Kebehi dhidi ya Nyerere na Magufuli, ni ishara Watanzania wana uelewa mdogo. Viongozi hawa wajengewe kumbukizi

Kebehi dhidi ya Nyerere na Magufuli, ni ishara Watanzania wana uelewa mdogo. Viongozi hawa wajengewe kumbukizi

Nchi hii inawajinga wengi sana nandio maana tunachelewa kwa sababu ya kuwa na watu vilaza kama baadhi ya wachangiaji hapo juu.

Magu anakubalika 24/7 na wananchi kwa mamilioni, na wengi hawana access JF.
Nyerere alikuwa muoga kwa mabeberu Magu hakumuogopa mtuyoyote linaokuja swala la maslah ya nchi hata ccm xwenzake wanajua.
Watanzania wanapotezwa na propaganda ndogo ndogo tu
 
Wa Tanzania tuache unafiki. pamoja na Udikteta wake Yapo mambo makubwa aliyofanya Magufuli. Au mnataka kumuondoa katika fikra za WaTz ili wengine waonekane leo kuwa wanafaa? Mtoa mada anatukumbusha haya.
Nyie mnaomkosoa Magufuli Yote maslahi tuu!
Umeandika kweli tupu
 
Wewe mtoa mada mwondoe Nyerere kwenye hilo andiko lako tafadhali. Kumuweka pamoja na Magufuli muuaji, mwizi, mwongo, mnyang'anyi ni KUMTUKANISHA baba wa Taifa.

Nyerere hii anaongelewa na calible za akina Nelson Mandela, Nkrumah, Mahatma Gandhi nk.

Magufuli mjadili kwenye mada za akina Iddi Amin Dada, Mobutu Seseseko, Nguema na Bokassa
Yaani anampamba yule shetani hayawani muuaji mwizi jambazi ambaye alikuwa anataka aibe peke yake usimfananishe na baba wa taifa hili Ile ilikuwa takataka tena zaid ya takataka
 
Usimweke Hayati Baba wa Taifa Mwl. J.K. Nyerere kwenye kundi moja na huyo kituko. Ni kashfa kubwa na dharau kwa baba yetu mpendwa wa taifa.

Nyerere alikua a state man, a visionary leader, a man of unquestionable integrity and very intelligent man. Mungu aendelee kumpa punziko jema la milele.

Huyo mwingine ni aibu ya taifa, hakuwa na akili, hakuwa na emotional intelligence, mkabila, mwongo, mbadhirifu,na ata kiingereza hakuwa anajua kuongea. Ni abu kwa taifa
,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nchi hii inawajinga wengi sana nandio maana tunachelewa kwa sababu ya kuwa na watu vilaza kama baadhi ya wachangiaji hapo juu.

Magu anakubalika 24/7 na wananchi kwa mamilioni, na wengi hawana access JF.
Nyerere alikuwa muoga kwa mabeberu Magu hakumuogopa mtuyoyote linaokuja swala la maslah ya nchi hata ccm wenzake wanajua.
Nyerere muoga kwa mabeberu? Hii umeitoa wapi ndugu? Alikuwa na mapungufu yake tena mengine yanatuathiri hadi leo lakini sijui hilo.
 
Kumuweka Nyerere na Magufuli meza moja ni sawa na kuweka kinyesi kibichi na keki meza moja...hawa watu wawili ni tofauti sana,ni km mbingu na ardhi.
Hivi karibuni kumekuwa na juhudi za kumsafisha Magu kupitia jina la Nyerere,ni ujinga mtupu.
 
Habari,

Nimekuwa nikipitia mitandao mingi ya Kijamii wachangiaji wakitoa maneno ya kashfa na kuudhi dhidi ya hawa viongozi wetu, ingawa ukipita mitaani hali ni tofauti na kwenye hii mitandao.

Swali ni kwamba kuna vijana huwa wana ajiriwa kwa shughuli hii chafu?

