Kazini kwangu ninaowasimamia hawanisikilizi, naomba ushauri

Kazini kwangu ninaowasimamia hawanisikilizi, naomba ushauri

downloadfile.jpg
 
Ukanda huo wapo hivyo, wanapenda Sana kujinyanyua na kujionesha kwamba wamakua Ila Ni waoga Sana.

Ulitaka watambuemakosa yao, hebu Kama Ni usafi fanya mwenyewe Tena mbele yao bila kuwaambia kitu.
 
Katafute dawa ya heshima yaani ukichanjwa hiyo ukifika kazini unakuwa unaogopwa kama simba
Hata awe boss anaufyata

Vingibevyo wewe ndio utafukuzwa kazi, hao wafanyakazi wananamachimbo yao kuna sejemu huwa wanaenda ndio maana wanakiburi
 
Nina wiki mbili toka niajiriwe katika kiwanda kimoja hapa mtwara. Mimi ni msimamizi wa vibarua wa wanaofanya usafi.

Changamoto iliyopo ni kua nikiwapa maelekezo kua usafi ufanyike katika maeneo yao wanaleta dharau, jeuri, kejeli. Wanataka niwe fea ila fea sidhan kama inafaa kazini

Majibu yao ni kua walikuepo hapa zaidi yako Leo wametimuliwa, hili jambo linanipa hofu na kutojiamini. Had hapa nishagombana na watu wawili ile tu kuwapa maelekezo wananimaindi.

Uongozi wa juu nao wananiambia nijitahidi kumalizana nao nisiwe naripoti ripot kila kitu. Nimekuja hapa kuomba ushauri jinsi ya kuitatua hii kadhia. Nahisi kuchoka.
Mungu akusaidie, kama umepewa uongozi, na watu wanakudharau na haujui cha kufanya, mwombe Mungu akupe kazi nyingine, wee sio kiongozi. ungekuwa kiongozi usingehitaji hata kuuliza hapa.
 
Hapo uta ruin your work maana unatakiwa u apply
Laissez-faire leadership
E.g
At work: Leaders and supervisors stand back and let their employees make decisions.

Ndio kinacho Endelea hapo ofsn kwako kwa kuto kujua utajikuta umekua automatically Laissez-faire leader.
Akileta mambo ya kwenye makaratasi kwa wamakonde niamini mimi atafukuzwa kazi ndani ya wiki moja

Hana confidence inabidi akajipange kiroho ndio awavae hao watu vinginevyo atakuwa jobless muda sio mrefu
 
Nina wiki mbili toka niajiriwe katika kiwanda kimoja hapa mtwara. Mimi ni msimamizi wa vibarua wa wanaofanya usafi.

Changamoto iliyopo ni kua nikiwapa maelekezo kua usafi ufanyike katika maeneo yao wanaleta dharau, jeuri, kejeli. Wanataka niwe fea ila fea sidhan kama inafaa kazini

Majibu yao ni kua walikuepo hapa zaidi yako Leo wametimuliwa, hili jambo linanipa hofu na kutojiamini. Had hapa nishagombana na watu wawili ile tu kuwapa maelekezo wananimaindi.

Uongozi wa juu nao wananiambia nijitahidi kumalizana nao nisiwe naripoti ripot kila kitu. Nimekuja hapa kuomba ushauri jinsi ya kuitatua hii kadhia. Nahisi kuchoka.
Ongoza kwa mfano

Msimamizi: fagia
Mfanyakazi: sitaki
Msimamizi: chukua ufagio ufagie
 
We ushawaonesha meno na mazoea kedekede watu kama hao ulitakiwa toka unaingia uwaoneshe heshima ila mazoea no.

Alafu jenga utaratibu wa kuwaita vikao kila mwanzo wa week na uwatengenezee passion kwenye kazi yao mfano; “Jamani usafi wa jana uongozi umependezwa nao sana nafikiri tukiendelea hivi tunaweza kupewa favour yoyote” Sometimes shiriki nao katika kufanya nao usafi ili wakuone hujikwezi bali unahitaji kazi bora, Jaribu kuwajua wote na uwe unauliza taarifa za wale waotokea kutokufika kazini kwa sababu mbalimbali na uwe unatuma salamu za pole, Hii itafanya wakuone unajali na watakupenda, Kuwa mcheshi kiasi unazungumza nao.

