Kazi ya Ualimu imeniharibia maisha yangu. Sisemi msiisomee la hasha!

Kazi ya Ualimu imeniharibia maisha yangu. Sisemi msiisomee la hasha!

Shukuru Mungu ulipata pa kuanzia. Kuna wenzio wanasota mpaka leo hawajui waanzie wapi. Ualimu ukituliza akili unatoboa vizuri sana mi mwenyewe nimeanzia huko ila leo hata ada ya 10m kwa mwaka namlipia mtoto.
Dah!..wewe ni mpambanaji kweli kweli....hongera sana
 
Bachelor...
Akianza Mshahara ni TGTS D baada ya kila miaka 3 anapanda daraja kwa TGTS E >> TGTS F >>> TGTS G hivyohivyo mpaka anastaafu au akifika kuwa mkuu wa Idara inakua ni LGSE.

Kwa diploma anaanza na TGST C then kupanda.

Ila ukiwa diploma utapanda mpaka TGTS G, then utaishia hapo mpaka ulete cheti cha bachelor ndio uendelee kupanda.

#YNWA
Diploma anaishia TGTS H

Degree TGTS I

certificate TGTS G
 
Nipende kukuambia uliharibu maisha yako mwenyewe ulipokopa na kwenda kujenga😂😂😂😂😂😂😂 mkopo sio kitu cha kujengea wekeza mambo yapo mengi ticha unafundishwa hadi psychology ila unakua zezeta kweli bado kazi ipo kwa walimu wetu kuwapa ujuzi ili waweze kuuhamisha kwa watoto wetu wanaowafundisha
Nimeshaondoka huko. Kama una ndg yako mwambie ..."" wekeza mamie"""...achana na Mimi ten Kaa mbali na moto
 
Hizo ni mbwembwe tu za mtoa madam japo ameandika vizuri na kwa heshima kuliko anavyoandikaga Mpwayunga kwa dharau.

Mimi ni Mtumishi wa umma NIWE muwazi na ni kweli huwezi endelea ukiwa Mtumishi bila kufisadi somewhere ila kama unaakili kazi yoyote ya umma ni nzuri kwani inakupa mdhamana sehemu yoyote pia inakupa na mtaji. Binafsi nipo mkoani ni nimeshafanya kazi mikoa mingi kidogo Kuna walimu wapo Katavi kule Mpimbwe, Mamba na Majimoto wanapiga maisha. Nimewaona walimu wengine DABAGA kule Iringa wanapiga maisha kwenye Kilimo na ufugaji pia na issue za mbao na maliasili. Kikubwa kwenye utumishi wa umma ni mentality ya kujiajiri na kufanya kazi nje ya kazi ya umma na sio kusubiria mshahara to mshahara. Kazi yoyote ni nzuri msidanganywe humu japo kujiajiri ni kuzuri zaidi japo Hadi usimame kwenye kujiajiri sio mchezo. Mungu awabariki wachakarikaji wote kwani Nia YETU ni tuwe na maisha mazuri na tuweze kuclear bills zetu za Kila siku zaidi na zaidi tuishi tukimkumbuka na kumtegemea Mungu atupaye riziki zetu za Kila siku.
Akili huna wewe
 
We jamaa utakuwa...
1. Ni mwalimu
2. Au ulishawahi kuwa mwalimu ila sasa umehama kada.

#YNWA
Abadani siwezi kuwa kwenye kada la kipumbavu lenye watu waoga, walim ni waoga sana haloooo duuuh hata kwenye haki zao [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Shukuru Mungu ulipata pa kuanzia. Kuna wenzio wanasota mpaka leo hawajui waanzie wapi. Ualimu ukituliza akili unatoboa vizuri sana mi mwenyewe nimeanzia huko ila leo hata ada ya 10m kwa mwaka namlipia mtoto.
Ada ulipe 10m unapiga mishe gan
 
Ualimu ni kazi nzuri Sana. Inavutia Sana kuifanya kwa moyo. Nakumbuka nikiwa darasani nikiwalekeza watoto napata Raha sana mwanafunzi anapoelewa na kuelezea(demonstrate) like jambo.

Nilikuwa nafurahia Sana nilikutana na mtoto hajui kusoma vizuri au hata kuandika sawasawa nikamuuliza mama au baba ake ..." Huyu mtoto anevukaje sekondari Ili hali hajui kusoma vema na kuandika.."..na tuifanye nini..

Nilifurahia Sana mzazi anapotoa sababu...na Kwa kuwa lengo ni Moja tu ajue kusoma na kuandika na kupambanua mambo.

Nilifurahia na kuifanya kazi Kwa moyo.

Suala la mtoto kupita sekondari hajui si kosa la mzazi bali yule mwalimu wake wa shule ya awali na msingi.

