Keir Starmer kuwa Waziri Mkuu mpya wa Uingereza huku Rishi Sunak akikubali kushindwa

Kanji aliwekeza kimbelembele kwenye vita ya Urusi na Ukraine akasahau waingereza wanampimia tu hawali mabomu.

Huyu mpya kama zinamuingia nae aende kwa akili vinginevyo watamla kichwa soon tu.
 
Sir Keir Starmer atakuwa waziri mkuu ajaye wa Uingereza baada ya Rishi Sunak kukubali kushindwa katika kukabiliana na chama cha Labour.

Keir Starmer hatakuwa Waziri Mkuu baada ya Rishi Sunak kukubali kushindwa.

Keir Starmer atakuwa Waziri Mkuu baada ya Rishi Sunak kushindwa.

Mwisho! Period, point blank!

Kule huingii madarakani mwenzio akikubali uingie!

Unaingia ukishinda!

Amekubali, hajakubali!

Futa kichwani mwako hayo ma third world mentality potofu yanayokufanya mpaka unakosea hata kunakiri vichwa vya habari vya wenzio
 
Duh!...mpya hii
mkuu usiniambie hujui namna walowezi wa kingereza walivyoweza kufyeka wenyeji wote katika nchi hizo!

hata hapo Israel, laiti tungekua miaka ya giza, hao wapalestina wangefyekelewa mbali zamani sana, sema ndio hivyo wamepata hio idea miaka ya 1900 mwanzoni kabisa (ndipo walianza kupeleka walowezi wa kwanza wa kingereza hapo),

hujiulizi kwanini ni UK ndiye alianzisha mpango wa kuwarudisha 'wayahudi' hapo?

as of US, Canada, New Zealand, Australia hili lipo hata mitandaoni, ni walowezi wa kingereza ndio walifyeka wenyeji wote kwenye hizo nchi.......

unakumbuka walichokifanya Diego Garcia? waliondoa wenyeji wote na sasa ni base ya kijeshi ya US (ofcoz alikodishiwa na UK kwa miaka 50,), kile kisiwa ni 'mali' ya UK mpk leo ila amekodi US ndio kaweka base ya kijeshi pale......

kwa afrika walijaribu kwa madiba, ikawa too late....... wadachi wamewasumbua sana, pia nadhani mazingira ya wakati huo na nature ya eneo lenyewe iliwasumbua! wao walitaka kuifanya ile 'rasi ya tumaini jema' kuwa nchi, but mazingira hayakuruhusu ndio mana sauzi ipo pale ilipo!
 
Huyu si ndie alichoma mitakataka na kufanya mitambiko ya kihindi mlangoni kabla hajaingia ofisini kama PM? Kwa tukio lile peke yake waingereza wasingemwacha! Ilikuwa matusi makubwa kwao!
Ndio tatizo lilianza hapo,amwulize Thabo Mbeki na Victoria Sabuni
 
Hizo sababu zote ulizotaja chanzo chake ni kudorora kwa uchumi. Sababu ya kudorora ndo hiyo ya kuburuzwa na Marekani kujiingiza kwenye vita ya Urusi vs Ukraine
 
Vita vya kujitakia na utitiri wa wahamiaji haramu umegharimu mataifa mengi ya dunia ya kwanza.

UK iligeuka kuwa kama Mumbai sijui Pakistani etc

Lengo kuu kwa utawala mpya Europe North America ni kusafisha nchi zao.

Kutakuwa na deportation kubwa kwa hizi nchi..
 
Sema Uingereza ni nchi inayoelekea kufeli kiuchumi. Kinachoifanya iendelee kujikongonya ni uimara wa pesa yao tu. Wananchi wanataka kumantain standard yao ya maisha wakati hali haziruhusu.
Hii coment inatakiwa iekewe lamination
Ila uingereza ishafeli tayari sema pesa yake inaifanya tu isianguke kwa haraka ila anguko la uingereza kiukweli halikwepeki kwenye hio angle ya uchumi nisuala la muda tuu
 
hajatoka kwasababu ya kuipiga vita urusi bali kwasababu Rish hakuwa strong hivyo wanahitaj mtu atakae irudisha heshima ya UK na kulinda tamaduni zao UK
Na watangulizi wake nawo hawakua syrong?
 
Sirikali zinazoondoka hapo uingereza sio sababu ya makosa madogo kama unavyotaka kuaminisha watu
Kuhusiana na suala la uingereza kwamba wapo na uchumi kama unavyosema hili lipo wazi
Ila ukweli nikwamba kwamiaka sasa zaidi ya kumi uingereza uchumi wake haupo stable gharama za maisha zipo juu
Uingereza kwasasa wanagawa mpaka vyakula kwa watu kisa tu hawana uwezo wakujinunulia wenyewe uingereza inflation imekua juu sana kodi za majengo zimekuaa juu sana kodi za umeme maji nk zimekua juu sana
Sunak katoka kwa kushindwa kuueka uchumi wa UK walau ukatengemaa na haujaanzia kwakw yeye kafanywa tu mbuzi wa kafara kwakweli
UK wanahitajia wafanye kazi laa sivyo baada ya miaka miwili kama itafika watafanya tena uchafuzi kama wajuzi halaf watu watakuja kuwasifu hapa kama wana demokrasia kumbe ni kufeli kwa sirikali zao kila muda
 
Reporting ........
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…