nipo online
JF-Expert Member
- Sep 10, 2022
- 1,039
- 2,657
- Thread starter
- #21
mwaka huu nasalia kwanza hapa naona kuna maokoto ya kutoshaHata ukiwa hapo unaweza kuandika barua shule nyingine ya private....mwaka bado mbichi huu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mwaka huu nasalia kwanza hapa naona kuna maokoto ya kutoshaHata ukiwa hapo unaweza kuandika barua shule nyingine ya private....mwaka bado mbichi huu.
Ni vyema pia.mwaka huu nasalia kwanza hapa naona kuna maokoto ya kutosha
Adui wa mwalimu ni mwalimuWakuu ikumbukwe juzi nimeleta uzi hapa juu ya ndugu kuniona sina akili kupuuzia ajira za serikalini,kwa kua hazina uhakika,.
Na pia pale job ukiomba tayarii umeandaa uadui na boss.
Juzi kuna mwalimu alienda kimya kimya na jamaa alikua anategemewa kazini. kiukweli alichofanyiwa nimewaza sana.
Kazi za watu utakua na umuhimu endapo utakua na tija nao tu. jana kawekwa mpya mbadala wake.
Nimewaza sana nikaona kumbe sijakosea hesabu zangu. yangenikuta kwa kweli.
Jamaa tumemaliza vip intaview? majibu yake ni kua tuombe tu Mungu mambo magumu.
Siwezi mkuu tatizo jamaa anakua na pdf lote la majina ya interview ndo anapoanza kukudisNi vyema pia.
Ila kuhusu kujilipua muda ukifika jilipue tu ila uage sasa usipotee kihuni.
hesabu zako zimefeliAdui wa mwalimu ni mwalimu
Walimu ni kada mnayoongoza kwa majunguhesabu zako zimefeli
Potelea mbali .....ukifika wakati wa kusepa sepa tu.Siwezi mkuu tatizo jamaa anakua na pdf lote la majina ya interview ndo anapoanza kukudis
Kwa sasa CHADEMA inamuhitaji sana LISSU kuliko MBOWE a.k.a Museveni.Wakuu ikumbukwe juzi nimeleta uzi hapa juu ya ndugu kuniona sina akili kupuuzia ajira za serikalini,kwa kua hazina uhakika,.
Na pia pale job ukiomba tayarii umeandaa uadui na boss.
Juzi kuna mwalimu alienda kimya kimya na jamaa alikua anategemewa kazini. kiukweli alichofanyiwa nimewaza sana.
Kazi za watu utakua na umuhimu endapo utakua na tija nao tu. jana kawekwa mpya mbadala wake.
Nimewaza sana nikaona kumbe sijakosea hesabu zangu. yangenikuta kwa kweli.
Jamaa tumemaliza vip intaview? majibu yake ni kua tuombe tu Mungu mambo magumu.
Mkuu unafanyaje kazi huku unamuogopa kufanya interview sehemu nyingine sio kosa kwa mtu proffesional. Wake up value yourselfWakuu ikumbukwe juzi nimeleta uzi hapa juu ya ndugu kuniona sina akili kupuuzia ajira za serikalini,kwa kua hazina uhakika,.
Na pia pale job ukiomba tayarii umeandaa uadui na boss.
Juzi kuna mwalimu alienda kimya kimya na jamaa alikua anategemewa kazini. kiukweli alichofanyiwa nimewaza sana.
Kazi za watu utakua na umuhimu endapo utakua na tija nao tu. jana kawekwa mpya mbadala wake.
Nimewaza sana nikaona kumbe sijakosea hesabu zangu. yangenikuta kwa kweli.
Jamaa tumemaliza vip intaview? majibu yake ni kua tuombe tu Mungu mambo magumu.
lazima usome upepo wa ulipo kwa sasa,Mkuu unafanyaje kazi huku unamuogopa kufanya interview sehemu nyingine sio kosa kwa mtu proffesional. Wake up value yourself
Mungu Amsaidie na atapata tu huyo boss ataibika nA shule yake itazinguaWakuu ikumbukwe juzi nimeleta uzi hapa juu ya ndugu kuniona sina akili kupuuzia ajira za serikalini,kwa kua hazina uhakika,.
Na pia pale job ukiomba tayarii umeandaa uadui na boss.
Juzi kuna mwalimu alienda kimya kimya na jamaa alikua anategemewa kazini. kiukweli alichofanyiwa nimewaza sana.
Kazi za watu utakua na umuhimu endapo utakua na tija nao tu. jana kawekwa mpya mbadala wake.
Nimewaza sana nikaona kumbe sijakosea hesabu zangu. yangenikuta kwa kweli.
Jamaa tumemaliza vip intaview? majibu yake ni kua tuombe tu Mungu mambo magum
Nina akili kukuzidi hujui mipango yangu fatilia nyuzi zangu kenge bahari wewe.Wewe mtoa mada hauna akili aise. Unaandaa mazingira ya kufa masikini mb wa wewe . Yani unaogopa kuomba kazi ya serikali kisa bosi wako uchwara atakutimua kazini.
Sasq subilia siku ukifukuzwa hapo kazini kwako kama mbwa ndio utajua. Kaa ukijua huyo bosi wenu anaroho mbaya na anatamani kuona akiwatumikisha kama punda .
Kaa ukijua hakuna urafiki kati ya bosi na mfanyakazi. Wewe endelea kupiga majungu hapo kazini kwako. Utakuja kujitambua muda umeenda.
Nampongeza huyo jamaa yako muda si mrefu Mungu atajibu maombi yake.Hapo ndipo utajiona wewe pimbi.
Amefurahia huyo lkn Mungu si athuman mwenzie atatoboa 100%Kwa namna ulivyoandika ni kama unaungana kwa 100% na alichofanya boss wako lakini hapo ujue huyu jamaa yako anatoboa vizuri tu na fidia juu endapo akiamua kwenda CMA kupambania haki yake
Lazma hawanyooshe.Kuna hizi za mwaka jana za afya..kuna vijana walifanyiwa figisu pahala kisa kama hiko.
Bahati mbaya mmoja wao amekuwa somebody katika hizi kaguzi kaguzi za Hospital ,nasubiri kuona picha la kichina na nasikia wanatembelea Hospital kwa sasa😀😀😀😀
Hauna akili wewe endelea kupiga majungu hapo kazini kwako. Unafurahia mwenzako kupigwa chini .utakuwa punda hadi hapo akili itakapokukaa sawaNina akili kukuzidi hujui mipango yangu fatilia nyuzi zangu kenge bahari wewe.