nipo online
JF-Expert Member
- Sep 10, 2022
- 1,039
- 2,657
- Thread starter
- #61
Mbona kama tunakoseana adab mkuu sina skill kivip?Kazi imekushinda,huna management skills.Bosi atakushusha cheo muda si mchache.Not every body is born to be a leader
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona kama tunakoseana adab mkuu sina skill kivip?Kazi imekushinda,huna management skills.Bosi atakushusha cheo muda si mchache.Not every body is born to be a leader
Nina wiki mbili toka niajiriwe katika kiwanda kimoja hapa mtwara. Mimi ni msimamizi wa vibarua wa wanaofanya usafi.
Changamoto iliyopo ni kua nikiwapa maelekezo kua usafi ufanyike katika maeneo yao wanaleta dharau, jeuri, kejeli. Wanataka niwe fea ila fea sidhan kama inafaa kazini
Majibu yao ni kua walikuepo hapa zaidi yako Leo wametimuliwa, hili jambo linanipa hofu na kutojiamini. Had hapa nishagombana na watu wawili ile tu kuwapa maelekezo wananimaindi.
Uongozi wa juu nao wananiambia nijitahidi kumalizana nao nisiwe naripoti ripot kila kitu. Nimekuja hapa kuomba ushauri jinsi ya kuitatua hii kadhia. Nahisi kuchoka.
Kabisa watu weusi tuna tabia ya kuleta mazoea ktk kazi na kulazimisha dharau kwa watu hata kama huyo mtu kakuzidi maarifa au hata kakuzidi kwa kila kitu.Kuwa kauzu....wakisema walikuwepo wajibu sawa huku unazidi kaza nati.... binadamu hatuna jema...kaza
Niliomba kazi mkuu ndo nimepewaPole sana, ni kwa nini wamekupatia jukumu bila mamlaka yanayiendana na hilo jukumu?
Tatizo hilo
Itisha kikao na panga tarehe ya hicho kikao,pia mada ya hicho kikao yaani kueleza majukumu Yako na wao majukumu Yao na mwisho,Hatua za kufanya pindi mtu atakayekiuka mlichokubaliana kwenye kikao.Kifanywe kwa maandishi na waliohudhuria wasaini Unokounoko!Nina wiki mbili toka niajiriwe katika kiwanda kimoja hapa mtwara. Mimi ni msimamizi wa vibarua wa wanaofanya usafi.
Changamoto iliyopo ni kua nikiwapa maelekezo kua usafi ufanyike katika maeneo yao wanaleta dharau, jeuri, kejeli. Wanataka niwe fea ila fea sidhan kama inafaa kazini
Majibu yao ni kua walikuepo hapa zaidi yako Leo wametimuliwa, hili jambo linanipa hofu na kutojiamini. Had hapa nishagombana na watu wawili ile tu kuwapa maelekezo wananimaindi.
Uongozi wa juu nao wananiambia nijitahidi kumalizana nao nisiwe naripoti ripot kila kitu. Nimekuja hapa kuomba ushauri jinsi ya kuitatua hii kadhia. Nahisi kuchoka.
Ngoja nisikujibuWana nguvu ya ziada wanayo tumia? Je una nguvu ya Mungu wa kweli ya kupambana nao?
Leadership can be learnt.Kazi imekushinda,huna management skills.Bosi atakushusha cheo muda si mchache.Not every body is born to be a leader
Haya majamaa sijui kama wanaenda hata vikaoItisha kikao na panga tarehe ya hicho kikao,pia mada ya hicho kikao yaani kueleza majukumu Yako na wao majukumu Yao na mwisho,Hatua za kufanya pindi mtu atakayekiuka mlichokubaliana kwenye kikao.Kifanywe kwa maandishi na waliohudhuria wasaini Unokounoko!
Mimi ni mdogo ila kwa elimu nimewazidiInaonekana wewe ni mfupi
Haya kapambane nao ndo utajua kwa nini wanasema wengi waliondoka.Ngoja nisikujibu
Wapige bomu kama lile alilopigwa Fatma Karume na vijana wa MagufuliNina wiki mbili toka niajiriwe katika kiwanda kimoja hapa mtwara. Mimi ni msimamizi wa vibarua wa wanaofanya usafi.
Changamoto iliyopo ni kua nikiwapa maelekezo kua usafi ufanyike katika maeneo yao wanaleta dharau, jeuri, kejeli. Wanataka niwe fea ila fea sidhan kama inafaa kazini
Majibu yao ni kua walikuepo hapa zaidi yako Leo wametimuliwa, hili jambo linanipa hofu na kutojiamini. Had hapa nishagombana na watu wawili ile tu kuwapa maelekezo wananimaindi.
Uongozi wa juu nao wananiambia nijitahidi kumalizana nao nisiwe naripoti ripot kila kitu. Nimekuja hapa kuomba ushauri jinsi ya kuitatua hii kadhia. Nahisi kuchoka.
Mkuu we Acha tu nina mawazo sana.Kabisa watu weusi tuna tabia ya kuleta mazoea ktk kazi na kulazimisha dharau kwa watu hata kama huyo mtu kakuzidi maarifa au hata kakuzidi kwa kila kitu.
Sijatukana soma neno Moja baada ya jingineMbona kama tunakoseana adab mkuu sina skill kivip?
Ndio uanzie hapo la sivyo Rudi kwenye biashara zako huko!Haya majamaa sijui kama wanaenda hata vikao
Ko mimi nianze kuwafundisha na kuwapa matumaini? Mbona sio nilichopangiwa?Unapofanya Kazi na MTU anayeamini yeye ataishia kuwa mfagiaji au msafi wa kiwanda usitegemee huyu MTU kujituma na kuwa na ufanisi eneo la Kazi.
Maisha huwa yanaleta maana Kwa kuamini Mimi hapa nilipo sijafika bado.
So jitahidi kuwa unakaa unawaambia hilo jambo kuwa wajitume na wafanye Kazi kwa ufanisi kwa huo unaweza kuwa mwanzo wao wa wao kufanikiwa zaidi
So ukiwa kiongozi /msamamizi unabidi pia kuwa motivation speaker
People are insecure about their life -so make sure you give them hope
Niliomba kazi mkuu sababu ya kuongeza kipato changu.Ndio uanzie hapo la sivyo Rudi kwenye biashara zako huko!
Achana naishu zaelim kikubwa niuzoefu naujuzi wakazi nahapo ndio wamekuzidi yan huna kipya chakuwambia, labda kama hio elim umesomea nchi zilizoendeleaMimi ni mdogo ila kwa elimu nimewazidi
Sina uzoefu na kilimoAchana na hiyo kazi njoo tulime mkuu