Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Fea kwamba wasifanye kazi au fea ganiWanataka fea mkuu sasa nitaharibu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fea kwamba wasifanye kazi au fea ganiWanataka fea mkuu sasa nitaharibu
Wanatakiwa wakuone mnoko na mwiba.Endapo nitafanya hiyo kitu ndo watazidi kuniona mwiba kwao dad
Ushauri mzur sanaa wenye kumsaidia Sana huyu junior leader.We ushawaonesha meno na mazoea kedekede watu kama hao ulitakiwa toka unaingia uwaoneshe heshima ila mazoea no.
Alafu jenga utaratibu wa kuwaita vikao kila mwanzo wa week na uwatengenezee passion kwenye kazi yao mfano; “Jamani usafi wa jana uongozi umependezwa nao sana nafikiri tukiendelea hivi tunaweza kupewa favour yoyote” Sometimes shiriki nao katika kufanya nao usafi ili wakuone hujikwezi bali unahitaji kazi bora, Jaribu kuwajua wote na uwe unauliza taarifa za wale waotokea kutokufika kazini kwa sababu mbalimbali na uwe unatuma salamu za pole, Hii itafanya wakuone unajali na watakupenda, Kuwa mcheshi kiasi unazungumza nao.
Badala ya kutumia maneno “Fanyeni Usafi” tumia “Tufanye usafi” Jiingize nawe kama mwenzao kimatamshi japo ufanyaji wako utakuwa wa kudonyoa donyoa ili kuwa-motivate
Hizo ni baadhi ya njia ambazo zitakufanya uwe kiongozi wa tofauti na waliokuwapo kabla, Ukiwa mzuri kwenye ku-pretend hao hao wanaweza kufanya ukapanda cheo maana watapenda kukuona ukiwa kiongozi kila mara.
Kingine Umuombe Mungu sana maana ukishatengeneza attractive kwa watu ukawa na ushawishi sana unatengeneza vita walio juu yako maana unawapa wasiwasi wa kuja kupora nafasi zao.
We jamaa una matatizo,shida ni kwamba una amri unapenda amri smri,hauna ile art ya ushawishi.Ni kweli hapa kuna ujinga sana
Kurogwa wapi,akaze tuWakimroga je?! 😊😀
Unakuta jamaa ni new comer kwenye kazi Kuna mzee makamo ya baba yake alaf ni mzoefu kazini hapo kufanya usafi unazani utatumia mbinu gani kumwambia mzee aokote au afagie yeye akiwa amekaa.Kurogwa wapi,akaze tu
Aah huyo naokota aisee,japo wazee wa hovyo wapo ila Kuna huruma yakujiaUnakuta jamaa ni new comer kwenye kazi Kuna mzee makamo ya baba yake alaf ni mzoefu kazini hapo kufanya usafi unazani utatumia mbinu gani kumwambia mzee aokote au afagie yeye akiwa amekaa.
Mkuu siumesema ni vibarua maana yake kesho getini Waite vijana wengine waingie kufanya kazi yani saa kumi na mbili alfajiri wahi mapema chakua vijana wapya.Mimi sio naowatimua mkuu viongozi wenyewe wanataka niendenao hivyo
Sasa hapo panatakiwa uwafanye watimize majukum kwa hiyo hiyo salary mkuu.Kinachowatesa ni low salaries
Hakuna uchawi Mzee ni woga weru TU we piga kaziNa huku ushirikina live live
Habari,Nina wiki mbili toka niajiriwe katika kiwanda kimoja hapa mtwara. Mimi ni msimamizi wa vibarua wa wanaofanya usafi.
Changamoto iliyopo ni kua nikiwapa maelekezo kua usafi ufanyike katika maeneo yao wanaleta dharau, jeuri, kejeli. Wanataka niwe fea ila fea sidhan kama inafaa kazini
Majibu yao ni kua walikuepo hapa zaidi yako Leo wametimuliwa, hili jambo linanipa hofu na kutojiamini. Had hapa nishagombana na watu wawili ile tu kuwapa maelekezo wananimaindi.
Uongozi wa juu nao wananiambia nijitahidi kumalizana nao nisiwe naripoti ripot kila kitu. Nimekuja hapa kuomba ushauri jinsi ya kuitatua hii kadhia. Nahisi kuchoka.