Kazi ya ulinzi ndugu zangu sio kazi wallah

Hee huyo mzee wako alikuwa na stress au?
 
wambie hao mi Niko Garda take home nachukua 370
 
mkuu mi Niko gada na hapa Niko lindoni take home nachukua 380k na Nina bima plus nif
 
Mi nilikua kwenye mashirika hafu lindo likawa taasisi flani ya kutoa huduma. Kidogo nilikua napata pata tips za wateja. Ila kazi ya tatu kutoka mwisho niliowahi kufanya baada ya nyarugusu na chai mufindi.
Ile na cleaner bora cleaner mkuu, na mm naona hata biashara ya mitumba ina hela mana unaweza kuweka elf 40 ukapiga 70 per half day
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…