Kazi yenye thamani kubwa kuliko zote Duniani

Kazi yenye thamani kubwa kuliko zote Duniani

Kwa hyo mkuu unamaanisha Kuna wajanja wachache wamegundua dini n dili wakaamua kuingia uko na wameulaa Kwa kisingizio Cha wameitwa kumtumikia BWANA MUNGU cyo [emoji23][emoji23][emoji23]..

Mwakasege nilimsikia Kwenye mahubiri yake akiwambia waumini wake alikuwa mwajiriwa serikalin lkn akaitwa na bwana kumtumikia akaacha kazi nzuri tu now day n Moja wa wahubiri wakubwa Kwa pesa cna uwakikaa km n tajirii km walivyoo hawa wazee wakutupia vinjungaa na matatu alafu hawajaoa ,bac n vurugu tu mjinii [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwa hyo mkuu unamaanisha Kuna wajanja wachache wamegundua dini n dili wakaamua kuingia uko na wameulaa Kwa kisingizio Cha wameitwa kumtumikia BWANA MUNGU cyo [emoji23][emoji23][emoji23]..

Mwakasege nilimsikia Kwenye mahubiri yake akiwambia waumini wake alikuwa mwajiriwa serikalin lkn akaitwa na bwana kumtumikia akaacha kazi nzuri tu now day n Moja wa wahubiri wakubwa Kwa pesa cna uwakikaa km n tajirii km walivyoo hawa wazee wakutupia vinjungaa na matatu alafu hawajaoa ,bac n vurugu tu mjinii [emoji23][emoji23][emoji23]
KAZI ya kuhubiri INJILI inalipa mara 100 hapa duniani,

Na thamani kubwa kuliko zote, ni kuvuna Roho za watu Kwa ajili ya Yesu.

Na yote Kwa yote, utaurithi Uzima wa Milele.

Amen
 
Huwa nalipa ZAKA, sitoi ZAKA.

Kwa maana hayupo aliyemkopesha Mungu pesa au chochote Hadi atoe kumpa Mungu msaada, Mali zote Mbinguni na duniani ni Mali yake.

Sababu ya kulipa ZAKA, ni kulinda kipato changu, AFYA, nk nk.

In short Mimi hulipa ZAKA Ili nisipungukiwe mahitaji yangu.

Na kubwa kuliko yote, hutoa Ili kuhubiri INJILI Kwa njia m alimbali.

Karibu.
Hujajibu nilichokuuliza
 
Hujajibu nilichokuuliza
Nimekujibu unavyostahili kujibiwa,

Ungeniuliza, ukiamua kulipa ZAKA upeleke wapi, ni gekujibu Kwa ufasaha.

ZAKA Mimi hutoa sawasawa na maelekezo ya Roho MTAKATIFU .
 
KAZI ya kuhubiri INJILI inalipa mara 100 hapa duniani,

Na thamani kubwa kuliko zote, ni kuvuna Roho za watu Kwa ajili ya Yesu.

Na yote Kwa yote, utaurithi Uzima wa Milele.

Amen
Na wajinga mnavunwa haswaa na hao wanaowalaghai na jina la yesu [emoji23]

Pole mkuu
 
Na wajinga mnavunwa haswaa na hao wanaowalaghai na jina la yesu [emoji23]

Pole mkuu
Wajinga na maskini ni wasiolipa ZAKA.

Ndomana madeni magonjwa, misukosuko, chumaulete,hayawaishi, Kila kukicha hospitali na majanga kibao.

Hubiri INJILI Kwa njia zote.
 
Mwenye HAKI ayaishi Kwa Imani.

Hubiri INJILI Kwa Kila njia.

Ubarikiwe.
Hapa ndipo napoona wachungaji wana maisha ya kifahari huku hawafanyi kazi........waumini wao afya zimezorota hawali vizuri......mavazi yao sio nadhifu sana yaani wapo wapo tu kama comedian.............na tena hawa wa makanisa ya kisasa kira kitu kuanzia kanisa mpka sadaka ni za mchungaji nabii na mke wake sio mtu mwingine.........wenyewe waumini wapo tu hata kama wanadanganywa wapo tu.......wanaambiwa wasinywe pombe lakini wachungaji na manabii wao wanalewa kimya kimya..........na hata mchungaji akukute kituoni unasubilia daladala hakupi lifti wakati hilo gari analotambia ulishiriki kikamilifu kulichangia hiliali wewe Huna hata baiskeli ya mkweche..............hamka mtu kutoka usingizini kwa sasa dini ni shamba la bibi...........
 
