Kazini kwangu mwalimu wa sayansi alietegemewa kapigwa chini sababu alienda interview bila ruhusa

Kazini kwangu mwalimu wa sayansi alietegemewa kapigwa chini sababu alienda interview bila ruhusa

Wakuu ikumbukwe juzi nimeleta uzi hapa juu ya ndugu kuniona sina akili kupuuzia ajira za serikalini,kwa kua hazina uhakika,.

Na pia pale job ukiomba tayarii umeandaa uadui na boss.

Juzi kuna mwalimu alienda kimya kimya na jamaa alikua anategemewa kazini. kiukweli alichofanyiwa nimewaza sana.

Kazi za watu utakua na umuhimu endapo utakua na tija nao tu. jana kawekwa mpya mbadala wake.

Nimewaza sana nikaona kumbe sijakosea hesabu zangu. yangenikuta kwa kweli.

Jamaa tumemaliza vip intaview? majibu yake ni kua tuombe tu Mungu mambo magumu.
Ameshafaulu huyo .

Mwambie ajiandae kuanza kazi rasimi
 
Baada ya kutangqzwa kwa majinq ya waliopata ajira naamini atakuwepo nq ujeutuletee mrejesho.
 
Wakuu ikumbukwe juzi nimeleta uzi hapa juu ya ndugu kuniona sina akili kupuuzia ajira za serikalini,kwa kua hazina uhakika,.

Na pia pale job ukiomba tayarii umeandaa uadui na boss.

Juzi kuna mwalimu alienda kimya kimya na jamaa alikua anategemewa kazini. kiukweli alichofanyiwa nimewaza sana.

Kazi za watu utakua na umuhimu endapo utakua na tija nao tu. jana kawekwa mpya mbadala wake.

Nimewaza sana nikaona kumbe sijakosea hesabu zangu. yangenikuta kwa kweli.

Jamaa tumemaliza vip intaview? majibu yake ni kua tuombe tu Mungu mambo magumu.
Mtu mwoga hufa mara nyingi sana katika maisha yake.
 
Kwanini hakuomba ruhusa?
Hivi mkuu uwe na kampuni Yako halafu mfanyakazi wako asifike kazini bila ruhusa ni sawa?

Ingekuwa labda kaomba ruhusa halafu kanyimwa hapo boss angelaumiwa ila mtoro kazini katafuta mwenyewe tatizo!
Kwa mujibu wa sheria za kazi Tanzania, kutokufika kazini siku moja adhabu yake ni first written warning na sio kufukuzwa; again kwenda kufanya interview sehemu nyingine sio kosa kisheria, endapo huko alikokwenda kufanya interview akipewa offer then kwa ustaarabu unatoa notice ya kuacha kazi, wengine wanatoaga ya 24 hours while wengine wanatoa walau ya mwezi mmoja. Waajiri wengi wamekua wakifanya maamuzi ya kikatiri cause wanajua, tatizo la ajira nchini ni kubwa
 
Back
Top Bottom