Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Soma ameandika imekuwa ni miezi miwili yupo kazini means tayari hapo mazingira keshayasoma.Brow ukiingia nyumba ya mtu wewe hupaswi kupaza sauti jaribu kuangalia life style yao then jaribu kusoma mchezo wagawe then kila mtu atajua wewe una cheo gani
Wewe umeongeaNikikushauri uwaloge nitakuwa nimekosea??
Kuna dawa hiyo ukipaka usoni, job ukiingia wanakuona km simba yaaaani 😁😁😁😁
Wewe jenga nao urafiki kiongozi bora huwasikiliza anaowaongoza kwa hio wasikilize kisha chambua kipi pumba na kipi mchele katika 10 utapata hata 5/6 wanaoendana na wewe kazi itakua na wepesi kwa hio jenga nao tu urafiki wasikilize katika kile wanachofanya kisha waonyeshe namna ya kufanya kwa wepesi au angalia ni nyenzo gani wanahitaji kurahisisha kazi mfano pa kukata na msumeno si sahihi kutumia panga maana utatumia nguvu nyingi kwa hio hao kuna kitu kinawakwamisha kwenye utendaji wasikilize kisha peleka changamoto zao kwenye uongozi waone wanavyowasaidiaMimi sio naowatimua mkuu viongozi wenyewe wanataka niendenao hivyo
Sahihi Watanzania huwa wana usela mavi wa kipuuzi sana kwenye kazi hasa mkizoeana, hawawi professional kabisa.Watanzania wengi tunapenda kufanya vitu kisela sela business as usual. Mimi katika shughli zangu ni watanzania wachache ambao huwa nashughulika nao kwa sababu nilishajaribu sana yani hawachukulii kazi kwa uzito mwisho huwa nashughulika na wakenya na watanzania wachache ambao wanafanya kazi kwa moyo.
Amesema hana mamlaka hayo,hiyo ni kazi ya uongozi wa juu ambapo ameshatoa malalamiko ya kutoheshimiwa kwake akajibiwa amalizane naoFukuza ajiri wengine
Ndio wamenizidi wengi waoDuh kazi unayo hasa kama wamekuzidi umri. Waafrika wanafanya kazi kimazoea mno
MixaNi wanawake?
Washafuzwa nasikia lakin bado tuReport kwa superior wako. Akishafukuzwa mmoja, it set expample kwa wengine. Watajua uko serious
Haya mawazo ya kipumbavuTafuta sample kama wawili hivi timua then fanya replacement yao haraka iwezekanavyo..hao wengine wataingiwa na uoga
Hamia Kenya waache watanzania na maisha yaoSahihi Watanzania huwa wana usela mavi wa kipuuzi sana kwenye kazi hasa mkizoeana, hawawi professional kabisa.
Sijaanza kulipwaNenda nao hivo hivo mkuu cha muhimu watoto wanaenda chooni .
Ni wafanya usafi vifaa vipo mkuuWewe jenga nao urafiki kiongozi bora huwasikiliza anaowaongoza kwa hio wasikilize kisha chambua kipi pumba na kipi mchele katika 10 utapata hata 5/6 wanaoendana na wewe kazi itakua na wepesi kwa hio jenga nao tu urafiki wasikilize katika kile wanachofanya kisha waonyeshe namna ya kufanya kwa wepesi au angalia ni nyenzo gani wanahitaji kurahisisha kazi mfano pa kukata na msumeno si sahihi kutumia panga maana utatumia nguvu nyingi kwa hio hao kuna kitu kinawakwamisha kwenye utendaji wasikilize kisha peleka changamoto zao kwenye uongozi waone wanavyowasaidia
Umeleta stori juu juu sana,na utaishia kupata ushauri wa juu juu tu ambao hauwezi kukusaidia lolote.Nina wiki mbili toka niajiriwe katika kiwanda kimoja hapa mtwara. Mimi ni msimamizi wa vibarua wa wanaofanya usafi.
Changamoto iliyopo ni kua nikiwapa maelekezo kua usafi ufanyike katika maeneo yao wanaleta dharau, jeuri, kejeli. Wanataka niwe fea ila fea sidhan kama inafaa kazini
Majibu yao ni kua walikuepo hapa zaidi yako Leo wametimuliwa, hili jambo linanipa hofu na kutojiamini. Had hapa nishagombana na watu wawili ile tu kuwapa maelekezo wananimaindi.
Uongozi wa juu nao wananiambia nijitahidi kumalizana nao nisiwe naripoti ripot kila kitu. Nimekuja hapa kuomba ushauri jinsi ya kuitatua hii kadhia. Nahisi kuchoka.
Hiyo kazi itakuwa ngumu sana kwakeAmesema hana mamlaka hayo,hiyo ni kazi ya uongozi wa juu ambapo ameshatoa malalamiko ya kutoheshimiwa kwake akajibiwa amalizane nao
Kuna jamaa wawili nimeshazinguana naoUlitakiwa kujenga mahusiano mazuri nao! Wajue tabia zao shida zao,maisha yao! Then ndiyo ujue jinsi ya kuwasimamia!
Usije na mihemko na kiherehere cha kazi harafu ukaanza kuwafokea! Hawatakuelewa.