Hapa ndipo napoona wachungaji wana maisha ya kifahari huku hawafanyi kazi........waumini wao afya zimezorota hawali vizuri......mavazi yao sio nadhifu sana yaani wapo wapo tu kama comedian.............na tena hawa wa makanisa ya kisasa kira kitu kuanzia kanisa mpka sadaka ni za mchungaji nabii na mke wake sio mtu mwingine.........wenyewe waumini wapo tu hata kama wanadanganywa wapo tu.......wanaambiwa wasinywe pombe lakini wachungaji na manabii wao wanalewa kimya kimya..........na hata mchungaji akukute kituoni unasubilia daladala hakupi lifti wakati hilo gari analotambia ulishiriki kikamilifu kulichangia hiliali wewe Huna hata baiskeli ya mkweche..............hamka mtu kutoka usingizini kwa sasa dini ni shamba la bibi...........
Ndo sababu Yesu analitaka Kanisa lile la kwanza lirudi mahala pake,

Watu walikuwa wakiumega mkate nyumba Kwa nyumba, sadaka zilikuwa zikitolewa wanapewa maskini na Upendo ulitamalaki.

Tunarudi tulipoanzia Ili Kanisa linyakuliwe.
 
Prich the Gospel,

KAZI hii Ina thamani sana🙏
 
Salaam, Shalom!!

INTRODUCTION.

Sifa kuu ya KAZI, ni iwe halali, pili iwe na malipo ya kuweza kukusustain maisha Yako, yaeza kuwa umejiajiri au umeajiriwa, KAZI ni KAZI, ilmradi mkono uende kinywani.

KAZI pia Si Kwa ajili ya kujipatia kipato pekee, KAZI pia ni Kwa ajili ya AFYA pia, ndo maana wenye kufanya KAZI zinazoitwa white collar jobs, lazima wafanye pia mazoezi Ili kulinda AFYA Kwa ujira au faida ya KAZI wazifanyazo.

Najua unazijua KAZI nyingi zenye kulipa, zenye kuingiza kipato kikubwa, lakini, Leo katika mada hii nakuambia IPO KAZI yenye kulipa kuliko KAZI zote, yenye thamani kubwa unazozifahamu, fuatana nami tafadhali, usijekuwa unafanya KAZI Kwa HASARA.

MADA: KUHUBIRI INJILI, NI KAZI YENYE THAMANI KUBWA, INAYOLIPA KULIKO KAZI ZOTE DUNIANI.

Ndivyo ilivyo, KAZI zote tunazofanya ni Kwa ajili ya tumbo, ikiwa tunafanya KAZI na kujihangaisha maisha yetu yote Ili kushibisha tumbo, na kuhakikisha familia na vizazi vyetu vinaishi maisha Bora, kula vizuri, kulala vizuri, kusafiri katika magari ya kifahari, kunywa nk nk, KAZI zetu ni BATILI, tunajihangaisha Kwa ajili ya CHOO.

Kula, kunywa kulala Si vitu muhimu vitupasavyo kuvihangaikia.

Ndege wa angani Wana mavazi, wanakula bila kulima shamba, wanakunywa na wanalala na kuamka kama sisi.

KWANINI KAZI YA KUHUBIRI INJILI INA THAMANI KULIKO KAZI ZOTE DUNIANI?

Sababu kuu ya kwanini KAZI ya kuhubiri INJILI ,ni yenye thamani kuliko KAZI zote ni kuwa: KUHUBIRI INJILI KUNAHUSIKA NA KUOKOA ROHO.

Roho ya mwanadamu Ina thamani kuliko kitu chochote duniani, ndo maana tajiri akiwa katika kufa, Yu tayari Kutoa kiasi chochote Cha Fedha au Mali Ili asife lakini Haiwezekani.

Hakuna KAZI au Mali yoyote iliyo na thamani zaidi ya Roho ya mwanadamu, hivyo, kuvuna Roho zilizopotea na kuzirudisha ziwe hai na kuurithi Uzima wa Milele, ni KAZI yenye thamani kuliko zote Duniani.

