The best_of _me
JF-Expert Member
- Jun 7, 2017
- 242
- 486
😂😂😂 vipofu wawili wakiongozana….Hahahah harud umemzid kwa hoja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂 vipofu wawili wakiongozana….Hahahah harud umemzid kwa hoja
Siyo kwa CCM afe kipa afe beki! Bao la mkono chwa!iyo ndio siasa safi akuna kuibiana kura.
Well Said Mkuu, sisi TZ ndio bado tuna “ tumpe muda”… hizi tumpe muda hakunaga huko UK…Uingereza raia wake ni too demanding na wana deko la kuwa na historia ya viongozi wazuri zamani. Hawaridhiki na hawakubali mapungufu kidogo au uwezo pungufu kidogo wa kiongozi. Na hawana muda wa tumpe muda sijui tuwe na imani, mara anashauriwa vibaya. Wao ukifanya kosa moja ndio wamemaliza hivyo hawana imani na wewe.
Demokrasia hiyo......Sir Keir Starmer atakuwa waziri mkuu ajaye wa Uingereza baada ya Rishi Sunak kukubali kushindwa katika kukabiliana na chama cha Labour.
Waziri Mkuu Sunak alisema wapiga kura wametoa "uamuzi wa kutisha" juu ya chama chake baada ya miaka 14 madarakani.
Kiongozi wa chama cha Labour Sir Keir Starmer alisema watu kote nchini Uingereza walikuwa wametangaza kuwa "tayari kwa mabadiliko".
Katika hotuba yake ya kukubali kushindwa baada ya kushikilia kiti chake cha Richmond na Northallerton, Bw Sunak alisema: "Chama cha Labour kimeshinda Uchaguzi huu Mkuu na nimempigia simu Sir Keir Starmer kumpongeza kwa ushindi wake."
Bw Sunak aliongeza: “Leo, tutabadilishana mamlaka kwa njia ya amani na yenye utaratibu na nia njema kwa pande zote. "Na ni jambo ambalo linapaswa kutupa imani sote katika utulivu na mustakabali wa nchi yetu."
"Watu wa Uingereza wametoa uamuzi mzito usiku wa leo, kuna mengi ya kujifunza ... na ninawajibika kwa hasara hiyo. Kwa watahiniwa wengi wazuri, wa Kihafidhina waliofanya kazi kwa bidii ambao wamepoteza usiku wa leo, licha ya juhudi zao zisizo na kuchoka, rekodi zao za mitaa na utoaji, na kujitolea kwao kwa jumuiya zao. Samahani."
=====
Pia soma: UK General Election: Waingereza leo kupiga kura kumchagua Waziri Mkuu na Wabunge
Ikitokea na Trump ameshinda Urais USA, hiyo vita ya Ukraine na Urusi haipo mbali kumalizika.Uingereza raia wake ni too demanding na wana deko la kuwa na historia ya viongozi wazuri zamani. Hawaridhiki na hawakubali mapungufu kidogo au uwezo pungufu kidogo wa kiongozi. Na hawana muda wa tumpe muda sijui tuwe na imani, mara anashauriwa vibaya. Wao ukifanya kosa moja ndio wamemaliza hivyo hawana imani na wewe.
Uingereza iko top 10 kati ya nchi zenye uchumi mkubwa duniani. Wako hivyo sababu hawakubali kulea madhaifu madogo, huwezi kazi tembea aje mwingine.Yalioikumbuka uingereza sio mapungufu kidogo
Unadhani ma PM wote watano walikua na mapungufu madogo madogo kama usemavyo
Kiukweli UK kuna majambo hayapo sawa haiwezekani nchi kama UK ndani ya miaka 7 sijui 8 wawe washabadilisha PM zaidi ya watatu kisa jambo dogo tuuu
hujui kama Sunak ni mlengo wa kulia?Demokrasia hiyo......
Angalau hata UK wameepuka. kiongozi wa mrengo ule wa kulia...hawa jamaa wasumbufu.
Propaganda za BBC , wenzetu wanaangalia kitu gani kinawapa unafuu kwenye maishaUingereza 🇬🇧 na Waingereza wanaamini adui wao mkubwa ni Mrusi ...
Sera za Uingereza za kuingia vitani au kutokutenda hiyo siyo kazi ya PM bali ni kazi ya vitengo vya usalama na sera zao za ma,ni ya nje. Utaona kama huyo waziri mkuu hataisaidia UkraineLilikuwa ni suala tu la muda. Kwanza mtu mwenye aliipata hiyo nafasi kwa bahati nasibu tu. Halafu akajifanya kiherehere kuingia kwenye vita dhidi ya Urusi.
Na bado viherehere wenzake wengine. Wote watatoka madarakani na hivyo kuingia serikali mpya. Na hii ni kuan,ia hapo Uingereza, Ufaransa, Ujerumani, Marekani kwenyewe, nk. Kote wananchi wanafanya mabadiliko baada ya nchi zao kujiingiza kwenye mgogoro wa Urusi vs Ukraine na hivyo kuwasababishia athari za kutosha tu za kiuchumi.
Huyu kakaa muda mrefu kidogo kuliko mtangulizi wakeHuyu jamaa kakaa madarakani muda gani ?
Wewe ndio huna akili kabisa, huwezi kuwatenganisha, UK, USA na Israel ni kitu kimoja.Pamoja na ushindi mwingereza amepoteana sana; wamethibitisha kuwa si wale watu tulioamini 'wana akili'.
Labour wakiweza kukwepa mitego hatimaye kutoburuzwa na US nitahisi wameanza kujitambua.
Trump hata akishinda hana uwezo wa kupingana na US interest.Ikitokea na Trump ameshinda Urais USA, hiyo vita ya Ukraine na Urusi haipo mbali kumalizika.
kakaa kidogo kuliko mtangulizi wake?Huyu kakaa kidogo kuliko mtangulizi wake
mkuu zinduka usingizini,Pamoja na ushindi mwingereza amepoteana sana; wamethibitisha kuwa si wale watu tulioamini 'wana akili'.
Labour wakiweza kukwepa mitego hatimaye kutoburuzwa na US nitahisi wameanza kujitambua.
Kaosha CV,kushindwa ilikua lazimaKanjibai kashindwa vibaya sanaaa
Duh!...mpya hiimkuu zinduka usingizini,
british empire haijawahi kufa, na nchi zinazounda hio empire ni UK yenyewe,US, Canada, New Zealand, Australia, na Israeli,....... (hizo nchi zote ni waingereza hao, hakuna myahudi humo)
Sentence ilikuwa tata kwako. Nimeirekebisha.kakaa kidogo kuliko mtangulizi wake?
unajua mtangulizi wake alikaa siku ngap?
kwa taarifa yako Liz alikaa siku 45 tu,
Siasa ni fursa