KCB sasa ina asset value ya ksh 1 trillion. ($10 billion)

KCB sasa ina asset value ya ksh 1 trillion. ($10 billion)

Hizi debate hazina maana ndio sababu hawawezi kuchangia, sisi tunataka kulinganisha iwajibikaji wa serikali za hizi nchi mbili kwa wananchi wao, mambo ya private hayatoi picha ya maendeleo ya watu wa nchi husika
So the private sector has no role to play in national development or what's exactly your point?
 
na bado mnakopa[emoji16][emoji16][emoji16].

Hata Marekani wenye uchumi zaidi yenu mara 1,000,000 bado wanakopa, hilo lisikupe tabu, kikubwa ni kwamba nyie huko mnaitia Afrika aibu kwa mlivyo wazembe.
 
Hata Marekani wenye uchumi zaidi yenu mara 1,000,000 bado wanakopa, hilo lisikupe tabu, kikubwa ni kwamba nyie huko mnaitia Afrika aibu kwa mlivyo wazembe.

we mbuzi kweli,marekani inakopa ijenge barabara[emoji16][emoji16].

aibu ya africa inatoka kenya,nchi ambayo ina benki zenye mitaji mikubwa ila wananchi wake bado 21c wanakufa kwa njaa[emoji20][emoji20][emoji20].
 
Yaani baada ya KCB kununua benki Tanzania na Rwanda sasa wamefikisha asset value ya $ 10 billion au ksh 1 trillion au Tsh 20 trillion. Hio $10 billion ni kama 10% of Kenya's GDP.

KCB is the largest bank in East and Central Africa in Asset value while Safaricom is the largest company in East and Central Africa period. Naona ni kweli kwamba uchumi wa Kenya ni wa kwenye Makaratasi.

======

IN SUMMARY​

  • Last week, KCB moved to strengthen its banking business in Rwanda and Tanzania by acquiring Banque Populaire du Rwanda Plc (BPR) and African Banking Corporation Tanzania (BancABC) currently owned by the Atlas Mara Ltd (ATMA).
KCB’s acquisition of two banks in Rwanda and Tanzania has pushed its total asset base to over Ksh1 trillion ($10 billion), creating a regional banking giant with a re-energised ambition to join the ranks of leading pan-African banks, currently dominated by Southern and West African banks.

"This is a significant milestone and very historic positioning. You can only cross the Ksh1 trillion mark once. It is something we have been looking forward to but let me also qualify it that it is definitely not the limit for us,” the Groups’ chief executive Joshua Oigara told The EastAfrican in an interview on Friday.

“We are still a medium-sized institution across the continent and we are relatively a small bank globally...we still have more opportunities and we will continue to see areas like the Democratic Republic of Congo and Ethiopia as areas of focus for us.”

Last year, KCB Group acquired the struggling state-owned National Bank of Kenya (NBK) and took over the good assets of Imperial Bank which was put under receivership by the Central Bank of Kenya on October 13, 2015.

Last week, KCB, which is listed on the Nairobi Securities Exchange (NSE), moved to strengthen its banking business in Rwanda and Tanzania by acquiring Banque Populaire du Rwanda Plc (BPR) and African Banking Corporation Tanzania (BancABC) currently owned by the Atlas Mara Ltd (ATMA).

The two parties signed an acquisition agreement for the two banks (BPR and BancABC) for Ksh4.37 billion ($43.7 million).

Under the deal, KCB will acquire 62.06 percent stake in BPR for Ksh3.5 billion ($35 million) and a 100 percent stake in BancABC for Ksh878 million ($8.78 million).

KCB’s total assets during the nine months to September 30 stood at Ksh972 billion ($9.72 billion) while the new acquisitions — BPR and BancABC — have a combined balance sheet of about Ksh42 billion ($420 million), bringing KCB’s total assets to Ksh1.01 trillion ($10.1 billion), with about 20 million customers.

The transaction is however subject to shareholder and regulatory approvals in the respective countries.

“Our expansion ambition is also taking Kenyan businesses overseas. It is giving our Kenyan shareholders and stakeholders an opportunity to take advantage of the emerging market opportunities within the East African region. These are very strong progressive actions we are taking ... we are seeing the fruits of all our strategies being achieved in these transactions,” said Mr Oigara.