1. Petro alikuwa mvuvi, aliacha uvuvi na kwenda kuhubiri INJILI.

2. Mtoza ushauri, TRA officer, aliacha KAZI yake na kwenda kuhubiri INJILI.

3. Luke aliacha Udaktari wake na kwenda kuhubiri INJILI.

Nimesguhudia watu wenye KAZI nzuri wakiziacha na kwenda kuhubiri INJILI.

Wengine wameacha uinjinia, uanasheria, ualimu, nk nk na kwenda kuhubiri INJILI, hivyo kamwe usidharau wahubirio INJILI ,ukadhani wamekosa KAZI ya kufanya.

JINSI YA KUHUBIRI INJILI.

Si wote wameitwa kuwa Wachungaji, wainjilisti au watumishi direct, unaweza kuhubiri INJILI Kwa njia ZIFUATAZO.

1. Ikiwa umeajiriwa, toa pesa zako sawasawa na utakavyosemeshwa na Mungu kusupport INJILI, utakuwa na utalipwa sawa na wahubiri INJILI, sababu umeshiriki kuwapeleka.

2. Ikiwa umejiajiri pia toa sehemu ya pesa zako, support INJILI, lipia ada watoto wa wahubiri INJILI, utakuwa umefanya KAZI yenye ujira kuliko KAZI yoyote duniani.

3. Ikiwa u MKULIMA, wape maskini chakula, waambie kuwa umetumwa na YESU sawasawa na maagizo yake. Wambie Yesu awapenda.

4. Ikiwa u tajiri, lisha yatima, wajane, hudumia wagonjwa hospitali, na Wambie, Yesu amekutuma kuhubiri INJILI Kwa njia hiyo.

Ikiwa hujaokoka, huna KIBALI Cha kuhubiri INJILI, fuatisha Sala hii kupata KIBALI Cha kuhubiri INJILI;

SEMA: EE MUNGU KATIKA JINA LA YESU KRISTO, NINAKUKIRI WEWE KUWA BWANA NA MWOKOZI WA MAISHA YANGU, NINATUBU DHAMBI ZANGU ZOTE, NINAOMBA UNISAMEHE, ULIFUTE JINA LANGU KATIKA KITABU CHA HUKUMU, ULIANDIKE JINA LANGU KATIKA KITABU CHA UZIMA, NIPE UWEZO WA KUSHINDA DHAMBI, NIWEZESHE NIISHI MAISHA MATAKATIFU.

Amen, Mbarikiwe nyote 🙏
Kwani ndugu wewe ni kuhani au mtume nani ndugu,kwani tupo wengi ukitafuta hata nyau na wow utawakutaaamo😎
 
Ya breach the gossip thiooo🤓
Roho ya mwanadamu Ina thamani kubwa sana mbele za Mungu,

Mungu asema , mtu akinitumikia nitamuheshimu.

KAZI unavyofanya nani akuheshimu? Na hata kama unaheshimiwa, ni Heshima za kinafiki za WANADAMU.

Hubiri INJILI.

Amen
 
Salaam, Shalom!!

INTRODUCTION.

Sifa kuu ya KAZI, ni iwe halali, pili iwe na malipo ya kuweza kukusustain maisha Yako, yaeza kuwa umejiajiri au umeajiriwa, KAZI ni KAZI, ilmradi mkono uende kinywani.

KAZI pia Si Kwa ajili ya kujipatia kipato pekee, KAZI pia ni Kwa ajili ya AFYA pia, ndo maana wenye kufanya KAZI zinazoitwa white collar jobs, lazima wafanye pia mazoezi Ili kulinda AFYA Kwa ujira au faida ya KAZI wazifanyazo.

Najua unazijua KAZI nyingi zenye kulipa, zenye kuingiza kipato kikubwa, lakini, Leo katika mada hii nakuambia IPO KAZI yenye kulipa kuliko KAZI zote, yenye thamani kubwa unazozifahamu, fuatana nami tafadhali, usijekuwa unafanya KAZI Kwa HASARA.

MADA: KUHUBIRI INJILI, NI KAZI YENYE THAMANI KUBWA, INAYOLIPA KULIKO KAZI ZOTE DUNIANI.

Ndivyo ilivyo, KAZI zote tunazofanya ni Kwa ajili ya tumbo, ikiwa tunafanya KAZI na kujihangaisha maisha yetu yote Ili kushibisha tumbo, na kuhakikisha familia na vizazi vyetu vinaishi maisha Bora, kula vizuri, kulala vizuri, kusafiri katika magari ya kifahari, kunywa nk nk, KAZI zetu ni BATILI, tunajihangaisha Kwa ajili ya CHOO.

