Liverpool VPN
JF-Expert Member
- Aug 29, 2020
- 6,958
- 16,358
We jamaa utakuwa...Unazungumzia ualimu wa ulaya au bongonyoko, hakuna mwalimu anaepewa allowance usitake kuwashika watu masikio hapa, ni mkuu wa shule peke ake anapewa 250000 ya madaraka na majukumu yake
1. Ni mwalimu
2. Au ulishawahi kuwa mwalimu ila sasa umehama kada.
#YNWA