Badala ya kutumia maneno “Fanyeni Usafi” tumia “Tufanye usafi” Jiingize nawe kama mwenzao kimatamshi japo ufanyaji wako utakuwa wa kudonyoa donyoa ili kuwa-motivate

Hizo ni baadhi ya njia ambazo zitakufanya uwe kiongozi wa tofauti na waliokuwapo kabla, Ukiwa mzuri kwenye ku-pretend hao hao wanaweza kufanya ukapanda cheo maana watapenda kukuona ukiwa kiongozi kila mara.

Kingine Umuombe Mungu sana maana ukishatengeneza attractive kwa watu ukawa na ushawishi sana unatengeneza vita walio juu yako maana unawapa wasiwasi wa kuja kupora nafasi zao.
Dah! Aisee mbona mambo ni magumu kumbe unakuwa unatengeneza vita Tena juu
 
Don't show them who is in charge! Yasome mazingira, waelewe wao wanataka nini then itakuwa rahisi kwako kuwaongoza.

Mpaka uongozi haupo tayari kuachana nao maana yake wao wanaweza kuwa mhimu zaidi yako wewe ama wamekuwa sehemu ya taasisi au biashara husika kwao hivyo ni watu mhimu.

Leadership is not about holding power or position, it's all about inspiring your people.
 
Kuna kitu hakipo sawa na ukilazimisha mambo yasiyowezekana shauri yako kikwete alisema la kuambiwa changanya na za kwako.
 
Hao nenda nao kimkakati, kwa sababu ninachoona wanataka kukuonesha kuwa wao ni wakubwa kuliko wewe. GIVE THEM WHAT THEY WANT.

Cheza na akili zao, wape fursa ya kujiona wakubwa, wape fursa wajione wao ndio waamuzi na wako juu yako.

Let them feel superior while you stay very low and submissive but watchful.

Wakishajaa kwenye mfumo utaona wanaanza kufanya kazi kama MANYUMBU tena kwa hamasa huku wakiamini wao ndio viongozi.

Au pita katikati yao UWAGAWANYE.... teua mmojawao awe kiranja wao, au teua watano wawe viongozi wa wenzao.... kisha hao watano uwape motisha kubwa ili WAWASIGINE WENZAO. KWISHA KABISA.

Tumia kila mbinu na kila mwanya unaopatikana kuhakikisha hawana umoja, tumia rushwa, upendeleo, fanya uonevu kwa baadhi yao, toa zawadi kwa baadhi huku wengine ukiwanyima, wape uongozi baadhi yao, tumia mgawanyo wa jinsia, mtengeneze adui miongoni mwao ili wang'atane wao kwa wao,... hakikisha unawavuruga huku wewe ukiendelea kujenga mamlaka yako na hakikisha wanakuona kama MKOMBOZI na MTETEZI.

Cc: Lamomy mshamba_hachekwi Nguva Jike Mia ya noti Mr Devil heartbeats min -me nipo online Ngurukia Evelyn Salt Gidamnyoda Alubati kwa-muda wakunyonya Yoda olegunasoljer ScaniaR Mkanganyiko kukanganya sysafiri zerominus10 safuher DR HAYA LAND Dr am 4 real PhD Norshad Lycaon pictus Kama ipo ipo Kimwakaleli Equation x Uhakika Bro MKILINDI Yofav @
 
Hao nenda nao kimkakati tu, kwa sababu ninachoona wanataka kukuonesha kuwa wao ni wakubwa kuliko wewe. GIVE THEM WHAT THEY WANT.

Cheza na akili zao, wape fursa ya kujiona wakubwa, wape fursa wajione wao ndio waamuzi na wako juu yako.

Let them feel superior while you stay very low and submissive but watchful.

Wakishajaa kwenye mfumo utaona wanaanza kufanya kazi kama MANYUMBU tena kwa hamasa huku wakiamini wao ndio viongozi.

Au pita katikati yao UWAGAWANYE.... teua mmojawao au kiranja wao, au teuwa watano wawe viongozi wao.... kisha hao watano uwape motisha kubwa ili WAWASIGINE WENZAO. KWISHA KABISA.

Cc: Lamomy mshamba_hachekwi
ila bachelor ya business management hukuipata bure
 
Nina wiki mbili toka niajiriwe katika kiwanda kimoja hapa mtwara. Mimi ni msimamizi wa vibarua wa wanaofanya usafi.

