Kazi yenye thamani kubwa kuliko zote Duniani

Kazi yenye thamani kubwa kuliko zote Duniani

Wai nimetumia lugha chafu!?

Ni ukweli usiopingika yesu hakuoa wala kufanya tendo la ndoa, sasa wewe iweje hayo huyafati unag'ang'ana na kusema injili, wakati kile kiigizo chako hukifati kwa yote.

Ukimgeza maisha yake, geza vyote mzee.
Siyo kila kitu kuiga, oa mtoto wa miaka 9 tuone.
 
Ni Kweli,

Pia kuifanya KAZI hiyo, Si lazima uwe Mchungaji HAPANA,

Hata Ukiwa mwajiriwa, unaweza kuwahubiri wafanyakazi wenzio na majirani zako unakoishi wakaokolewa🙏.
Siyo msomaji mzuri wa Biblia, ila kuna verse zinasema, Mungu aligawa vipawa mbalimbali, wengine walimu, Wakulima, wavuvi, mafundi, waimbaji, walinzi, wanasheria, nk nk, wote hawa wapo ili kukamilisha kazi na utukufu wa Mungu shambani mwake na kila mmoja ataulizwa alichofanya kwenye eneo lake, kuna mahali ktk biblia panasema, enyi watoza ushuru, msitoze zaidi ya ipasavyo, na nyie wakulima leteni malimbuko gharani mwa Bwana ili kiwepo chakula cha kutosha ( rejea msosi uliompeleka Yakobo Misri), kwa ufupi kila kazi njema ni ya Mungu na tutalipwa kwa kadri tunavyoifanya. Mbele za Mungu hakuna kazi nzuri zaidi kuliko nyingine, ni sawa na viungo vya mwili, hakuna kilicho bora kuliko kingine.
 
Siyo msomaji mzuri wa Biblia, ila kuna verse zinasema, Mungu aligawa vipawa mbalimbali, wengine walimu, Wakulima, wavuvi, mafundi, waimbaji, walinzi, wanasheria, nk nk, wote hawa wapo ili kukamilisha kazi na utukufu wa Mungu shambani mwake na kila mmoja ataulizwa alichofanya kwenye eneo lake, kuna mahali ktk biblia panasema, enyi watoza ushuru, msitoze zaidi ya ipasavyo, na nyie wakulima leteni malimbuko gharani mwa Bwana ili kiwepo chakula cha kutosha ( rejea msosi uliompeleka Yakobo Misri), kwa ufupi kila kazi njema ni ya Mungu na tutalipwa kwa kadri tunavyoifanya. Mbele za Mungu hakuna kazi nzuri zaidi kuliko nyingine, ni sawa na viungo vya mwili, hakuna kilicho bora kuliko kingine.
Unachoongelea ni Uadilifu, kutenda HAKI na maisha matakatifu kazini.

Hayo ni maisha ambayo mwana wa Mungu anatakiwa Aishi Ili kuwavuta wasioamini kupitia matendo Yao.

Hapo ni kuhubiri Kwa matendo.

Nachokiongelea ni kuongea nao Kwa habari ya INJILI.

Ubarikiwe.
 
Unachoongelea ni Uadilifu, kutenda HAKI na maisha matakatifu kazini.

Hayo ni maisha ambayo mwana wa Mungu anatakiwa Aishi Ili kuwavuta wasioamini kupitia matendo Yao.

Hapo ni kuhubiri Kwa matendo.

Nachokiongelea ni kuongea nao Kwa habari ya INJILI.

Ubarikiwe.
Mkuu hapo inabidi nikuache tu uendelee, tumegawana majukumu katika kazi ile ile ya kuhubiri, hata sisi tunaowasha umeme pale kwenye kusanyiko tuna sehemu, na wale wanaozamia maombi wana sehemu ktk huduma hiyo na ndio maana ya neno mwili wa Kristo. Ngoja basi jumapili nikate umeme huku Kidatu uone kama vinanda vyenu vitafanya kazi. Mi niende kuhubiri nani atazalisha umeme, niende kuhubiri kama unavyo taka, nani atalima miwa tupate sukari ili Mhubiri apate chai? nk nk, Hata dereva wa lori la taka taka anahubiri, maana anasafisha mji ili nyie mfike kwenye ibada zenu njia zikiwa safi.
 
Mkuu hapo inabidi nikuache tu uendelee, tumegawana majukumu katika kazi ile ile ya kuhubiri, hata sisi tunaowasha umeme pale kwenye kusanyiko tuna sehemu, na wale wanaozamia maombi wana sehemu ktk huduma hiyo na ndio maana ya neno mwili wa Kristo. Ngoja basi jumapili nikate umeme huku Kidatu uone kama vinanda vyenu vitafanya kazi. Mi niende kuhubiri nani atazalisha umeme, niende kuhubiri kama unavyo taka, nani atalima miwa tupate sukari ili Mhubiri apate chai? nk nk, Hata dereva wa lori la taka taka anahubiri, maana anasafisha mji ili nyie mfike kwenye ibada zenu njia zikiwa safi.
Sijasema uache KAZI ukahubiri ikiwa hujaitwa kufanya huduma hiyo.

Nachosema ni wewe uwambie unaofanya nao KAZI habari njema ya INJILI ya wokovu,

Jirani zako pia waeza washuhudia.

Mada ni pana, soma yote usisome nusu.

Nadhani umenielewa!!
 
Sijasema uache KAZI ukahubiri ikiwa hujaitwa kufanya huduma hiyo.

Nachosema ni wewe uwambie unaofanya nao KAZI habari njema ya INJILI ya wokovu,

Jirani zako pia waeza washuhudia.

Mada ni pana, soma yote usisome nusu.

Nadhani umenielewa!!
Umesema kazi yenye thamani zaidi hapa duniani kuliko zote au siyo wewe? Mi nimekujibu mbele za Mungu hakuna kazi kubwa kuliko zingine, vinginevyo vipaji havina maana wote tungekuwa Walawi mkuu. Najivunia kuwa mzalisha mchele ili Wahubiri washibe na waende milimani wakahubiri, miye bado nalinda ndege wasile mpunga huku Mlimba.
 
Umesema kazi yenye thamani zaidi hapa duniani kuliko zote au siyo wewe? Mi nimekujibu mbele za Mungu hakuna kazi kubwa kuliko zingine, vinginevyo vipaji havina maana wote tungekuwa Walawi mkuu. Najivunia kuwa mzalisha mchele ili Wahubiri washibe na waende milimani wakahubiri, miye bado nalinda ndege wasile mpunga huku Mlimba.
Fanya KILIMO lakini pia hubiri INJILI Kwa hao unaofanya nao KAZI,

KAZI zote WANADAMU wafanyazo ni Kwa ajili ya kushibisha tumbo Ili viende chooni. Ndomana nikasema KAZI hizo hazina thamani kama kuhubiri INJILI,

KAZI ya kuhubiri INJILI, inahusisha kuwin souls Ili wengi waokolewe, waishi milele.

Kuhubiri INJILI ni KAZI yenye thamani kubwa kuliko KAZI zote chini ya jua.

Preach the gospel katika njia mbalimbali kama zilivyoainishwa hapo chini.

Ubarikiwe.
 
Back
Top Bottom