Kazini kwangu mwalimu wa sayansi alietegemewa kapigwa chini sababu alienda interview bila ruhusa

Kazini kwangu mwalimu wa sayansi alietegemewa kapigwa chini sababu alienda interview bila ruhusa

nipo online

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2022
Posts
1,039
Reaction score
2,657
Wakuu ikumbukwe juzi nimeleta uzi hapa juu ya ndugu kuniona sina akili kupuuzia ajira za serikalini,kwa kua hazina uhakika,.

Na pia pale job ukiomba tayarii umeandaa uadui na boss.

Juzi kuna mwalimu alienda kimya kimya na jamaa alikua anategemewa kazini. kiukweli alichofanyiwa nimewaza sana.

Kazi za watu utakua na umuhimu endapo utakua na tija nao tu. jana kawekwa mpya mbadala wake.

Nimewaza sana nikaona kumbe sijakosea hesabu zangu. yangenikuta kwa kweli.

Jamaa tumemaliza vip intaview? majibu yake ni kua tuombe tu Mungu mambo magumu.
 
Wakuu ikumbukwe juzi nimeleta uzi hapa juu ya ndugu kuniona sina akili kupuuzia ajira za serikalini,kwa kua hazina uhakika,.

Na pia pale job ukiomba tayarii umeandaa uadui na boss.

Juzi kuna mwalimu alienda kimya kimya na jamaa alikua anategemewa kazini. kiukweli alichofanyiwa nimewaza sana.

Kazi za watu utakua na umuhimu endapo utakua na tija nao tu. jana kawekwa mpya mbadala wake.

Nimewaza sana nikaona kumbe sijakosea hesabu zangu. yangenikuta kwa kweli.

Jamaa tumemaliza vip intaview? majibu yake ni kua tuombe tu Mungu mambo magumu.
Yote maisha tu..

Hata wewe ukifika muda wa kujilipua usiogope..
 
Kwa namna ulivyoandika ni kama unaungana kwa 100% na alichofanya boss wako lakini hapo ujue huyu jamaa yako anatoboa vizuri tu na fidia juu endapo akiamua kwenda CMA kupambania haki yake
 
Wakuu ikumbukwe juzi nimeleta uzi hapa juu ya ndugu kuniona sina akili kupuuzia ajira za serikalini,kwa kua hazina uhakika,.

Na pia pale job ukiomba tayarii umeandaa uadui na boss.

Juzi kuna mwalimu alienda kimya kimya na jamaa alikua anategemewa kazini. kiukweli alichofanyiwa nimewaza sana.

Kazi za watu utakua na umuhimu endapo utakua na tija nao tu. jana kawekwa mpya mbadala wake.

Nimewaza sana nikaona kumbe sijakosea hesabu zangu. yangenikuta kwa kweli.

Jamaa tumemaliza vip intaview? majibu yake ni kua tuombe tu Mungu mambo magumu.
kapigwa chini kwamba alikuwa anafundisha private? Kule private huwa ni pa kujishikiza tu kusubiria ajira za uhakika zije serikalini uwaache solemba
 
Kwa namna ulivyoandika ni kama unaungana kwa 100% na alichofanya boss wako lakini hapo ujue huyu jamaa yako anatoboa vizuri tu na fidia juu endapo akiamua kwenda CMA kupambania haki yake
dadangu mbona hujibu quotes/replies zangu? nina shda na zle ingredients za kutengeneza yale mafta.
 
Kwa namna ulivyoandika ni kama unaungana kwa 100% na alichofanya boss wako lakini hapo ujue huyu jamaa yako anatoboa vizuri tu na fidia juu endapo akiamua kwenda CMA kupambania haki yake
wapi nimeandika naungana? ni maisha tu mkuu hata mimi ningependa nikajaribu bahati yangu lakini nimefikiria uhalisia wa kazin kwangu nikapuuza
 
Back
Top Bottom