Regional reach​

KCB currently operates in six countries — Kenya, Uganda, Tanzania, Rwanda, Burundi and South Sudan — and runs a representative office in Ethiopia.

“Our market is very much where we are at the moment. There is the East Africa Community, the DRC, which is a very close friend here and Ethiopia. We call it the East African cluster as a key priority market for us.,” said Mr Oigara.

In Rwanda, upon completion of the acquisition, the resultant KCB Group business is expected to see KCB double its market share to become the second largest bank in the country and solidify KCB Group’s leadership position.

“We view KCB’s intended purchase of the ATMA subsidiaries as a positive,” according to analysts at Standard Investment Bank (SIB).

In Tanzania, the subsequent merger of BancABC with KCB Bank Tanzania, a subsidiary of KCB Group, will integrate KCB Tanzania’s strong retail and corporate banking franchise with BancABC’s retail and commercial banking operations.

The merged entity is expected to rank as a top ten bank in the industry.

“Our growth strategy is premised on both organic and inorganic plans and we shall continue to seek opportunities that increase our shareholder’s value,” said Mr Oigara.

In June, Equity Bank’s ambitious plan to acquire 100 per cent shareholding in BancABC of Zambia, Mozambique and Tanzania including 62 per cent of the shares of Banque Populaire du Rwanda Ltd fell through after 16 months of protracted negotiations with the London Stock Exchange (LSE) listed Atlas Mara Ltd (ATMA).

As a result, the lender said it had halted its cross-border expansion bid after the failed acquisition of four banks in Rwanda, Zambia, Tanzania and Mozambique.

Under the deal Equity Bank would have surrendered about 252.5 million new ordinary shares representing 6.27 per cent of the bank to ATMA valued at Ksh10.7 billion ($107 million).

Atlas Mara Ltd is listed on the London Stock Exchange (LSE) with presence in seven Sub-Saharan African countries.

Source:
15% of Kenyas Economy
 
we mbuzi kweli,marekani inakopa ijenge barabara[emoji16][emoji16].

aibu ya africa inatoka kenya,nchi ambayo ina benki zenye mitaji mikubwa ila wananchi wake bado 21c wanakufa kwa njaa[emoji20][emoji20][emoji20].

Soma deni la Marekani kwa uwiano wa uchumi wao, hamna taifa dunia hii lisilokopa, ila nyie hapo kwa mlivyo maskini na wazembe mkiendelea kukopa mtaisha. Mumetia bara letu aibu na kufanya yote ambayo husemwa dhidi ya Waafrika kuonekana kweli, kwamba tumepewa raslimali ila tukanyimwa ubongo, hilo dongo huwahusu sana nyie.
 
Soma deni la Marekani kwa uwiano wa uchumi wao, hamna taifa dunia hii lisilokopa, ila nyie hapo kwa mlivyo maskini na wazembe mkiendelea kukopa mtaisha. Mumetia bara letu aibu na kufanya yote ambayo husemwa dhidi ya Waafrika kuonekana kweli, kwamba tumepewa raslimali ila tukanyimwa ubongo, hilo dongo huwahusu sana nyie.
Hivi watu ambao bado wanaendelea kufa kwa njaa katika karne hii ya sayansi na teknolojia, nchi ambayo haina vita vya wenyewe kwa wenyewe lakini wanategemea chakula cha msaada, wanapataje ujasiri wa kujiita ni nchi yenye uhuru kamili?

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
Lakini haisaidii kupunguza vifo vinavyosababishwa na njaa, wala fedhea ya kupokea chakula cha msaada, wala kusaidia kupunguza mikopo ya nchi, wala kupunguza utegemezi wa chakula kwa Uganda na Tanzania, zaidi ya kujisifu hakuna lingine inasaidia, sivyo?
Vipi Tanzania kutokuwa na kampuni yenye ukwasi kama huo kumesaidia kupunguza hayo kwa watanzania?
 
