Kebehi dhidi ya Nyerere na Magufuli, ni ishara Watanzania wana uelewa mdogo. Viongozi hawa wajengewe kumbukizi

Kebehi dhidi ya Nyerere na Magufuli, ni ishara Watanzania wana uelewa mdogo. Viongozi hawa wajengewe kumbukizi

Habari,

Nimekuwa nikipitia mitandao mingi ya Kijamii wachangiaji wakitoa maneno ya kashfa na kuudhi dhidi ya hawa viongozi wetu, ingawa ukipita mitaani hali ni tofauti na kwenye hii mitandao.

Swali ni kwamba kuna vijana huwa wana ajiriwa kwa shughuli hii chafu?

Mwalimu Nyerere na Magufuli ni Marais PEKEE waliopambana na kuhubiri kupinga Ufisadi wazi wazi bila kuogopa, kifupi hizi kebehi na kwamba watu wengi hawafuatilii mambo ila wanafuata mkumbo kama wangeelewa tusingeona haya mambo.

Je, kwa namna walivyojipambanua kupambana na Ufisadi na kuwa Wazalendo kuna haja ya kuweka Sanamu zao pale Dodoma kama Ishara ya Uzalendo? Vijana tukipita tupate hamasa!

View attachment 2237718
View attachment 2237721
Ni kumkoseaheshina sana Mwalimu Nyerere kumfananisha na Magufuli. Utawezaji kulinganisha dimbwi na bahari?
 
Nchi hii inawajinga wengi sana nandio maana tunachelewa kwa sababu ya kuwa na watu vilaza kama baadhi ya wachangiaji hapo juu.

Magu anakubalika 24/7 na wananchi kwa mamilioni, na wengi hawana access JF.
Nyerere alikuwa muoga kwa mabeberu Magu hakumuogopa mtuyoyote linaokuja swala la maslah ya nchi hata ccm wenzake wanajua.
Mara nyingi vichaa huamini kuwa wana uelewa mkubwa sana kuliko watu wote walio wazima. Ukiona upo yofauti na wengi, fanya tafakuri ili kujirambua kama umzima wa heri.

Kwa kipimo chochote kile hakina kipimo cha kumweka Magufuli karibu na Mwalimu.

Ilikuwa ni bahati mbaya sana kwa Taifa. Machache mazuri yaliyofanyika wakati wa utawala wa Magufuli hayatoshi kuyafuta mabaya yaliyofanyuka wakati wa utawala wake.

Sina shaka, huko mbeleni, watapatikana wa kuyairodgesha mabaya yote ili hata wasiotambue leo, watapata ufahamu.
 
Acha utani wa ajabu na kejeli kwa watanzania. Huwezi mfananisha Nyerere na Magu ata kidogo
 
Naona mmeamua kutafuta njia ingine ya kuipigania Legacy
Teh! Teheeeeee!!!!!!
 
JPM alikua kiongozi sio tu wa kuigwa bali wa kuenziwa. Ni aina ya viongozi wa pekee sana ambao hutokea kwa uchache dunian na hufanya makubwa snaa... Historia ya JPM ktk uongozi nawez ifananisha na M. SOKOINE. pamoja na kuwa mafisadi na wahujumu uchumi wameweka fedha sana kuifuta historia yake lkn bado jamaa yupo miongoni mwetu mpaka hii leo. JPM ni kiongoz mzalendo na shupavu haijawah kutokea tangu enzi za nyerere kupita.

Wanao kashfu ukwel huo ni kwa sababu kwanza hatuko sawa, pili kuna waliolipwa kwa kazi hiyo, mwisho kuna walio haribiwa uwizi wao na deal zao hawawez kumpenda.

Kiongozi katufanya tuingie uchumi wa kati, katuvusha kwenye corona, kajenga nchi kila kona, katuheshimisha arafu kuna MTU kavimbiwa huko anatak tukubaliane na maneno yak.

JPM aliuwa watu ambao walitaka kuiua nchi. Kwanza hakuua sawasawa ningekua mm ningeua wanafiki na mafisadi wote tena nanyonga kbsa ili mseme vzr takataka nyie
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kweli kuna watu na viatu, yaani una akili timamu then unamkubali muuaji, mwizi na muongo kama Jiwe!!!!
 
Wafuasi wa Jiwe ni watu maskini wajinga na wasio na uelewa wowote wa mambo..

Kundi hilo Nyerere aliwahi wauliza mnataka vyama vingi au chama kimoja eti wakasema chama kimoja..

Akajua Hawa ni mburula akawapuuza na kwenda na Maoni ya wachache werevu..

