SAUTI YAKO
JF-Expert Member
- Jan 25, 2014
- 2,944
- 2,032
Habari wakuu, mimi ni mwanaume ninayehitaji msaada wenu, mambo yamekwama na hayaendi kabisa.
Nimejaribu kupita huko na huko lakini bado sijafanikiwa, mdau yoyote atayeweza nisaidia nipate mahali pa kufanya kazi nitashukuru sana.
Nina uzoefu na mambo ya migawaha ya kimataifa, pia naweza usimamizi wa shughuli yoyote ya halali.
Natanguliza shukrani nyingi sana, nina mani wadau mtanisaidia.
Nimejaribu kupita huko na huko lakini bado sijafanikiwa, mdau yoyote atayeweza nisaidia nipate mahali pa kufanya kazi nitashukuru sana.
Nina uzoefu na mambo ya migawaha ya kimataifa, pia naweza usimamizi wa shughuli yoyote ya halali.
Natanguliza shukrani nyingi sana, nina mani wadau mtanisaidia.