Kazini kwangu ninaowasimamia hawanisikilizi, naomba ushauri

Kazini kwangu ninaowasimamia hawanisikilizi, naomba ushauri

nipo online

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2022
Posts
1,039
Reaction score
2,657
Nina wiki mbili toka niajiriwe katika kiwanda kimoja hapa mtwara. Mimi ni msimamizi wa vibarua wa wanaofanya usafi.

Changamoto iliyopo ni kua nikiwapa maelekezo kua usafi ufanyike katika maeneo yao wanaleta dharau, jeuri, kejeli. Wanataka niwe fea ila fea sidhan kama inafaa kazini

Majibu yao ni kua walikuepo hapa zaidi yako Leo wametimuliwa, hili jambo linanipa hofu na kutojiamini. Had hapa nishagombana na watu wawili ile tu kuwapa maelekezo wananimaindi.

Uongozi wa juu nao wananiambia nijitahidi kumalizana nao nisiwe naripoti ripot kila kitu. Nimekuja hapa kuomba ushauri jinsi ya kuitatua hii kadhia. Nahisi kuchoka.
 
Mimi sio naowatimua mkuu viongozi wenyewe wanataka niendenao hivyo
Kama wanataka uende nao hivo basi wewe ndo uwasikilize wao jitahidi sana usijikweze Wala usiwe tofauti sana na wao coz wewe NI mgeni. Soma mazingira halafu ukishajua mind set zao itakuwa rahisi kuwachallenge
Ukiona kazi ngumu. Hebu jaribu kucheza michezo wanaocheza wao mpka uwe na D mbili ndo uelwe nikisema michezo simaanishi tamthilia au nage
 
Nina wiki mbili toka niajiriwe katika kiwanda kimoja hapa mtwara. Mimi ni msimamizi wa vibarua wa wanaofanya usafi.

Changamoto iliyopo ni kua nikiwapa maelekezo kua usafi ufanyike katika maeneo yao wanaleta dharau, jeuri, kejeli. Wanataka niwe fea ila fea sidhan kama inafaa kazini

Majibu yao ni kua walikuepo hapa zaidi yako Leo wametimuliwa, hili jambo linanipa hofu na kutojiamini. Had hapa nishagombana na watu wawili ile tu kuwapa maelekezo wananimaindi.

Uongozi wa juu nao wananiambia nijitahidi kumalizana nao nisiwe naripoti ripot kila kitu. Nimekuja hapa kuomba ushauri jinsi ya kuitatua hii kadhia. Nahisi kuchoka.
Watanzania wengi tunapenda kufanya vitu kisela sela business as usual. Mimi katika shughli zangu ni watanzania wachache ambao huwa nashughulika nao kwa sababu nilishajaribu sana yani hawachukulii kazi kwa uzito mwisho huwa nashughulika na wakenya na watanzania wachache ambao wanafanya kazi kwa moyo.
 
Itisha kikao na wao, waeleze majukumu uliyopewa kuwambia na malengo yako nini, uwaeleze unahitaji nidhamu kazini na kuwataka kuwajibika kwa muda unaotakiwa kulingana na mahitaji ya kiwanda husika.
Kuwa mbabe sehemu ubabe unapohitajika, kuwa mpole sehemu inayohitaji upole, usiwadharau na uwe msikivu lakini mkali.
Viongozi wameshakuambia umalizane nao sasa unaogipa nini?
 
Katika kazi ukitaka kupendwa na kila mtu utaishia kuchukiwa na waajiri wako, ambao ndio haswa upendo wao unapaswa kuwa na tija kwako.

Hupaswi kuwa mkoloni lakini ukarimu wako usipite mipaka. Tengeneza heshima kwa kuwa mkali kwenye majukumu yako na sio kutengeneza uoga kwa kuwa mkali bila sababu za maana.

Inapobidi kuonyesha mfano wa kuchukua hatua za kinidhamu chukua, hii itatuma ujumbe kuwa haupo hapo kama toy. Ila sasa ukitaka uonekane Boss 'fair' utapandwa kichwani. Ukicheka na nyani, utavuna mabua.
 
Itisha kikao na wao, waeleze majukumu uliyopewa kuwambia na malengo yako nini, uwaeleze unahitaji nidhamu kazini na kuwataka kuwajibika kwa muda unaotakiwa kulingana na mahitaji ya kiwanda husika.
Kuwa mbabe sehemu ubabe unapohitajika, kuwa mpole sehemu inayohitaji upole, usiwadharau na uwe msikivu lakini mkali.
Viongozi wameshakuambia umalizane nao sasa unaogipa nini?
Siku hizo watu hawasimamiwi Kama mfungwa au mtumwa
 
Nina wiki mbili toka niajiriwe katika kiwanda kimoja hapa mtwara. Mimi ni msimamizi wa vibarua wa wanaofanya usafi.

Changamoto iliyopo ni kua nikiwapa maelekezo kua usafi ufanyike katika maeneo yao wanaleta dharau, jeuri, kejeli. Wanataka niwe fea ila fea sidhan kama inafaa kazini

Majibu yao ni kua walikuepo hapa zaidi yako Leo wametimuliwa, hili jambo linanipa hofu na kutojiamini. Had hapa nishagombana na watu wawili ile tu kuwapa maelekezo wananimaindi.

Uongozi wa juu nao wananiambia nijitahidi kumalizana nao nisiwe naripoti ripot kila kitu. Nimekuja hapa kuomba ushauri jinsi ya kuitatua hii kadhia. Nahisi kuchoka.
Report kwa superior wako. Akishafukuzwa mmoja, it set expample kwa wengine. Watajua uko serious
 
Nina wiki mbili toka niajiriwe katika kiwanda kimoja hapa mtwara. Mimi ni msimamizi wa vibarua wa wanaofanya usafi.

Changamoto iliyopo ni kua nikiwapa maelekezo kua usafi ufanyike katika maeneo yao wanaleta dharau, jeuri, kejeli. Wanataka niwe fea ila fea sidhan kama inafaa kazini

Majibu yao ni kua walikuepo hapa zaidi yako Leo wametimuliwa, hili jambo linanipa hofu na kutojiamini. Had hapa nishagombana na watu wawili ile tu kuwapa maelekezo wananimaindi.

Uongozi wa juu nao wananiambia nijitahidi kumalizana nao nisiwe naripoti ripot kila kitu. Nimekuja hapa kuomba ushauri jinsi ya kuitatua hii kadhia. Nahisi kuchoka.
Nadhan tazama aproach uliyoitumia kwenye kuwasimamia, Kuwa sehem ya hiyo team usiwe kama Nyapara.

Mpe heshima yake aliyekuzidi lakin hilo lisikuzuie kusimama kwenye utaratibu wa kazi.

Fanya regular short pre meeting na ndani ya hiyo meeting isiwe meeting ya kutoa maelekezo tu badili ya kuwasikiliza na wao watoe waliyonayo na wachangie namna bora za kuboresha kazi zao ili kuwa na matokeo mazuri.

Beba Changamoto zao ikiwa zipo na ikiwezekana muombe Boss wako kuzitatua , hiyo itawafanya wawe na imani na wewe na itakurahisishia kazi yako.
 
Back
Top Bottom