Kazi ya uenezi hakuna mtu anayeiweza kwa CCM ya sasa

Kazi ya uenezi hakuna mtu anayeiweza kwa CCM ya sasa

G4N

JF-Expert Member
Joined
Apr 6, 2014
Posts
4,283
Reaction score
9,925
Wananchi walipaswa kushawishiwa na CCM kwa kasi ya maendeleo. Na hivyo ccm ingreendelea kushamiri na kupendwa na wananchi.

Lkn naona ccm wanahangaika kutafuta MTU sahihi wa kuwashawishi wananchi kuipenda ccm as if hiki ni chama kipya kilichosajiliwa juzi. Kumbe ni chama kilichozeeka na kimeongoza nchi hii tangu uhuru wake.

Kwa kero hizi:-kasi duni ya maendeleo, katiba mbovu, rushwa kushamiri, ajira kukosekana, rasilimali zetu kukwapuliwa hovyo, rais kutegemea mikopo kuendesha nchi, miradi mingi kusuasua, n.k, hakuna mtu ataweza kuwashawishi watanzania kuipenda ccm.

Mama Samia atateua na kutengua watu wengi sana lkn hatopatikana mtu sahihi.

Njia pekee ya kueneza CCM ni Serikali kuwajibika ipasavyo ktk kuwaletea wananchi maendeleo, kujenga usawa wa kisiasa nchini kwa kuwa na katiba bora, kuchagiza ukuaji wa uchumi utakaotengeneza ajira nyingi, kuifuta rushwa, kuzuia ubadhirifu, kujitegemea kiuchumi, n.k.

Hata huyo atakayetuliwa hiyo tarehe 3 April atapwaya tu. Suala siyo nani ni mwenezi, bali ni mfumo mbovu wa uendeshaji wa serikali ndiyo unaopelekea kazi ya uenezi kuwa ngumu
 
Hata aje malaika toka mbinguni hawezi kuinusuru CCM, na hata viongozi wenyewe wanajua kuwa CCM haikubaliki ndiyo maana kila siku wanabuni mbinu mpya za wizi wa kura.
 
Sasa kama Mwenezi naye anataka camera kila Siku hapo kupata mtu Sahihi Kwa kazi ya kuvuta wanachama na kukisemea mema chama ni ndoto . Unaona Km Nchimbi alivyokaa nyuma ya game kisha mchezo unasomwa Tu.
 
Wananchi walipaswa kushawishiwa na CCM kwa kasi ya maendeleo. Na hivyo ccm ingreendelea kushamiri na kupendwa na wananchi.

Lkn naona ccm wanahangaika kutafuta MTU sahihi wa kuwashawishi wananchi kuipenda ccm as if hiki ni chama kipya kilichosajiliwa juzi. Kumbe ni chama kilichozeeka na kimeongoza nchi hii tangu uhuru wake.

Kwa kero hizi:-kasi duni ya maendeleo, katiba mbovu, rushwa kushamiri, ajira kukosekana, rasilimali zetu kukwapuliwa hovyo, rais kutegemea mikopo kuendesha nchi, miradi mingi kusuasua, n.k, hakuna mtu ataweza kuwashawishi watanzania kuipenda ccm.

Mama Samia atateua na kutengua watu wengi sana lkn hatopatikana mtu sahihi.

Njia pekee ya kueneza CCM ni Serikali kuwajibika ipasavyo ktk kuwaletea wananchi maendeleo, kujenga usawa wa kisiasa nchini kwa kuwa na katiba bora, kuchagiza ukuaji wa uchumi utakatengeneza ajira nyingi, kuifuta rushwa, kuzuia ubadhirifu, kujitegemea kiuchumi, n.k.

Hata huyo atakayetuliwa hiyo tarehe 3 April atapwaya tu. Suala siyo nani ni mwenezi, bali ni mfumo mbovu wa uendeshaji wa serikali ndiyo unaopelekea kazi ya uenezi kuwa ngumu
Kinyesi hata ukipulizie kontena la pafyumu kitaendelea kunuka tu
 
Hata aje malaika toka mbinguni hawezi kuinusuru CCM, na hata viongozi wenyewe wanajua kuwa CCM haikubaliki ndiyo maana kila siku wanabuni mbinu mpya za wizi wa kura.
Ccm inajitafuna na kujiangamiza yenyewe
 
Ccm inajitafuna na kujiangamiza yenyewe
Au kwa lugha nyingine wanajikaanga kwa mafuta yao wenyewe kama hivi
FB_IMG_1626856519720.jpg
 
Njia pekee ya kueneza CCM ni Serikali kuwajibika ipasavyo ktk kuwaletea wananchi maendeleo, kujenga usawa wa kisiasa nchini kwa kuwa na katiba bora, kuchagiza ukuaji wa uchumi utakatengeneza ajira nyingi, kuifuta rushwa, kuzuia ubadhirifu, kujitegemea kiuchumi, n.k.
☝️Hakuna njia nyingine inayokipa chama cha siasa ushawishi wa kupigiwa kura zaidi ya hiyo.