Mwalimu Nyerere na Magufuli ni Marais PEKEE waliopambana na kuhubiri kupinga Ufisadi wazi wazi bila kuogopa, kifupi hizi kebehi na kwamba watu wengi hawafuatilii mambo ila wanafuata mkumbo kama wangeelewa tusingeona haya mambo.

Je, kwa namna walivyojipambanua kupambana na Ufisadi na kuwa Wazalendo kuna haja ya kuweka Sanamu zao pale Dodoma kama Ishara ya Uzalendo? Vijana tukipita tupate hamasa!

View attachment 2237718
View attachment 2237721
Usimlinganishe Nyerere na Magufuli.
Magufuli has never been a thinker.
 
Nyerere hutosikia akiitwa mwendakuzimu humu ndani au popote. Anaitwa Hayati baba wa taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere. Huyo jiwe mwendazake ni wazi na dhahiri hawezi KAMWE kuwa level ya Mwalimu.

Jiwe hana historia ya kuheshimiwa barani Africa, anaheshimika sana na kanda fulani tena wa kabila fulani Tu, nako siyo na kila mtu.

Mleta mada hujitambui, umeelemewa na kupumbazwa na mahaba!
 
Habari,

Nimekuwa nikipitia mitandao mingi ya Kijamii wachangiaji wakitoa maneno ya kashfa na kuudhi dhidi ya hawa viongozi wetu, ingawa ukipita mitaani hali ni tofauti na kwenye hii mitandao.

Swali ni kwamba kuna vijana huwa wana ajiriwa kwa shughuli hii chafu?

Mwalimu Nyerere na Magufuli ni Marais PEKEE waliopambana na kuhubiri kupinga Ufisadi wazi wazi bila kuogopa, kifupi hizi kebehi na kwamba watu wengi hawafuatilii mambo ila wanafuata mkumbo kama wangeelewa tusingeona haya mambo.

Je, kwa namna walivyojipambanua kupambana na Ufisadi na kuwa Wazalendo kuna haja ya kuweka Sanamu zao pale Dodoma kama Ishara ya Uzalendo? Vijana tukipita tupate hamasa!

View attachment 2237718
View attachment 2237721
Ukiona mtu anawatukana hawa watu wawili jua ni MPUUZI tu
 
  • Thanks
Reactions: RNA
Nyerere alikuwa mwongo mwongo.by Tindu lissu, upinzani wa tanzania pasua kichwa,unatembea na upepo.
Unadhihirisha jinsi ulivyo na matatizo ya afya ya akili,unahitaji tiba ya haraka, ungesema ulipo ningekuletea ambulance ikuwahishe Mirembe
 
Mleta hoja acha kabisa kumweka kipenzi chetu Nyerere na huyo mtu wenu!
Tena koma kama ulivyokoma titi la mama yako! ebo!
Unamweka Baba mwenye hekima, busara na akili na huyo mtu wenu? RIP Mwalimu Nyerere.
 
Yule bwana alikuwa mharibifu wa kila kitu..

Ni mtu sahihi kusimamiwa sio yeye kusimamia maamuzi.
Hakutakiwa kuwa mtu wa mwisho kwenye maamuzi. Nafasi ya mwisho kwake ilitakiwa kuwa waziri Mkuu sababu Ni nafasi ya kusimamia mikakati ya kiutendaji ilifaa zaidi maana mawaziri wote wangekuwa chini yake.
 
Wa Tanzania tuache unafiki. pamoja na Udikteta wake Yapo mambo makubwa aliyofanya Magufuli. Au mnataka kumuondoa katika fikra za WaTz ili wengine waonekane leo kuwa wanafaa? Mtoa mada anatukumbusha haya.
Nyie mnaomkosoa Magufuli Yote maslahi tuu!
Ndiyo maana wanakwambia hawafanani sababu kwenye mambo makubwa ya magufuli Ni pamoja na kuuwa watu na kumshambulia Tundu Lisu.
 
Back
Top Bottom