Changamoto iliyopo ni kua nikiwapa maelekezo kua usafi ufanyike katika maeneo yao wanaleta dharau, jeuri, kejeli. Wanataka niwe fea ila fea sidhan kama inafaa kazini

Majibu yao ni kua walikuepo hapa zaidi yako Leo wametimuliwa, hili jambo linanipa hofu na kutojiamini. Had hapa nishagombana na watu wawili ile tu kuwapa maelekezo wananimaindi.

Uongozi wa juu nao wananiambia nijitahidi kumalizana nao nisiwe naripoti ripot kila kitu. Nimekuja hapa kuomba ushauri jinsi ya kuitatua hii kadhia. Nahisi kuchoka.
Msimamishe kazi mmoja wao hasa anaye jiona kiongozi wao kwa mda
 
Acha ujuaji ni either uingie kweny system au ufunge domo deal na yako😅
 
Nina wiki mbili toka niajiriwe katika kiwanda kimoja hapa mtwara. Mimi ni msimamizi wa vibarua wa wanaofanya usafi.

Changamoto iliyopo ni kua nikiwapa maelekezo kua usafi ufanyike katika maeneo yao wanaleta dharau, jeuri, kejeli. Wanataka niwe fea ila fea sidhan kama inafaa kazini

Majibu yao ni kua walikuepo hapa zaidi yako Leo wametimuliwa, hili jambo linanipa hofu na kutojiamini. Had hapa nishagombana na watu wawili ile tu kuwapa maelekezo wananimaindi.

Uongozi wa juu nao wananiambia nijitahidi kumalizana nao nisiwe naripoti ripot kila kitu. Nimekuja hapa kuomba ushauri jinsi ya kuitatua hii kadhia. Nahisi kuchoka.
Kama mabosi wanasema uende nao hivyo hivyo. Hefu fanya kitu kimoja, kesho wachangamkie halafu nenda ofisini tulia tulii usimwambie mtu kuhusu majukumu yake hata kama utaona kuna sehemu hawajafanya usafi.

Kuna watu wanapenda ligi. Jinsi wewe unavyoumia kuwaelekeza ndiyo furaha yao huku wewe unaweza kupata hata presha.
 
Nina wiki mbili toka niajiriwe katika kiwanda kimoja hapa mtwara. Mimi ni msimamizi wa vibarua wa wanaofanya usafi.

Changamoto iliyopo ni kua nikiwapa maelekezo kua usafi ufanyike katika maeneo yao wanaleta dharau, jeuri, kejeli. Wanataka niwe fea ila fea sidhan kama inafaa kazini

Majibu yao ni kua walikuepo hapa zaidi yako Leo wametimuliwa, hili jambo linanipa hofu na kutojiamini. Had hapa nishagombana na watu wawili ile tu kuwapa maelekezo wananimaindi.

Uongozi wa juu nao wananiambia nijitahidi kumalizana nao nisiwe naripoti ripot kila kitu. Nimekuja hapa kuomba ushauri jinsi ya kuitatua hii kadhia. Nahisi kuchoka.
Kwani mkataba wao wa kazi unawapa majukumu gani na je wasipoyatimiza wanachukuliwa hatua gani?
Ila yote ya yote Acha unoko kazini busara itumike zaidi.
 
Nina wiki mbili toka niajiriwe katika kiwanda kimoja hapa mtwara. Mimi ni msimamizi wa vibarua wa wanaofanya usafi.

Changamoto iliyopo ni kua nikiwapa maelekezo kua usafi ufanyike katika maeneo yao wanaleta dharau, jeuri, kejeli. Wanataka niwe fea ila fea sidhan kama inafaa kazini

Majibu yao ni kua walikuepo hapa zaidi yako Leo wametimuliwa, hili jambo linanipa hofu na kutojiamini. Had hapa nishagombana na watu wawili ile tu kuwapa maelekezo wananimaindi.

Uongozi wa juu nao wananiambia nijitahidi kumalizana nao nisiwe naripoti ripot kila kitu. Nimekuja hapa kuomba ushauri jinsi ya kuitatua hii kadhia. Nahisi kuchoka.
Fanya hivi nyamaza usiwaulize chochote hata wafanye vile wanavyotaka wao au kaa nao mjadili kuwa nini kinawapa ugumu katika kazi zao kirafiki tu.
 
Back
Top Bottom