Soma deni la Marekani kwa uwiano wa uchumi wao, hamna taifa dunia hii lisilokopa, ila nyie hapo kwa mlivyo maskini na wazembe mkiendelea kukopa mtaisha. Mumetia bara letu aibu na kufanya yote ambayo husemwa dhidi ya Waafrika kuonekana kweli, kwamba tumepewa raslimali ila tukanyimwa ubongo, hilo dongo huwahusu sana nyie.

nimekuuliza,marekani anakopa ili ajenge daraja au barabara??
 
So the private sector has no role to play in national development or what's exactly your point?
Tell me, Nairobi Hospital and Kenyatta Hospital, which one is for the majority of Kenyans?.

If Nairobi Hospital closes its business today, its effect will be felt by very few Kenyans who can look for alternatives very easily, but if the same happens to Kenyatta Hospital, the effect is catastrophic.

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
Vipi Tanzania kutokuwa na kampuni yenye ukwasi kama huo kumesaidia kupunguza hayo kwa watanzania?
Sawa na kuuliza Tanzania kukosa kinu cha nguvu za nuclear kama imepunguza uwezo wa kujizalishia chakula. Jaribu kuweka swali lako vizuri hujasomeka.

Lazima jambo liwe na "positive effects" katika nchi ndio kuwepo na umuhimu wake, lazima makampuni au mashirika yaweze kutoa suluhisho ya matatizo ya jamii husika.

Kenya matatizo yao ya msingi kwa sasa ni
1)Njaa
2)Rushwa
3)Ukabila
4)Deni kubwa la nchi
5)Ukosefu wa usalama
6)Ukosefu wa ajira
7)Sheria mbovu za ardhi
8)Political instability
9)Slums
10)Terrorism

Huo ukwasi wa KCB umesaidia nini katika hayo?

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
Sawa na kuuliza Tanzania kukosa kinu cha nguvu za nuclear kama imepunguza uwezo wa kujizalishia chakula. Jaribu kuweka swali lako vizuri hujasomeka.

Lazima jambo liwe na "positive effects" katika nchi ndio kuwepo na umuhimu wake, lazima makampuni au mashirika yaweze kutoa suluhisho ya matatizo ya jamii husika.

Kenya matatizo yao ya msingi kwa sasa ni
1)Njaa
2)Rushwa
3)Ukabila
4)Deni kubwa la nchi
5)Ukosefu wa usalama
6)Ukosefu wa ajira
7)Sheria mbovu za ardhi
8)Political instability
9)Slums
10)Terrorism

Huo ukwasi wa KCB umesaidia nini katika hayo?

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Inawezekana ukubwa wake unakopesha vijana wanaofanya ujasiliamali. Inawezakana wanadhamini miradi. Siyo lazima uangalie angle unayotaka wewe tu.
Badala ya kuhate tuna mengi tunaweza jifunza kwa Kenya na wao wakajifunza kwetu. Kenya ina wabunifu wazuri, ina ma IT wazuri au kama siyo wzuri basi wanawaza nje ya box, hata huko mtandaoni Kenya wanajulikana kwa kiswahili kuliko hata sisi.

Wana GDP kubwa, huenda haijawafikia wengi wa chini lakini within time itawafikia kwa kiasi flani. Rushwa ni janga la mataia mengi ya Afrika hata hapa Tanzania haijakomeshwa. Ipo sana tu kuanzia ofsi ndogo za umma. Juzi nimeenda kutafuta cheti cha kuzaliwa cha mtoto nilichokikuta pale sikukitegema.

KCB imefanya vizuri, ni local bank kama imeweza kujtanua hivyo ni jambo la kupongeza, na sisi tungetamani kusikia NMB imefanya hivyo, tungetamani brand za kitanzania zisambae sana siyo AZAM tu
 
Inawezekana ukubwa wake unakopesha vijana wanaofanya ujasiliamali. Inawezakana wanadhamini miradi. Siyo lazima uangalie angle unayotaka wewe tu.
Badala ya kuhate tuna mengi tunaweza jifunza kwa Kenya na wao wakajifunza kwetu. Kenya ina wabunifu wazuri, ina ma IT wazuri au kama siyo wzuri basi wanawaza nje ya box, hata huko mtandaoni Kenya wanajulikana kwa kiswahili kuliko hata sisi.

