Kazini kwangu ninaowasimamia hawanisikilizi, naomba ushauri

Kazini kwangu ninaowasimamia hawanisikilizi, naomba ushauri

  • Itisha kikao​
  • Jitambulishe na wewe ni mmoja wa ufanya usafi​
  • Sikiliza changamoto zao​
  • Nini kifanyike ili kuboresha mazingira ya kazi​
  • Shauriana nao namna ya kila mmoja kuwa na eneo lake la usafi​
  • Shauriana nao namna ya kupata mikopo kwenye kampuni ili kuendesha shughuli zao/maisha yao​
  • Baada ya hapo wote watapiga makofi na kukupa heshima zote​
 
  • Itisha kikao​
  • Jitambulishe na wewe ni mmoja wa ufanya usafi​
  • Sikiliza changamoto zao​
  • Nini kifanyike ili kuboresha mazingira ya kazi​
  • Shauriana nao namna ya kila mmoja kuwa na eneo lake la usafi​
  • Shauriana nao namna ya kupata mikopo kwenye kampuni ili kuendesha shughuli zao/maisha yao​
  • Baada ya hapo wote watapiga makofi na kukupa heshima zote​
Kinachowatesa ni low salaries
 
Niliomba kazi mkuu ndo nimepewa
Anhaa, kutokana na umri na ugeni na mambo yote. Kwa kuanzia jiweke kama mjumbe zaidi wa kazi wanazotakiwa kufanya.

Basi fanya kama kujiondoa, mfano badala ya kutoa amri kama wewe, basi fanya kama kuiwasilisha. Mfano msemo wa jeshini wa "KAZI ZA WATU" . Wapangie kazi kama vile zimetoka kwenye MFUMO/UTAWALA etc.

Ukienda kikao na wakubwa unarudi unawasilisha kwamba, ajenda mojawapo ilikuwa tumejisahau sana kufyeka majani sehemu x. Ile sehemu tutaigawana ndani ya siku tatu iwe saaaafi.

Chukua inspiration hata kanisani mtu anaweza kuleta wazo lake na akaliwasilisha kama ni Roho wa bwana Amemtuma. Matokeo yake yeye na wazo lake linaheshimiwa kutokana na mamlaka yaliyo nyuma ya hilo wazo. "Roho wa Bwana amenituma tukawatembelee wagonjwa jumatano"

Kingine nao uongozi uangalie namna ya kuweka bonus, ambayo wewe ndio unaamua nani apate kiasi gani cha hiyo bonus kulingana na utendaji kazi wake kama inawezekana. Kama haiwezekani stiki na njia ya kwanza mr nipo online
 
Anhaa, kutokana na umri na ugeni na mambo yote. Kwa kuanzia jiweke kama mjumbe zaidi wa kazi wanazotakiwa kufanya.

Basi fanya kama kujiondoa, mfano badala ya kutoa amri kama wewe, basi fanya kama kuiwasilisha. Mfano msemo wa jeshini wa "KAZI ZA WATU" . Wapangie kazi kama vile zimetoka kwenye MFUMO/UTAWALA etc.

Ukienda kikao na wakubwa unarudi unawasilisha kwamba, ajenda mojawapo ilikuwa tumejisahau sana kufyeka majani sehemu x. Ile sehemu tutaigawana ndani ya siku tatu iwe saaaafi.

Chukua inspiration hata kanisani mtu anaweza kuleta wazo lake na akaliwasilisha kama ni Roho wa bwana Amemtuma. Matokeo yake yeye na wazo lake linaheshimiwa kutokana na mamlaka yaliyo nyuma ya hilo wazo. "Roho wa Bwana amenituma tukawatembelee wagonjwa jumatano"

Kingine nao uongozi uangalie namna ya kuweka bonus, ambayo wewe ndio unaamua nani apate kiasi gani cha hiyo bonus kulingana na utendaji kazi wake kama inawezekana. Kama haiwezekani stiki na njia ya kwanza mr nipo online
Hapa mkuu no bonas at all but nashukuru sana
 
Nina wiki mbili toka niajiriwe katika kiwanda kimoja hapa mtwara. Mimi ni msimamizi wa vibarua wa wanaofanya usafi.

Changamoto iliyopo ni kua nikiwapa maelekezo kua usafi ufanyike katika maeneo yao wanaleta dharau, jeuri, kejeli. Wanataka niwe fea ila fea sidhan kama inafaa kazini

Majibu yao ni kua walikuepo hapa zaidi yako Leo wametimuliwa, hili jambo linanipa hofu na kutojiamini. Had hapa nishagombana na watu wawili ile tu kuwapa maelekezo wananimaindi.

Uongozi wa juu nao wananiambia nijitahidi kumalizana nao nisiwe naripoti ripot kila kitu. Nimekuja hapa kuomba ushauri jinsi ya kuitatua hii kadhia. Nahisi kuchoka.
Fukuza wote kisha funga ofisi, liwalo na liwe wale jeuri yao.
 
Nina wiki mbili toka niajiriwe katika kiwanda kimoja hapa mtwara. Mimi ni msimamizi wa vibarua wa wanaofanya usafi.

Changamoto iliyopo ni kua nikiwapa maelekezo kua usafi ufanyike katika maeneo yao wanaleta dharau, jeuri, kejeli. Wanataka niwe fea ila fea sidhan kama inafaa kazini

Majibu yao ni kua walikuepo hapa zaidi yako Leo wametimuliwa, hili jambo linanipa hofu na kutojiamini. Had hapa nishagombana na watu wawili ile tu kuwapa maelekezo wananimaindi.

Uongozi wa juu nao wananiambia nijitahidi kumalizana nao nisiwe naripoti ripot kila kitu. Nimekuja hapa kuomba ushauri jinsi ya kuitatua hii kadhia. Nahisi kuchoka.
Kuongoza watu haihitaji nguvu wala vitisho tumia saikolojia tu watu watafanya kazi.....ukivaa koti la uboss wewe ni kufokea fokea watu kama unafokea mkeo ndo utafanyiwa hivyooo
 
Nina wiki mbili toka niajiriwe katika kiwanda kimoja hapa mtwara. Mimi ni msimamizi wa vibarua wa wanaofanya usafi.

Changamoto iliyopo ni kua nikiwapa maelekezo kua usafi ufanyike katika maeneo yao wanaleta dharau, jeuri, kejeli. Wanataka niwe fea ila fea sidhan kama inafaa kazini

Majibu yao ni kua walikuepo hapa zaidi yako Leo wametimuliwa, hili jambo linanipa hofu na kutojiamini. Had hapa nishagombana na watu wawili ile tu kuwapa maelekezo wananimaindi.

Uongozi wa juu nao wananiambia nijitahidi kumalizana nao nisiwe naripoti ripot kila kitu. Nimekuja hapa kuomba ushauri jinsi ya kuitatua hii kadhia. Nahisi kuchoka.
Fanya kikao..tumia mamlaka yako. Ukishindwa we sio kiongozi. Chagua mmoja awe mfano kwa wote. Cha msingi kazibyako iende hata kama uendani nao usilazimishe uonekane mwema kwa kuendana nao. Binadamu kwenye riziki haeleweki.
 
Na huku ushirikina live live
Hapo uta ruin your work maana unatakiwa u apply
Laissez-faire leadership
E.g
At work: Leaders and supervisors stand back and let their employees make decisions.

Ndio kinacho Endelea hapo ofsn kwako kwa kuto kujua utajikuta umekua automatically Laissez-faire leader.
 
Back
Top Bottom