Kula, kunywa kulala Si vitu muhimu vitupasavyo kuvihangaikia.

Ndege wa angani Wana mavazi, wanakula bila kulima shamba, wanakunywa na wanalala na kuamka kama sisi.

KWANINI KAZI YA KUHUBIRI INJILI INA THAMANI KULIKO KAZI ZOTE DUNIANI?

Sababu kuu ya kwanini KAZI ya kuhubiri INJILI ,ni yenye thamani kuliko KAZI zote ni kuwa: KUHUBIRI INJILI KUNAHUSIKA NA KUOKOA ROHO.

Roho ya mwanadamu Ina thamani kuliko kitu chochote duniani, ndo maana tajiri akiwa katika kufa, Yu tayari Kutoa kiasi chochote Cha Fedha au Mali Ili asife lakini Haiwezekani.

Hakuna KAZI au Mali yoyote iliyo na thamani zaidi ya Roho ya mwanadamu, hivyo, kuvuna Roho zilizopotea na kuzirudisha ziwe hai na kuurithi Uzima wa Milele, ni KAZI yenye thamani kuliko zote Duniani.

1. Petro alikuwa mvuvi, aliacha uvuvi na kwenda kuhubiri INJILI.

2. Mtoza ushauri, TRA officer, aliacha KAZI yake na kwenda kuhubiri INJILI.

3. Luke aliacha Udaktari wake na kwenda kuhubiri INJILI.

Nimesguhudia watu wenye KAZI nzuri wakiziacha na kwenda kuhubiri INJILI.

Wengine wameacha uinjinia, uanasheria, ualimu, nk nk na kwenda kuhubiri INJILI, hivyo kamwe usidharau wahubirio INJILI ,ukadhani wamekosa KAZI ya kufanya.

JINSI YA KUHUBIRI INJILI.

Si wote wameitwa kuwa Wachungaji, wainjilisti au watumishi direct, unaweza kuhubiri INJILI Kwa njia ZIFUATAZO.

1. Ikiwa umeajiriwa, toa pesa zako sawasawa na utakavyosemeshwa na Mungu kusupport INJILI, utakuwa na utalipwa sawa na wahubiri INJILI, sababu umeshiriki kuwapeleka.

2. Ikiwa umejiajiri pia toa sehemu ya pesa zako, support INJILI, lipia ada watoto wa wahubiri INJILI, utakuwa umefanya KAZI yenye ujira kuliko KAZI yoyote duniani.

3. Ikiwa u MKULIMA, wape maskini chakula, waambie kuwa umetumwa na YESU sawasawa na maagizo yake. Wambie Yesu awapenda.

4. Ikiwa u tajiri, lisha yatima, wajane, hudumia wagonjwa hospitali, na Wambie, Yesu amekutuma kuhubiri INJILI Kwa njia hiyo.

Ikiwa hujaokoka, huna KIBALI Cha kuhubiri INJILI, fuatisha Sala hii kupata KIBALI Cha kuhubiri INJILI;

SEMA: EE MUNGU KATIKA JINA LA YESU KRISTO, NINAKUKIRI WEWE KUWA BWANA NA MWOKOZI WA MAISHA YANGU, NINATUBU DHAMBI ZANGU ZOTE, NINAOMBA UNISAMEHE, ULIFUTE JINA LANGU KATIKA KITABU CHA HUKUMU, ULIANDIKE JINA LANGU KATIKA KITABU CHA UZIMA, NIPE UWEZO WA KUSHINDA DHAMBI, NIWEZESHE NIISHI MAISHA MATAKATIFU.

Amen, Mbarikiwe nyote 🙏
NI KWELI LAKINI UWE NA WITO SIO KUTAFUTA MASLAHI
 
NI KWELI LAKINI UWE NA WITO SIO KUTAFUTA MASLAHI
Ni Kweli,

Pia kuifanya KAZI hiyo, Si lazima uwe Mchungaji HAPANA,

Hata Ukiwa mwajiriwa, unaweza kuwahubiri wafanyakazi wenzio na majirani zako unakoishi wakaokolewa🙏.
 
Back
Top Bottom