Tatizo ni kwamba mwalimu amechoka, anafanya kazi Muda wote na watoto huku akiishi maisha ya dhiki,dharau na kunyanyaswa na wanaoitwa mwalimu mkuu(msingi) au Mkuu wa shule (sekondari), MEK,AFISA ELIMU (MSINGI NA SEKONDARI)

MIKOANI SIJUI(KWA MAANA YA AFISA ELIMU MKOA NA KATIBU TAWALA WAKE) HAO WANENE SIJUI.

MIMI nimepoteza Muda wangu Kwa dharau na kutojali unyanyasaji kutoka Kwa hawo viongozi.

Ninaamini hata walimu wenzangu yanawakutaa na haya.

Nina Umri wa miaka 25 kazini. Kazi hii ya ualimu nimeifanya yapata miaka 17. Baada ya hapo nikaipata kazi nyingine. Na niseme wazi wazi kama Mungu yupo kuna watu Wana dhambi nyingi na hamtapata nafasi utetezi.

Kazi ya 'Ualimu' imeniharibia maisha yangu. Sisemi msiisomee la hasha! Nimetumia sehemu ya maisha yangu ya kazi nikishuhudia dharau na kutojali na kutuona walimu hatuna thaman kuliko wao MEK na baadhi ya viongozi.

MEK ni Mratibu Elimu Kata.
Mwalimu Mkuu ni Mkuu wa kituo msingi.

Mkuu wa shule ni Mkuu wa kituo sekondari.

Sikumbuki Cha maana nilichopata zaid ya kumbukumbu mbaya kutoka kwenye mamlaka. Mwalimu anaambulia kujenga, kununuyusafiri na kusubiri kuinua mgongo. Sijaona kitu kingine. Kwa Sasa naona tofauti katika kazi hii nikiyonayo na kazi pendwa ya ualimu.
mpwayungu village njoo uchukue point zako huku
 
Ualimu ni kazi nzuri Sana. Inavutia Sana kuifanya kwa moyo. Nakumbuka nikiwa darasani nikiwalekeza watoto napata Raha sana mwanafunzi anapoelewa na kuelezea(demonstrate) like jambo.

Nilikuwa nafurahia Sana nilikutana na mtoto hajui kusoma vizuri au hata kuandika sawasawa nikamuuliza mama au baba ake ..." Huyu mtoto anevukaje sekondari Ili hali hajui kusoma vema na kuandika.."..na tuifanye nini..

Nilifurahia Sana mzazi anapotoa sababu...na Kwa kuwa lengo ni Moja tu ajue kusoma na kuandika na kupambanua mambo.

Nilifurahia na kuifanya kazi Kwa moyo.

Suala la mtoto kupita sekondari hajui si kosa la mzazi bali yule mwalimu wake wa shule ya awali na msingi.

Tatizo ni kwamba mwalimu amechoka, anafanya kazi Muda wote na watoto huku akiishi maisha ya dhiki,dharau na kunyanyaswa na wanaoitwa mwalimu mkuu(msingi) au Mkuu wa shule (sekondari), MEK,AFISA ELIMU (MSINGI NA SEKONDARI)

MIKOANI SIJUI(KWA MAANA YA AFISA ELIMU MKOA NA KATIBU TAWALA WAKE) HAO WANENE SIJUI.

MIMI nimepoteza Muda wangu Kwa dharau na kutojali unyanyasaji kutoka Kwa hawo viongozi.

Ninaamini hata walimu wenzangu yanawakutaa na haya.

Nina Umri wa miaka 25 kazini. Kazi hii ya ualimu nimeifanya yapata miaka 17. Baada ya hapo nikaipata kazi nyingine. Na niseme wazi wazi kama Mungu yupo kuna watu Wana dhambi nyingi na hamtapata nafasi utetezi.

Kazi ya 'Ualimu' imeniharibia maisha yangu. Sisemi msiisomee la hasha! Nimetumia sehemu ya maisha yangu ya kazi nikishuhudia dharau na kutojali na kutuona walimu hatuna thaman kuliko wao MEK na baadhi ya viongozi.

MEK ni Mratibu Elimu Kata.
Mwalimu Mkuu ni Mkuu wa kituo msingi.

Mkuu wa shule ni Mkuu wa kituo sekondari.

Sikumbuki Cha maana nilichopata zaid ya kumbukumbu mbaya kutoka kwenye mamlaka. Mwalimu anaambulia kujenga, kununuyusafiri na kusubiri kuinua mgongo. Sijaona kitu kingine. Kwa Sasa naona tofauti katika kazi hii nikiyonayo na kazi pendwa ya ualimu.
SaWa
 
Back
Top Bottom