Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sio tu kutenguliwa naelewa hata maana kuteguliwa 🐒Hivi unaelewa maana ya neno kutenguliwa? Huwa hujiulizi kwann mtu huyo huyo aliyetenguliwa kazi A halafu akateuliwa kufanya kazi B anaapa tena?
Dawa ni kulivua gamba kuondoa harufuKinyesi hata ukipulizie kontena la pafyumu kitaendelea kunuka tu
Akifanya maigizo zaidi atawezaWananchi walipaswa kushawishiwa na CCM kwa kasi ya maendeleo. Na hivyo ccm ingreendelea kushamiri na kupendwa na wananchi.
Lkn naona ccm wanahangaika kutafuta MTU sahihi wa kuwashawishi wananchi kuipenda ccm as if hiki ni chama kipya kilichosajiliwa juzi. Kumbe ni chama kilichozeeka na kimeongoza nchi hii tangu uhuru wake.
Kwa kero hizi:-kasi duni ya maendeleo, katiba mbovu, rushwa kushamiri, ajira kukosekana, rasilimali zetu kukwapuliwa hovyo, rais kutegemea mikopo kuendesha nchi, miradi mingi kusuasua, n.k, hakuna mtu ataweza kuwashawishi watanzania kuipenda ccm.
Mama Samia atateua na kutengua watu wengi sana lkn hatopatikana mtu sahihi.
Njia pekee ya kueneza CCM ni Serikali kuwajibika ipasavyo ktk kuwaletea wananchi maendeleo, kujenga usawa wa kisiasa nchini kwa kuwa na katiba bora, kuchagiza ukuaji wa uchumi utakaotengeneza ajira nyingi, kuifuta rushwa, kuzuia ubadhirifu, kujitegemea kiuchumi, n.k.
Hata huyo atakayetuliwa hiyo tarehe 3 April atapwaya tu. Suala siyo nani ni mwenezi, bali ni mfumo mbovu wa uendeshaji wa serikali ndiyo unaopelekea kazi ya uenezi kuwa ngumu
Hahahaaa.... Jamaa ushaikatia tamaa Tzukiweza kuwa mpinzani Tanzania, inabidi upewe heshima yako. kutetea manufaa ya jamii isiyojitambua ni kazi + plus kupigwa virungu na polisi kila siku, kutishiwa familia na biashara zako. Ni negative sum game.
Mawazo yuko wapi? si aliacha mtoto? kwahiyo ni bora utulie, kuna watu wanaokuhitaji kuliko sisi waTZ tusio na maana
Tunaelekea kwenye anguko la ccm kwa sasa kila wakishika hili linateleza,wanatapatapa kama mfa majiWananchi walipaswa kushawishiwa na CCM kwa kasi ya maendeleo. Na hivyo ccm ingreendelea kushamiri na kupendwa na wananchi.
Lkn naona ccm wanahangaika kutafuta MTU sahihi wa kuwashawishi wananchi kuipenda ccm as if hiki ni chama kipya kilichosajiliwa juzi. Kumbe ni chama kilichozeeka na kimeongoza nchi hii tangu uhuru wake.
Kwa kero hizi:-kasi duni ya maendeleo, katiba mbovu, rushwa kushamiri, ajira kukosekana, rasilimali zetu kukwapuliwa hovyo, rais kutegemea mikopo kuendesha nchi, miradi mingi kusuasua, n.k, hakuna mtu ataweza kuwashawishi watanzania kuipenda ccm.
Mama Samia atateua na kutengua watu wengi sana lkn hatopatikana mtu sahihi.
Njia pekee ya kueneza CCM ni Serikali kuwajibika ipasavyo ktk kuwaletea wananchi maendeleo, kujenga usawa wa kisiasa nchini kwa kuwa na katiba bora, kuchagiza ukuaji wa uchumi utakaotengeneza ajira nyingi, kuifuta rushwa, kuzuia ubadhirifu, kujitegemea kiuchumi, n.k.
Hata huyo atakayetuliwa hiyo tarehe 3 April atapwaya tu. Suala siyo nani ni mwenezi, bali ni mfumo mbovu wa uendeshaji wa serikali ndiyo unaopelekea kazi ya uenezi kuwa ngumu
Nadhani haya mabadiliko yanachochewa na joto la ndani ya chama chenyewe. Kuna mvutano kati ya kundi lililoachwa na marehemu na lile la wenye nchi kwa sasa.Tunaelekea kwenye anguko la ccm kwa sasa kila wakishika hili linateleza,wanatapatapa kama mfa maji
Hata mimi imenishangaza sana....kutapatapa huku sio kwa kawaida kabisa.Tunaelekea kwenye anguko la ccm kwa sasa kila wakishika hili linateleza,wanatapatapa kama mfa maji
Alikuta mibovu akaharibu zaidiJPM ndiye aliyeharibu mifumo
Uzuri hawategemei kuraChaguzi zijazo zitakuwa ngumu sana kwa CCM.