Mzalendo120
JF-Expert Member
- Jul 2, 2022
- 1,842
- 2,410
Tuambie basi unafanya kazi gani hiyo ya neema. Ikiwezekana tupia kapicha ukiwa mzigoni tukuone mwanajukwaa mwenzetu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpwayungu alikosa ualimu mwaka jana akajawa na jazba, akachukia walimu woteWe jamaa yaonesha ni mwalimu au ulikuwa mwalimu
We ni HRO wa wapi?Hivi baadhi yenu mnaojiita walimu mna akili timamu kweli?
Yaani unakutana na changamoto za kazini kwako unazihamishia jamiiforums?
Ulishawahi kuona mwanajeshi, askari polisi, usalama wa taifa madaktari n.k wanafungua nyuzi kulalamikia mambo ya kazi zao?
Kwani hamkai vikao mkayasema huko kuliko kujivua nguo humu?
Je, kuna kada yenye ubabe mwingi na kupelekeshana kama za majeshi? Mbona wao hawaji humu kulalamikia changamoto za kazi zao?
Hamna maadili ya kazi!
Acha dharau kuna walimu ni madon kwa sasa , wana business za kutosha hayo maji ya kunywa ni pesa ndogo mno kwao.Basi UALIMU ni kazi? Ni watu wanaohangaika kutafuta unga tu, na ukiona mwalimu ana maji ya Dasani mkononi anatembea nayo ujue aliitwa kwenye kikao cha platnum wanaotafuta waombaji wa Mikopo
Hakika ,Sijui nikuelezeje lakin huwez acha kazi kisa eti una dharauliwa ww ulipata kazi nzuri, wachungaji wa dini wanadharailiwa Sana lakin kwa sababu ya wito hawaachi kazi, nasema hvi usinge kuwa umepata hyo kazi kweli Sasa hv ungekua Bado mwl ,
Alafu dharau ni jinsi wewe unaichukulia mtu akikudharau ukampuuza nothing will affect you,
Lakin akikudharau ukaweka kichwani utaona umedharauliwa ,
Nchi yetu Bado Haina pesa ya kulipa walim kama USA Kule ili uwe mwl lazima kwanza uwe na div 1 yaan bright ndo wanatakiwa kuwa walim,
Sisi uku kwetu Bado , mtu ana div 4 anaenda kufundisha ,
Shukuru Mungu ulipata huo ualim walio kudharau walikua wanakupa changamoto Sasa ilibidi uishide ,
Mimi sio mwl kozi yangu nimemaliza 2016 since now Sija ajiriwa , before sijasoma hii kozi nilitaka nianzishe twishen eneo nililokua nakaa hakukua na kindergarten, nilitaka niombe pale kanisan niweke kindergarten na ningetoboa,.
Sasa ambae angenidharau si ningemcheka tu,
Bahati nzuri nikaenda somea hii kozi,
My dear dharau Ni jinsi wewe unaichukulia kwa hyo wale wanaume wanao tembeza mboga barabarani au sokonj na ni wanaume nao vip ,
Fikilia Wana dharauliwa kiasi Gani ?
Waache kisa dharau,
NB; hakuna kazi isiyo kuwa na changamoto hata apo ulipo Zinakuja au hujazisema
Kutoka familia duni ni watumishi wengi wauma wametoka familia duni sio walimu tu ,udaktari ,uafisa ugani ,usekretari ,ukutubi ,masjala ,uaskari, wote haoWalimu wengi wmetoka familia duni. Mshahara 600+ lakini ukoo mzima wanataka mgao [emoji23][emoji23][emoji23] sasa huyu mtu atatoboa lini jameni?
Hamna kitu humoo... Kwa umri wake kazini amekuwa tu recategorized ..Tuambie basi unafanya kazi gani hiyo ya neema. Ikiwezekana tupia kapicha ukiwa mzigoni tukuone mwanajukwaa mwenzetu
Amesema ana umri wa miaka 25 kazini.Umesema una umri wa miaka 25.
Kazi ya ualimu ulianza miaka 17 iliyopita!?
25-17=8
kwa hiyo ulianza kazi ya ualimu ukiwa na miaka 8!!??
Hii ni chai au uji?
Sidhani kama umesoma na kuelewa.Umeandika nini sasa!!??
si umerudia nilichosema!
Au mjibie swali alianza kazi ya ualimu na umri upi!?
Mkuu hujafafanua ulipata vipi kazi nyingine uliacha au ilikuwajeNinapata allowance
(1)usafiri.
Zamani nilikuwa natumia miguu, nikakopa nikununua bodaboda ikawa inanisadia. Nadhani hii ndio Hali wanayoishi walimu kwa Sasa. Hujajiongeza utaishi Kwa taabu.
Kwa Sasa transport allowance IPO. Namshukuru Mungu.
(2) House allowance IPO. Awali nilipangisha. Nikakopa nikajenga Kwa taabu Sana.
Serikali inattuhadaa Sana hapa kujenga nyumba za walimu"kwio"
Najiuliza kwanini sikupata hii kazi mapema? Mwalimu asipojipanga ataishia kuishi maisha ya taabu.
(3) Heshima. Jamani hakuna Jambo muhimu katika maisha kama heshima.
Connection tu.Mkuu hujafafanua ulipata vipi kazi nyingine uliacha au ilikuwaje
Uliliwa kimasihara [emoji3]Connection tu.
Na sketi/nguo ya ndani ilihusika
Ki serious, vita ni kuvute. Kwa msiojua wanawake tunavuliwa Sana nguoUliliwa kimasihara [emoji3]
Na ukakubali kabisaConnection tu.
Na sketi/nguo ya ndani ilihusika