Hee huyo mzee wako alikuwa na stress au?sema walinzi ni watu poa sana, ukikaa ukapiga nao stori wapo vizuri
nilivyokuwa mdogo nilikuwa nawapelekea chakula walinzi tunapiga stori
sema ni kweli wanaonewa, nakumbuka mzee alikuwa anawawasha vibao anapiga honi anakuta wamelala
na wananywea wanaogopa kusemewa kwenye kampuni zao
wambie hao mi Niko Garda take home nachukua 370Shida mnafanya kazi kampuni za kipumbavu.
Mimi nimefanya kazi ya ulinzi miaka 4 (KK Security, baadaye ikawa Gardaworld).
Mshahara ulikuwa 250,000-280,000 kutegemea na mwezi na siku za kazi.
Likizo yenye malio, na NSSF.
Mpaka naacha nilikuwa na milioni 2 laki 7 NSSF ambazo nilichukua kwa kuanzia.
Sasa unafanya kazi ya ulinzi kampuni hazieleweki kwanini usiumie.
Na sisi hivi Hawa Gardaworld mishahara imepanea, nadhani ni zaidi ya laki 3. Maana wakati tunapata 250,000 basic yetu ilikuwa 150,000. Sasa hivi basic ni 222,000 kwahiyo ukijumlisha na overtime lazima inazidi laki 3
Wapigwe ban wapi mkuu? Maeneo ya shamba wamejaa sana. Wamasai wamekaa strategically sana yan wakiona mama wa kizungu wamelalal bichi wao wanaenda kucheza "chandimu" mbele yao waonekaneWamasai si wamepigwa ban huko? Ulitamani uwe wewe mkuu?😁
May be elim na uzoef unakubeba. Kuna watu mm nawajua hapo garda 300 haifiki.wambie hao mi Niko Garda take home nachukua 370
tungiHee huyo mzee wako alikuwa na stress au?
we unataka tubishane tuMay be elim na uzoef unakubeba. Kuna watu mm nawajua hapo garda 300 haifiki.
Ha haaaa hataritungi
We dogo acha dharau...Vulnerability or something else? Ulinzi ni stej ya mwisho kabisa mku bora hata cleaner
Kwa mwezi nakatwa 96kDuh sasa huo mkopo una ulipaje kamanda
Mashirika mkuu siku hizi private wanaacha acha mana hawadhaminiki waleMzee ilikua kwenye haya mashirika au uliajiriwa private?
mkuu mi Niko gada na hapa Niko lindoni take home nachukua 380k na Nina bima plus nifMkuu we umefanya kazi ya ulinzi kampuni gani? Hata iyo hela uliyotaja sio wanayolipwa garda. Nina jamaa zangu wanafanya iyo kazi na si haba wako vzr. Garda wanapokea around 300-370 uyo ni normal guard, kama una kitengo maybe upo kwny crew au kwny issue za alarm ni zaidi ya iyo. We ulikuwa unafanya kampuni local, hivi vikampuni local ndo wana malipo ya kiwaki.
Ile na cleaner bora cleaner mkuu, na mm naona hata biashara ya mitumba ina hela mana unaweza kuweka elf 40 ukapiga 70 per half dayMi nilikua kwenye mashirika hafu lindo likawa taasisi flani ya kutoa huduma. Kidogo nilikua napata pata tips za wateja. Ila kazi ya tatu kutoka mwisho niliowahi kufanya baada ya nyarugusu na chai mufindi.
Ngoja na mimi niende kimkakati.Wapigwe ban wapi mkuu? Maeneo ya shamba wamejaa sana. Wamasai wamekaa strategically sana yan wakiona mama wa kizungu wamelalal bichi wao wanaenda kucheza "chandimu" mbele yao waonekane
Sweet pain hujambo?We dogo acha dharau...
watu tumelinda na tumelipwa Mshahara wa Mwalimu tena Tarehe 26 kitu kinaingia
Vijana wenzangu wamenufaika na hili.. waombe sass! Weka vigezo wajaribu zali.. In a positive perspectivemkuu mi Niko gada na hapa Niko lindoni take home nachukua 380k na Nina bima plus nif
Duh sawa kamanda 👮♂️Kwa mwezi nakatwa 96k