Uchawa na usemaji ni utamaduni tu sidhani kama kuna mtu anaenda kupiga kura kwa kuambiwa fulani ni mzuri wakati hayo mambo mazuri hayaoni wala kumgusa yeye.
 
☝️Hakuna njia nyingine inayokipa chama cha siasa ushawishi wa kupigiwa kura zaidi ya hiyo.

Uchawa na usemaji ni utamaduni tu sidhani kama kuna mtu anaenda kupiga kura kwa kuambiwa fulani ni mzuri wakati hayo mambo mazuri hayaoni wala kumgusa yeye.
Naam!
 
Nape anaweza hii nafasi 100%
Nape atakachofanikiwa ni kupaza sauti lake juu tu na kurusha vijembe kwa wapinzani. Lkn kamwe hawezi kifanikiwa kutia ishawishi wa kuwafanya watanzania waipende ccm.
 
Wananchi walipaswa kushawishiwa na CCM kwa kasi ya maendeleo. Na hivyo ccm ingreendelea kushamiri na kupendwa na wananchi.

Lkn naona ccm wanahangaika kutafuta MTU sahihi wa kuwashawishi wananchi kuipenda ccm as if hiki ni chama kipya kilichosajiliwa juzi. Kumbe ni chama kilichozeeka na kimeongoza nchi hii tangu uhuru wake.

Kwa kero hizi:-kasi duni ya maendeleo, katiba mbovu, rushwa kushamiri, ajira kukosekana, rasilimali zetu kukwapuliwa hovyo, rais kutegemea mikopo kuendesha nchi, miradi mingi kusuasua, n.k, hakuna mtu ataweza kuwashawishi watanzania kuipenda ccm.

Mama Samia atateua na kutengua watu wengi sana lkn hatopatikana mtu sahihi.

Njia pekee ya kueneza CCM ni Serikali kuwajibika ipasavyo ktk kuwaletea wananchi maendeleo, kujenga usawa wa kisiasa nchini kwa kuwa na katiba bora, kuchagiza ukuaji wa uchumi utakaotengeneza ajira nyingi, kuifuta rushwa, kuzuia ubadhirifu, kujitegemea kiuchumi, n.k.

Hata huyo atakayetuliwa hiyo tarehe 3 April atapwaya tu. Suala siyo nani ni mwenezi, bali ni mfumo mbovu wa uendeshaji wa serikali ndiyo unaopelekea kazi ya uenezi kuwa ngumu
yaan CCM ihangaike au kubabaika na kutafuta mwenezi na hazina yote ile ya wanachama wasomi, makini, mahiri, madhubuti na wenye weledi kushika nafasi ile.....

actually,
Yeyote CCM anaweza kua mwenezi tena mzuri huenda kuliko hata waliowahi kua 🐒

kwasabb CCM yenyewe tu kwanza iko Imara mno, nani atashindwa kuongoza nafasi Fulani akati chairman yuko vizur, SG yupo vizur sasa huyo atakaeshindwa ni nan huenda sio mwana CCM 🐒
 
yaan CCM ihangaike au kubabaika na kutafuta mwenezi na hazina yote ile ya wanachama wasomi, makini, mahiri, madhubuti na wenye weledi kushika nafasi ile.....

actually,
Yeyote CCM anaweza kua mwenezi tena mzuri huenda kuliko hata waliowahi kua 🐒

kwasabb CCM yenyewe tu kwanza iko Imara mno, nani atashindwa kuongoza nafasi Fulani akati chairman yuko vizur, SG yupo vizur sasa huyo atakaeshindwa ni nan huenda sio mwana CCM 🐒
Kwann kwa miaka 3 tu waenezi 4 wameteuliwa na kutenguliwa ?
 
Kwann kwa miaka 3 tu waenezi 4 wameteuliwa na kutenguliwa ?
kwasabb wapo wa kutosha na kwakweli wahusika walionekana na kuhitajika kufanya kazi vizuri zaidi maeneo mengi hususani serikalini 🐒

acha upotoshaji,
hakuna aliewahi kutenguliwa, wengi wao wamehamishiwa serikalini katika majukumu mengine muhimu zaidi, mathalani wa hivi karibuni amepangiwa kaz maalumu serikalini Arusha, baadae Mwanza, na hatimae Dar es Salaam 🐒

kwan kuna ubaya gani...
 
acha upotoshaji,
hakuna aliewahi kutenguliwa, wengi wao wamehamishiwa serikalini katika majukumu mengine
Hivi unaelewa maana ya neno kutenguliwa? Huwa hujiulizi kwann mtu huyo huyo aliyetenguliwa kazi A halafu akateuliwa kufanya kazi B anaapa tena?
 
Back
Top Bottom