Watanzania wanapotezwa na propaganda ndogo ndogo tuNchi hii inawajinga wengi sana nandio maana tunachelewa kwa sababu ya kuwa na watu vilaza kama baadhi ya wachangiaji hapo juu.
Magu anakubalika 24/7 na wananchi kwa mamilioni, na wengi hawana access JF.
Nyerere alikuwa muoga kwa mabeberu Magu hakumuogopa mtuyoyote linaokuja swala la maslah ya nchi hata ccm xwenzake wanajua.
Umeandika kweli tupuWa Tanzania tuache unafiki. pamoja na Udikteta wake Yapo mambo makubwa aliyofanya Magufuli. Au mnataka kumuondoa katika fikra za WaTz ili wengine waonekane leo kuwa wanafaa? Mtoa mada anatukumbusha haya.
Nyie mnaomkosoa Magufuli Yote maslahi tuu!
Yaani anampamba yule shetani hayawani muuaji mwizi jambazi ambaye alikuwa anataka aibe peke yake usimfananishe na baba wa taifa hili Ile ilikuwa takataka tena zaid ya takatakaWewe mtoa mada mwondoe Nyerere kwenye hilo andiko lako tafadhali. Kumuweka pamoja na Magufuli muuaji, mwizi, mwongo, mnyang'anyi ni KUMTUKANISHA baba wa Taifa.
Nyerere hii anaongelewa na calible za akina Nelson Mandela, Nkrumah, Mahatma Gandhi nk.
Magufuli mjadili kwenye mada za akina Iddi Amin Dada, Mobutu Seseseko, Nguema na Bokassa
,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Usimweke Hayati Baba wa Taifa Mwl. J.K. Nyerere kwenye kundi moja na huyo kituko. Ni kashfa kubwa na dharau kwa baba yetu mpendwa wa taifa.
Nyerere alikua a state man, a visionary leader, a man of unquestionable integrity and very intelligent man. Mungu aendelee kumpa punziko jema la milele.
Huyo mwingine ni aibu ya taifa, hakuwa na akili, hakuwa na emotional intelligence, mkabila, mwongo, mbadhirifu,na ata kiingereza hakuwa anajua kuongea. Ni abu kwa taifa
Nyerere muoga kwa mabeberu? Hii umeitoa wapi ndugu? Alikuwa na mapungufu yake tena mengine yanatuathiri hadi leo lakini sijui hilo.Nchi hii inawajinga wengi sana nandio maana tunachelewa kwa sababu ya kuwa na watu vilaza kama baadhi ya wachangiaji hapo juu.
Magu anakubalika 24/7 na wananchi kwa mamilioni, na wengi hawana access JF.
Nyerere alikuwa muoga kwa mabeberu Magu hakumuogopa mtuyoyote linaokuja swala la maslah ya nchi hata ccm wenzake wanajua.
,[emoji23][emoji23][emoji23]Acha kumuweka Nyerere kundi moja na vitu vya kipumbavu
FactNyerere ana sanamu lake maeneo mbalimbali..
Huyo kichaa mwingine kamjengee nyumbani kwako itaendeza mkiona wewe,Mkeo na watoto wako.
,,[emoji1][emoji1]Wewe RNA ni MPUMBAVU, yaani pamoja na comments zote hizo bado unadiriki kubisha. Funga domo lako tusije kukutukana matusi mpaka kwa wazazi wako
Usimlinganishe Nyerere na Magufuli.Habari,
Nimekuwa nikipitia mitandao mingi ya Kijamii wachangiaji wakitoa maneno ya kashfa na kuudhi dhidi ya hawa viongozi wetu, ingawa ukipita mitaani hali ni tofauti na kwenye hii mitandao.
Swali ni kwamba kuna vijana huwa wana ajiriwa kwa shughuli hii chafu?
Mwalimu Nyerere na Magufuli ni Marais PEKEE waliopambana na kuhubiri kupinga Ufisadi wazi wazi bila kuogopa, kifupi hizi kebehi na kwamba watu wengi hawafuatilii mambo ila wanafuata mkumbo kama wangeelewa tusingeona haya mambo.
Je, kwa namna walivyojipambanua kupambana na Ufisadi na kuwa Wazalendo kuna haja ya kuweka Sanamu zao pale Dodoma kama Ishara ya Uzalendo? Vijana tukipita tupate hamasa!
View attachment 2237718
View attachment 2237721
Ukiona mtu anawatukana hawa watu wawili jua ni MPUUZI tuHabari,
Nimekuwa nikipitia mitandao mingi ya Kijamii wachangiaji wakitoa maneno ya kashfa na kuudhi dhidi ya hawa viongozi wetu, ingawa ukipita mitaani hali ni tofauti na kwenye hii mitandao.
Swali ni kwamba kuna vijana huwa wana ajiriwa kwa shughuli hii chafu?
Mwalimu Nyerere na Magufuli ni Marais PEKEE waliopambana na kuhubiri kupinga Ufisadi wazi wazi bila kuogopa, kifupi hizi kebehi na kwamba watu wengi hawafuatilii mambo ila wanafuata mkumbo kama wangeelewa tusingeona haya mambo.
Je, kwa namna walivyojipambanua kupambana na Ufisadi na kuwa Wazalendo kuna haja ya kuweka Sanamu zao pale Dodoma kama Ishara ya Uzalendo? Vijana tukipita tupate hamasa!
View attachment 2237718
View attachment 2237721
Unadhihirisha jinsi ulivyo na matatizo ya afya ya akili,unahitaji tiba ya haraka, ungesema ulipo ningekuletea ambulance ikuwahishe MirembeNyerere alikuwa mwongo mwongo.by Tindu lissu, upinzani wa tanzania pasua kichwa,unatembea na upepo.
He was a ruthless despot who would have plunged our lovely country into economic problems save for the intervention of our Almighty God on 17/ 03/ 21Wewe umesema kweli,Magufuri was not a leader he was a dictator what he wanted on behalf of public he did and not the public to decide.
Mungu ni mwema kila wakatiHe was a ruthless despot who would have plunged our lovely country into economic problems save for the intervention of our Almighty God on 17/ 03/ 21
Sahihi kabisa mkuu. Anasema watanzania Wana ufahamu mdogo. Yeye kumuweka Nyerere na magufuli anajiona ana akili kubwa. Nakuna Mwenye akili atamlinganisha Nyerere na magufuliStuxnet umemuelewa vizuri sana, anajaribu kumuweka Nyerere hapo ili apate huruma. Jiwe hayuko class ya Nyerere period.
Hakutakiwa kuwa mtu wa mwisho kwenye maamuzi. Nafasi ya mwisho kwake ilitakiwa kuwa waziri Mkuu sababu Ni nafasi ya kusimamia mikakati ya kiutendaji ilifaa zaidi maana mawaziri wote wangekuwa chini yake.Yule bwana alikuwa mharibifu wa kila kitu..
Ni mtu sahihi kusimamiwa sio yeye kusimamia maamuzi.
Ndiyo maana wanakwambia hawafanani sababu kwenye mambo makubwa ya magufuli Ni pamoja na kuuwa watu na kumshambulia Tundu Lisu.Wa Tanzania tuache unafiki. pamoja na Udikteta wake Yapo mambo makubwa aliyofanya Magufuli. Au mnataka kumuondoa katika fikra za WaTz ili wengine waonekane leo kuwa wanafaa? Mtoa mada anatukumbusha haya.
Nyie mnaomkosoa Magufuli Yote maslahi tuu!