Mzee Kigogo
JF-Expert Member
- Jun 3, 2018
- 9,968
- 16,680
Unaambiwa na Nani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaambiwa na Nani?
Soma Biblia,wakati Musa anapigana vita,Jeshi lake lilikuwa linasaidiwa na Mungu.Mungu wa Majeshi.
Asante sana ❤️🏃🏿♂️🏃🏿♂️🏃🏿♂️🏃🏿♂️🏃🏿♂️Ni mgawanyo wa kazi na kila kazi ina risk zake.
Heshima kwenu wanajeshi.
Kote mbali, Vita ya idd Amini, majeshi yasinge pambana idd angetuchezeaje?Vip nchi yako ikivamiwa kijeshi kwa ajili ya kuchukuliwa maligafi zenu ikiwemo dhahabu,pia wananchi na familia zenu mkiwa mnachukuliwa mateka na mnauliwa mfululizo na hilo jeshi ambalo limewavamia.
Je utakubaliana na hyo hali? Utakubali jeshi lenu lisijibu chochote?
Siyo kila vita ina maslahi kisiasa mkuu. Wewe ni Dr gani ambaye umeshindwa kujielimisha japo kwa suala dogo kama hili?
Ujinga wa JWTZ wakati ndiyo jeshi la sita kwa ubora duniani? Heshimu jeshi letu mkuu 😁😁😁Jeshi ni zaidi, ya kwenda vitani, internet technology unayoitumia, ilianzia jeshini USA,
Ukitaka kujua kazi, ya, jeshi, usiangalie ujinga wa jwtz,
Jeshi LA China Lina kiwanda kikubwa cha kutengeneza siraha, mapato kibao yanaingia, kuna vijana wa IT wanafanya na Ku design drones za kutembea chini ya maji,acha upuuzi wa jwtz hata kilimo kinawshinda,
Jeshi la China limetengeneza visiwa artificial,
Ujinga upo bongo tu, wanaishia kula bia,kujenga vifrem kadhaa, na vinyumba