Kazi za majeshi huko Duniani zimekaa kupotezeana muda

Kazi za majeshi huko Duniani zimekaa kupotezeana muda

Vip nchi yako ikivamiwa kijeshi kwa ajili ya kuchukuliwa maligafi zenu ikiwemo dhahabu,pia wananchi na familia zenu mkiwa mnachukuliwa mateka na mnauliwa mfululizo na hilo jeshi ambalo limewavamia.

Je utakubaliana na hyo hali? Utakubali jeshi lenu lisijibu chochote?

Siyo kila vita ina maslahi kisiasa mkuu. Wewe ni Dr gani ambaye umeshindwa kujielimisha japo kwa suala dogo kama hili?
Na wanasiasa watume familia na watoto wao kwenda kupigana vita kwasababu wakati wa utulivu wao ndo wanufaika wa kuu wa hizo malighafi.
 
Kuna Watu wapo Duniani kutii matakwa ya wanasiasa ili yeye afurahie.

Yaani unapambania Kazi za majeshi then unatumwa vitani unauliwa Kama kuku au mnyama kisa maslahi ya Mwanasiasa mmoja.

Upo Duniani lazima ujue kusudio lako la kuja Duniani haiwezekani uje Duniani kuwa mtumwa kubebeshwa mabegi mazito mgongoni ili umtumikie Mwanasiasa.
Jeshi ni zaidi, ya kwenda vitani, internet technology unayoitumia, ilianzia jeshini USA,
Ukitaka kujua kazi, ya, jeshi, usiangalie ujinga wa jwtz,
Jeshi LA China Lina kiwanda kikubwa cha kutengeneza siraha, mapato kibao yanaingia, kuna vijana wa IT wanafanya na Ku design drones za kutembea chini ya maji,acha upuuzi wa jwtz hata kilimo kinawshinda,
Jeshi la China limetengeneza visiwa artificial,
Ujinga upo bongo tu, wanaishia kula bia,kujenga vifrem kadhaa, na vinyumba
 
Hata Netanyau yupo Tel aviv kwenye nyumba yake ya kufahari ana punga upepo wakati watoto wa waisrael wenzie wapo gaza wanauawa na wengine wanatiwa vilema hivyo hilo ni kawaida kwa dunia nzima.

Mwana jeshi ni mtumwa wa mwana siasa katika nchi zote duniani.

Alafu kuhusu utajiri wa Ismael Haniyer ume tulisha matango pori , hivi kwanza $4bilion unaichukuaje kwanza?
Ingia google! Kila kitu kipo wazi. Jamaa ni billionaire
 
Hiyo ndiyo dunia. hayo mambo lazima yawepo ili dunia iendelee. Kufa na kuishi ni mambo yaliyopo.
 
Ingia google! Kila kitu kipo wazi. Jamaa ni billionaire
Jamaa pesa anazo lakini sio kwa kiwango ulicho kitaja ,alafu hapa duniani hasa hii ya sasa hakuna mwanasiasa masikini ,Hata Netanyau ana tuhuma kibao za ufisadi wa mamilioni ya $ sema mgogoro huu umeyapoza kwa muda.
 
Kila MTU na Kazi yake, nani atawalinda mkivamiwa
Kila MTU Ni muhimu kwa ajili ya mwingine
 
Vip nchi yako ikivamiwa kijeshi kwa ajili ya kuchukuliwa maligafi zenu ikiwemo dhahabu,pia wananchi na familia zenu mkiwa mnachukuliwa mateka na mnauliwa mfululizo na hilo jeshi ambalo limewavamia.

Je utakubaliana na hyo hali? Utakubali jeshi lenu lisijibu chochote?

Siyo kila vita ina maslahi kisiasa mkuu. Wewe ni Dr gani ambaye umeshindwa kujielimisha japo kwa suala dogo kama hili?
Ni kama kule mtwara, pwani hapo wale waasi walivyokua wanachinja raia.

Njia ya kigoma majambazi walivyokua wanateka, kupora na kuua watu. Na sio wanasiasa wote wanakula goodtime kama walivyo wengi huku Afrika.

Wanajeshi wanasaidia sana, msiwabeze.
 
Jamaa pesa anazo lakini sio kwa kiwango ulicho kitaja ,alafu hapa duniani hasa hii ya sasa hakuna mwanasiasa masikini ,Hata Netanyau ana tuhuma kibao za ufisadi wa mamilioni ya $ sema mgogoro huu umeyapoza kwa muda.
Maneno mengi ya nini?! Ingia google,
search Haniyeh networth utaona data zote.
Jamaa ni billionaire.
Anakula maisha huku akiwahimiza vijana kwenda kujitoa mhanga vitani.
 
Ni ukweli mchungu unaambiwa mataifa mawili yapo vitani ila Rais kanyonga tai na suti wewe unaeenda kufa vitani unaambulia kuzikwa kwa kupigiwa salute au kuwa mlemavu wa kudumu.

Hizi kazi za majeshi ni kazi za kimaskini wanasiasa wa ngazi za juu watoto wao huwa hawaingii kwenye majeshi na wakiingia wanapandishwa vyeo chapchap ili awe mtoa amri na siyo mtendaji
Hivi hao jamaa huwa wanampigania rais, au maslahi ya nchi na raia.....
 