Hao ndio Jiwe alikuwa anawachezea eti ananunua mahindi kwao mara jogoo na maigizo mengine kama hayo [emoji38][emoji38]
Mkuu umeua bendi kabisa, unajua wajinga na masikini ni wengi kuliko werevu na watu makini? Sasa Jiwe alitembelea kwenye ujinga wao akiwaita wanyonge na wao wanafurahi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kuchukiwa kwa nyerere na magufuli kuna simamiwa na watz wa asili ya KIARABU NA KIINDI wakishilikiana na team yao ambayo ni team msoga ...
Zungu
Rostam
Gsm
Manji
Abood
Singasinga wa pesa za rumbesa
Kikwete
Riziwani
Yussuf makamba na mtoto wake
Kinana
Nape
Membe
Muhongo
Sa100
Hao wamepanga kuwa hotuba za nyerere wala za magufuli zisisikike popote tz
Ungekuwa karibu ningekunasa kibao, yaani Nyerere wetu unamfananisha na takataka kweli????
 
Kila mtu anavigezo vyake vya kulinganisha mambo, mimi naona kuna baadhi ya mambo na sera wanalingana japoMagu alikuwamkali zaidi na hakutaka siasa za kijinga kwenye ukweli.
Nikikuuliza swali dogo kama la bei ya ndege alizonunua sidhani kama unajua, hapo bado ile 1.5 tr kama unajua ilienda wapi.
 
Habari,

Nimekuwa nikipitia mitandao mingi ya Kijamii wachangiaji wakitoa maneno ya kashfa na kuudhi dhidi ya hawa viongozi wetu, ingawa ukipita mitaani hali ni tofauti na kwenye hii mitandao.

Swali ni kwamba kuna vijana huwa wana ajiriwa kwa shughuli hii chafu?

Mwalimu Nyerere na Magufuli ni Marais PEKEE waliopambana na kuhubiri kupinga Ufisadi wazi wazi bila kuogopa, kifupi hizi kebehi na kwamba watu wengi hawafuatilii mambo ila wanafuata mkumbo kama wangeelewa tusingeona haya mambo.

Je, kwa namna walivyojipambanua kupambana na Ufisadi na kuwa Wazalendo kuna haja ya kuweka Sanamu zao pale Dodoma kama Ishara ya Uzalendo? Vijana tukipita tupate hamasa!

View attachment 2237718
View attachment 2237721
Kifo cha shujaa wa Africa kimewauma sana
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kweli kuna watu na viatu, yaani una akili timamu then unamkubali muuaji, mwizi na muongo kama Jiwe!!!!
Huwa naamin ktk utofauti wa kimawazo na mitizamo, ktk utofauti wa fikra na priority

Naamin ktk uongoz imara na sio laini, naamin ktk ujenzi wa taifa na sio kula taifa, naamin kweny uzalendo wa ndan na sio kusifiwa na westerners

Naamin pia kuwa niyapendayo mm na kuyaamin kuwa yafaa yanaweza yakawa vinginevyo kwa wengine na wala hakuna shida.

Pamoja na utofauti wetu huo wote, kuna jambo lipo common ktk maisha nalo n uhalisia wa mambo na ukweli.

JPM alikua kiongozi mzalendo sana, mfia nchi kwelikweli na aliyeipenda TANZANIA mno. Alitamn wananchi wawe na nguv wawe huru wawe na maisha mazur. NI NGUMU MNO MNO MNO KUIFUTA LEGACY YA JPM

JPM ni kama mtume kwa Tanzania hatokuja sahaulika daima na atapendwa na vizazi na vizazi. Jitihada zenu za Kumfuta JPM ktk historia ya TANZANIA ndio humuandika kwa wino wa dhahabu.

Kuhusu JPM hata ww hapo ulipo unajua ukwel kuwa alikua kiongozi shupavu na jabari kbsa
 
A
Jamaa alikuwa mwizi na muuaji hatari
Aliiba nini ndg yang...??? Alimuua nan...??? Huwez kuongelea wizi kipind cha JPM huko n kulogwa na pesa unazokula za kumchafua CHUMA.

Aliiba kitu gan au ufisadi gan yan... Ivi ukila pesa za kumchafua JPM ndio inabid kuwa na roho ya upofu kwa kias hicho... Waambie wakuongez mshahar kwa maan hiyo kaz n ngum sn.

