wa kituo msingi.

Mkuu wa shule ni Mkuu wa kituo sekondari.

Sikumbuki Cha maana nilichopata zaid ya kumbukumbu mbaya kutoka kwenye mamlaka. Mwalimu anaambulia kujenga, kununuyusafiri na kusubiri kuinua mgongo. Sijaona kitu kingine. Kwa Sasa naona tofauti katika kazi hii nikiyonayo na kazi pendwa ya ualimu.
Nimefanya research katika hili eneo mengi ni kwasababu ya bajet ya serikali inawekwa kwenye sekta ya elimu kwa kupunjwa au ufinyu sana ilihali ni sekta muhimu sana
 
Ualimu ni kazi nzuri Sana. Inavutia Sana kuifanya kwa moyo. Nakumbuka nikiwa darasani nikiwalekeza watoto napata Raha sana mwanafunzi anapoelewa na kuelezea(demonstrate) like jambo.

Nilikuwa nafurahia Sana nilikutana na mtoto hajui kusoma vizuri au hata kuandika sawasawa nikamuuliza mama au baba ake ..." Huyu mtoto anevukaje sekondari Ili hali hajui kusoma vema na kuandika.."..na tuifanye nini..

Nilifurahia Sana mzazi anapotoa sababu...na Kwa kuwa lengo ni Moja tu ajue kusoma na kuandika na kupambanua mambo.

Nilifurahia na kuifanya kazi Kwa moyo.

Suala la mtoto kupita sekondari hajui si kosa la mzazi bali yule mwalimu wake wa shule ya awali na msingi.

Tatizo ni kwamba mwalimu amechoka, anafanya kazi Muda wote na watoto huku akiishi maisha ya dhiki,dharau na kunyanyaswa na wanaoitwa mwalimu mkuu(msingi) au Mkuu wa shule (sekondari), MEK,AFISA ELIMU (MSINGI NA SEKONDARI)

MIKOANI SIJUI(KWA MAANA YA AFISA ELIMU MKOA NA KATIBU TAWALA WAKE) HAO WANENE SIJUI.

MIMI nimepoteza Muda wangu Kwa dharau na kutojali unyanyasaji kutoka Kwa hawo viongozi.

Ninaamini hata walimu wenzangu yanawakutaa na haya.

Nina Umri wa miaka 25 kazini. Kazi hii ya ualimu nimeifanya yapata miaka 17. Baada ya hapo nikaipata kazi nyingine. Na niseme wazi wazi kama Mungu yupo kuna watu Wana dhambi nyingi na hamtapata nafasi utetezi.

Kazi ya 'Ualimu' imeniharibia maisha yangu. Sisemi msiisomee la hasha! Nimetumia sehemu ya maisha yangu ya kazi nikishuhudia dharau na kutojali na kutuona walimu hatuna thaman kuliko wao MEK na baadhi ya viongozi.

MEK ni Mratibu Elimu Kata.
Mwalimu Mkuu ni Mkuu wa kituo msingi.

Mkuu wa shule ni Mkuu wa kituo sekondari.

Sikumbuki Cha maana nilichopata zaid ya kumbukumbu mbaya kutoka kwenye mamlaka. Mwalimu anaambulia kujenga, kununuyusafiri na kusubiri kuinua mgongo. Sijaona kitu kingine. Kwa Sasa naona tofauti katika kazi hii nikiyonayo na kazi pendwa ya ualimu.
Ukisikia kada hii ni kada ya wito Tanzania ni sahihi
 
Ninapata allowance
(1)usafiri.
Zamani nilikuwa natumia miguu, nikakopa nikununua bodaboda ikawa inanisadia. Nadhani hii ndio Hali wanayoishi walimu kwa Sasa. Hujajiongeza utaishi Kwa taabu.

Kwa Sasa transport allowance IPO. Namshukuru Mungu.

(2) House allowance IPO. Awali nilipangisha. Nikakopa nikajenga Kwa taabu Sana.

Serikali inattuhadaa Sana hapa kujenga nyumba za walimu"kwio"

Najiuliza kwanini sikupata hii kazi mapema? Mwalimu asipojipanga ataishia kuishi maisha ya taabu.

(3) Heshima. Jamani hakuna Jambo muhimu katika maisha kama heshima.
Serikali na watu wake imepoteza umakini ni miaka sasa
 
Ninapata allowance
(1)usafiri.
Zamani nilikuwa natumia miguu, nikakopa nikununua bodaboda ikawa inanisadia. Nadhani hii ndio Hali wanayoishi walimu kwa Sasa. Hujajiongeza utaishi Kwa taabu.

Kwa Sasa transport allowance IPO. Namshukuru Mungu.

(2) House allowance IPO. Awali nilipangisha. Nikakopa nikajenga Kwa taabu Sana.

Serikali inattuhadaa Sana hapa kujenga nyumba za walimu"kwio"

Najiuliza kwanini sikupata hii kazi mapema? Mwalimu asipojipanga ataishia kuishi maisha ya taabu.

(3) Heshima. Jamani hakuna Jambo muhimu katika maisha kama heshima.
Ni sekta muhimu sana ila imepigwa teke
 
Back
Top Bottom