Maneno mengi ya nini?! Ingia google,
search Haniyeh networth utaona data zote.
Jamaa ni billionaire.
Anakula maisha huku akiwahimiza vijana kwenda kujitoa mhanga vitani.
Mkuu kwani hiyo Google unaitumia peke yako? Au unataka kutuona mandezi hapa.

Kwani kuna sehemu nilipo bisha kuwa sio tajiri?

Juzi jarida la fobrs lili toa tathimini ya utajiri wa viongozi wa kisiasa wa Hamas na lili gundua kuwa viongozi wa kisiasa wa hamas wote kwa pamoja wana miliki mali zenye thamani ya$1.2 billion sasa ww hizo habari za $4 bilion tena kwa mtu mmoja umezitoa wapi?
Au unadhani kumiliki $4bilion ni rahisi kama kujampa?

Alafu kingine nime kuambia kuwa wanasiasa wote duniani ni watu wenye huruka sawa.

Hao akina Haniyer na Netanyau wote ni wale wale kwa sababu wote wawili hakuna hata mmoja aliyeko mstari wa mbele kupigana vita wote wapo nyumbani kwao na familia zao, tofauti yao kuwa mmoja anaongoza nchi na mwingine anaongoza kikundi cha wapiganaji.

Huko Ukraine wakati kila siku maelfu ya wanajeshi wa pande zote wana uawa Putin na Zerensik wapo majumbani mwao na familia zao wana kunywa,kula,kulala vizuri

Wakati maelfu ya wana jeshi wa Marekani wanauawa nchi Iraq na Afghanistan Bush yeye alikuwa Woshingiton akila kuku kwa mrija na familia yake.
 
Mkuu kwani hiyo Google unaitumia peke yako? Au unataka kutuona mandezi hapa.

Kwani kuna sehemu nilipo bisha kuwa sio tajiri?

Juzi jarida la fobrs lili toa tathimini ya utajiri wa viongozi wa kisiasa wa Hamas na lili gundua kuwa viongozi wa kisiasa wa hamas wote kwa pamoja wana miliki mali zenye thamani ya$1.2 billion sasa ww hizo habari za $4 bilion tena kwa mtu mmoja umezitoa wapi?
Au unadhani kumiliki $4bilion ni rahisi kama kujampa?

Alafu kingine nime kuambia kuwa wanasiasa wote duniani ni watu wenye huruka sawa.

Hao akina Haniyer na Netanyau wote ni wale wale kwa sababu wote wawili hakuna hata mmoja aliyeko mstari wa mbele kupigana vita wote wapo nyumbani kwao na familia zao, tofauti yao kuwa mmoja anaongoza nchi na mwingine anaongoza kikundi cha wapiganaji.

Huko Ukraine wakati kila siku maelfu ya wanajeshi wa pande zote wana uawa Putin na Zerensik wapo majumbani mwao na familia zao wana kunywa,kula,kulala vizuri

Wakati maelfu ya wana jeshi wa Marekani wanauawa nchi Iraq na Afghanistan Bush yeye alikuwa Woshingiton akila kuku kwa mrija na familia yake.
'Hamas's top 3 leaders are worth staggering $11 billion' - Times of India 'Hamas's top 3 leaders are worth staggering $11 billion' - Times of India
 
Kuna Watu wapo Duniani kutii matakwa ya wanasiasa ili yeye afurahie.

Yaani unapambania Kazi za majeshi then unatumwa vitani unauliwa Kama kuku au mnyama kisa maslahi ya Mwanasiasa mmoja.

Upo Duniani lazima ujue kusudio lako la kuja Duniani haiwezekani uje Duniani kuwa mtumwa kubebeshwa mabegi mazito mgongoni ili umtumikie Mwanasiasa.
Askari pesa
 
Jeshi ni zaidi, ya kwenda vitani, internet technology unayoitumia, ilianzia jeshini USA,
Ukitaka kujua kazi, ya, jeshi, usiangalie ujinga wa jwtz,
Jeshi LA China Lina kiwanda kikubwa cha kutengeneza siraha, mapato kibao yanaingia, kuna vijana wa IT wanafanya na Ku design drones za kutembea chini ya maji,acha upuuzi wa jwtz hata kilimo kinawshinda,
Jeshi la China limetengeneza visiwa artificial,
Ujinga upo bongo tu, wanaishia kula bia,kujenga vifrem kadhaa, na vinyumba
Upo sahihi ila hii kuwatuma vitani ili wauliwe kisa Vita Ambazo zimeanzishwa na wanasiasa naipinga.
 
Tafuta vyanzo vya kuaminika achana na hivyo vijarida vya mitandaoni utalishwa matango pori.
Hivyo vijarida uchwara ndo huwa viatuambia kuwa Juma neture ana utajiri ya $1 million hali ya kuwa watu tunapanda naye daladala.

Forbes ndo shirika la kuamika duniani katika kutathimini mali za watu.
Hata Forbes wenyewe Ni waongo waongo,R. Mengi aliwahi kuwakataa na takwimu zao.Akawaambia Kama umri wangu tu hamuujui kwa usahihi,mali zangu mtazijuaje?
 
Back
Top Bottom