Uvccm wezi sn wanatajana, kifaa cha milion 20 wananunua kwa 170 milions, ngorongoro imeuzwa kwa UAE na masai wanaondolewa, tozo kila kitu, mifumuko ya bei, maisha magumu, uongoz wa ovyo, safar zisizo na tija, usaliti uliokithiri, kesi za mchongo kwa viongozi wa upinzan, kuharibu vyama pinzan mfn NCCR

Huo kwako ndio uongozi, mikopo mpk nchi imewekwa mstari wa hatari na hakuna lolote la maana linafanyika... Shenzi kbsa

JPM hastahili hata kutamkwa na wajinga na mahaini kama nyie
 
Habari,

Nimekuwa nikipitia mitandao mingi ya Kijamii wachangiaji wakitoa maneno ya kashfa na kuudhi dhidi ya hawa viongozi wetu, ingawa ukipita mitaani hali ni tofauti na kwenye hii mitandao.

Swali ni kwamba kuna vijana huwa wana ajiriwa kwa shughuli hii chafu?

Mwalimu Nyerere na Magufuli ni Marais PEKEE waliopambana na kuhubiri kupinga Ufisadi wazi wazi bila kuogopa, kifupi hizi kebehi na kwamba watu wengi hawafuatilii mambo ila wanafuata mkumbo kama wangeelewa tusingeona haya mambo.

Je, kwa namna walivyojipambanua kupambana na Ufisadi na kuwa Wazalendo kuna haja ya kuweka Sanamu zao pale Dodoma kama Ishara ya Uzalendo? Vijana tukipita tupate hamasa!

View attachment 2237718
View attachment 2237721
Nyerere swa. Huyo mwingine kajenge sanamu nyumbani kwako uiabudu. Ukiona haitoshi chukua ushauri aliotoa Ayatolah Zito " Waende Chato wakafukue kaburi wachimbiwe pembeni" yote ni kumuenzi.
 
Kwa hiyo ulifurahia uchafuzi alioufanya magufuri kipindi cha uchaguzi?nazani utakuwa na matatizo,sababu hata waliokuwa huko nyuma viongozi wakubwa,hawakufurahishwa na alichokifanya ndiyo maana walimsnich mapema kabla hajaharibu inchi
Kufurahi ama kuhuzunika sii issue, democrasia ni jumba la sanaa - wala halihitaji huruma. Ukiweza kufanya - fanya, km huwez waachie wengine wafanye
 
Wewe mtoa mada mwondoe Nyerere kwenye hilo andiko lako tafadhali. Kumuweka pamoja na Magufuli muuaji, mwizi, mwongo, mnyang'anyi ni KUMTUKANISHA baba wa Taifa.

Nyerere hii anaongelewa na calible za akina Nelson Mandela, Nkrumah, Mahatma Gandhi nk.

Magufuli mjadili kwenye mada za akina Iddi Amin Dada, Mobutu Seseseko, Nguema na Bokassa
Hakika
 
Habari,

Nimekuwa nikipitia mitandao mingi ya Kijamii wachangiaji wakitoa maneno ya kashfa na kuudhi dhidi ya hawa viongozi wetu, ingawa ukipita mitaani hali ni tofauti na kwenye hii mitandao.

Swali ni kwamba kuna vijana huwa wana ajiriwa kwa shughuli hii chafu?

Mwalimu Nyerere na Magufuli ni Marais PEKEE waliopambana na kuhubiri kupinga Ufisadi wazi wazi bila kuogopa, kifupi hizi kebehi na kwamba watu wengi hawafuatilii mambo ila wanafuata mkumbo kama wangeelewa tusingeona haya mambo.

Je, kwa namna walivyojipambanua kupambana na Ufisadi na kuwa Wazalendo kuna haja ya kuweka Sanamu zao pale Dodoma kama Ishara ya Uzalendo? Vijana tukipita tupate hamasa!

View attachment 2237718
View attachment 2237721
Sidhani kama unao uwelawa wa kutosha; ndiyo maana unathubutu kumweka Nyerere na Magufuli. Kama kuna watu wanamzungumzuia Nyerere, kwa hakika hawamkebehi bali wanakosoa tu baadhi ys sera zake na maamuzi. Hakuna binadamu aliyekamilika. Nyerere alikuwa kiongozi mzuri sana lakini bila shaka yoyote alifanya makosa. Wanaomzungumzia Magufuli wala siyo kwamba wanamkebehi kwa sababu haitoshi hata kidogo kufanya hivyo. Bali wanachojaribu tu kufanya ni kumlaani na kuonyesha jinsi ambavyo mifumo yetu ilivyokosea na kushangaa ilikuwaje nchi hii kupata kiongozi wa aina yake. Kwa hakika kuibuka kwake na kudumu kwake katika madaraka ni jambo ambalo kwa sasa litaendelea kushangaza wengi na bila shaka kuna siku mjadala huru na makini zaidi utakuja kufanyika. Hili haliwezi kupita hivi hivi.
 
Back
Top Bottom