Wana GDP kubwa, huenda haijawafikia wengi wa chini lakini within time itawafikia kwa kiasi flani. Rushwa ni janga la mataia mengi ya Afrika hata hapa Tanzania haijakomeshwa. Ipo sana tu kuanzia ofsi ndogo za umma. Juzi nimeenda kutafuta cheti cha kuzaliwa cha mtoto nilichokikuta pale sikukitegema.

KCB imefanya vizuri, ni local bank kama imeweza kujtanua hivyo ni jambo la kupongeza, na sisi tungetamani kusikia NMB imefanya hivyo, tungetamani brand za kitanzania zisambae sana siyo AZAM tu
Kaka, badala ya kuzungumza vitu kwa ushahidi wewe unazungumza theories "Inawezekana". Mimi nimeweka orodha ya matatizo ya msingi yanayowatesa wakenya, kama unakubaliana na hiyo orodha, onyesha ni wapi KCB imetatua au inaendelea kutatua hilo tatizo kwa ushahidi.

Hii habari ya kuzungumza vitu kwa nadharia lakini hakuna kinachoonekana kikisaidia ni tabia ya wakenya, kataa kuingia na kuiga ujinga wa wakenya kujisifia GDP wakati hawana uwezo wa kujenga hata kilometa moja ya SGR baada ya wachina kukataa kuwapa pesa, hawana uwezo wa kuwasaidia wakulima wao kuzalisha chakula ili wasife kwa njaa.



Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
Kaka, badala ya kuzungumza vitu kwa ushahidi wewe unazungumza theories "Inawezekana". Mimi nimeweka orodha ya matatizo ya msingi yanayowatesa wakenya, kama unakubaliana na hiyo orodha, onyesha ni wapi KCB imetatua au inaendelea kutatua hilo tatizo kwa ushahidi.

Hii habari ya kuzungumza vitu kwa nadharia lakini hakuna kinachoonekana kikisaidia ni tabia ya wakenya, kataa kuingia na kuiga ujinga wa wakenya kujisifia GDP wakati hawana uwezo wa kujenga hata kilometa moja ya SGR baada ya wachina kukataa kuwapa pesa, hawana uwezo wa kuwasaidia wakulima wao kuzalisha chakula ili wasife kwa njaa.



Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Hayo matatizo yapo nchi zote za kusini mwa jangwa la sahara siyo kenya tu.
Kwani mkuu ni uongo GDP yao siyo kubwa kuzidi yetu? Au ukweli umekuwa uongo? Hata sisi SGR tukiweka siasa pembeni tumekopa sana.
Janga likija hasa la njaa ni nchi chache za Afrika linaweza kulimaliza. Unahisi Tanzania itokee ukame, au nzige waharibu mazao serikali itaweza wapa watu chakula. Umesahau kipindi cha Kikwete watu wana njaa wanapelekea eti debe la mahindi. Sasa wewe debe la mahindi utakula shilingi ngapi tena inapewa familia.

No need to hate, KCB imefanya poa.
 
Hii ina maana gani kwa wakenya 48% ambao ni unemployed, 50% below poverty line, 2M wanaokabiliwa na njaa, 3M wanaoishi slums, na wale wanaouliwa au kujeruhiwa na polisi bila hatia yoyote?
Hahahaa kudadekiii.....sio kwa analysing hiii....
 
Sawa na kuuliza Tanzania kukosa kinu cha nguvu za nuclear kama imepunguza uwezo wa kujizalishia chakula. Jaribu kuweka swali lako vizuri hujasomeka.

Lazima jambo liwe na "positive effects" katika nchi ndio kuwepo na umuhimu wake, lazima makampuni au mashirika yaweze kutoa suluhisho ya matatizo ya jamii husika.

Kenya matatizo yao ya msingi kwa sasa ni
1)Njaa
2)Rushwa
3)Ukabila
4)Deni kubwa la nchi
5)Ukosefu wa usalama
6)Ukosefu wa ajira
7)Sheria mbovu za ardhi
8)Political instability
9)Slums
10)Terrorism

Huo ukwasi wa KCB umesaidia nini katika hayo?

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Ni aje hutajataja umaskini leo?[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji116]
tapatalk_1605970655461.jpeg
 
Back
Top Bottom