Sema kwa viongozi sio wananchi.Siasa safi kwa wananchi wanaojitambua, na siasa chafu ni kwa wananchi wasiojitambua.
Viongozi wanaojitambua ama taasisi ama serikali inayojitambua.
Kama wananchi hawajitambui uhangaike kuiba kura ili iweje!?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sema kwa viongozi sio wananchi.Siasa safi kwa wananchi wanaojitambua, na siasa chafu ni kwa wananchi wasiojitambua.
Atafanya jipya lipi kuzidi watangulizi wakeSera dhidi ya Urusi sio suala binafsi la Sunak. Ngoja aje huyu mzoefu wa serikali ndio utajua hujui.
Mchakato unaruhusu hilo kuwepo.Yaani wenzetu wanaweka maslahi ya nchi mbele kuliko kitu chochote!jamaa kakubali kushindwa kwa uungwana kabisaa!ila huku Africa sasa!tafrani tupu!sijui nani alituloga walah
Yalioikumbuka uingereza sio mapungufu kidogoUingereza raia wake ni too demanding na wana deko la kuwa na historia ya viongozi wazuri zamani. Hawaridhiki na hawakubali mapungufu kidogo au uwezo pungufu kidogo wa kiongozi. Na hawana muda wa tumpe muda sijui tuwe na imani, mara anashauriwa vibaya. Wao ukifanya kosa moja ndio wamemaliza hivyo hawana imani na wewe.
Chama chao ilikua inasubiriwa elwction tu,Sir Keir Starmer atakuwa waziri mkuu ajaye wa Uingereza baada ya Rishi Sunak kukubali kushindwa katika kukabiliana na chama cha Labour.
Waziri Mkuu Sunak alisema wapiga kura wametoa "uamuzi wa kutisha" juu ya chama chake baada ya miaka 14 madarakani.
Kiongozi wa chama cha Labour Sir Keir Starmer alisema watu kote nchini Uingereza walikuwa wametangaza kuwa "tayari kwa mabadiliko".
Katika hotuba yake ya kukubali kushindwa baada ya kushikilia kiti chake cha Richmond na Northallerton, Bw Sunak alisema: "Chama cha Labour kimeshinda Uchaguzi huu Mkuu na nimempigia simu Sir Keir Starmer kumpongeza kwa ushindi wake."
Bw Sunak aliongeza: “Leo, tutabadilishana mamlaka kwa njia ya amani na yenye utaratibu na nia njema kwa pande zote. "Na ni jambo ambalo linapaswa kutupa imani sote katika utulivu na mustakabali wa nchi yetu."
"Watu wa Uingereza wametoa uamuzi mzito usiku wa leo, kuna mengi ya kujifunza ... na ninawajibika kwa hasara hiyo. Kwa watahiniwa wengi wazuri, wa Kihafidhina waliofanya kazi kwa bidii ambao wamepoteza usiku wa leo, licha ya juhudi zao zisizo na kuchoka, rekodi zao za mitaa na utoaji, na kujitolea kwao kwa jumuiya zao. Samahani."
=====
Pia soma: UK General Election: Waingereza leo kupiga kura kumchagua Waziri Mkuu na Wabunge
Bora akale pilipili zake sasaKanjibai kwishney malgeya
NimemkumbukaUingereza raia wake ni too demanding na wana deko la kuwa na historia ya viongozi wazuri zamani. Hawaridhiki na hawakubali mapungufu kidogo au uwezo pungufu kidogo wa kiongozi. Na hawana muda wa tumpe muda sijui tuwe na imani, mara anashauriwa vibaya. Wao ukifanya kosa moja ndio wamemaliza hivyo hawana imani na wewe.
Asante kwa ufafanuzi huuWamewawekea majasusi kutoka civil services kwenye uongozi wa labour ilikuwa lazima ishinde baada ya chaos ya miaka 6 kwenye uongozi wa juu ndani ya conservatives.
Key player hapo ni ‘Rachel Reeves’ shadow chancellor ‘the city’ (financial and equity markets) wana imani nae uchumi utabaki salama chini yake sio mtu atakepeleka policies hatari kwao. Ndio maana huu uchaguzi wamekaa kimya.
Keir Starmer ni career civil servant last alikuwa DPP
Rachel Reeves kafanya kazi bank kuu, katoka hapo kaenda foreign office, mshauri mkuu wa mambo ya sera za uchumi na dunia, baadae U.K. embassy in US kushauri uchumi. Kurudi U.K. private banking, kaacha kazi ya mshahara wa pound million kadhaa with bonus kwenda kwenye siasa; wakati head hunters wa mabank wanamgombania.
Wamejaza civil servants kadhaa huko juu ambao sio career politicians, kushindwa ilikuwa possibility ndogo sana.
Ulaya na kwingineko zinaingia Serikali ambazo zinapinga uhamiaji holela na dini za kigeni.Lilikuwa ni suala tu la muda. Kwanza mtu mwenye aliipata hiyo nafasi kwa bahati nasibu tu. Halafu akajifanya kiherehere kuingia kwenye vita dhidi ya Urusi.
Na bado viherehere wenzake wengine. Wote watatoka madarakani na hivyo kuingia serikali mpya. Na hii ni kuan,ia hapo Uingereza, Ufaransa, Ujerumani, Marekani kwenyewe, nk. Kote wananchi wanafanya mabadiliko baada ya nchi zao kujiingiza kwenye mgogoro wa Urusi vs Ukraine na hivyo kuwasababishia athari za kutosha tu za kiuchumi.
roho mbaya na ubinafsi.Natamani huku Afrika nako chaguzi zingekuwa hivi. Sijui huwa nini inakuwa hofu ya watawala kuachia wenzao walioshinda.
Safi SanaSir Keir Starmer atakuwa waziri mkuu ajaye wa Uingereza baada ya Rishi Sunak kukubali kushindwa katika kukabiliana na chama cha Labour.
Waziri Mkuu Sunak alisema wapiga kura wametoa "uamuzi wa kutisha" juu ya chama chake baada ya miaka 14 madarakani.
Kiongozi wa chama cha Labour Sir Keir Starmer alisema watu kote nchini Uingereza walikuwa wametangaza kuwa "tayari kwa mabadiliko".
Katika hotuba yake ya kukubali kushindwa baada ya kushikilia kiti chake cha Richmond na Northallerton, Bw Sunak alisema: "Chama cha Labour kimeshinda Uchaguzi huu Mkuu na nimempigia simu Sir Keir Starmer kumpongeza kwa ushindi wake."
Bw Sunak aliongeza: “Leo, tutabadilishana mamlaka kwa njia ya amani na yenye utaratibu na nia njema kwa pande zote. "Na ni jambo ambalo linapaswa kutupa imani sote katika utulivu na mustakabali wa nchi yetu."
"Watu wa Uingereza wametoa uamuzi mzito usiku wa leo, kuna mengi ya kujifunza ... na ninawajibika kwa hasara hiyo. Kwa watahiniwa wengi wazuri, wa Kihafidhina waliofanya kazi kwa bidii ambao wamepoteza usiku wa leo, licha ya juhudi zao zisizo na kuchoka, rekodi zao za mitaa na utoaji, na kujitolea kwao kwa jumuiya zao. Samahani."
=====
Pia soma: UK General Election: Waingereza leo kupiga kura kumchagua Waziri Mkuu na Wabunge
Wananchi ndio chanzo!! Sasa hata unapoiba kura hakuna wanaloweza fanya, unategemea nini??! Viongozi wa kizungu wanajitambua toka utotoni, na hawana njaa, AFrica shida ni njaa na ubinafsi wetu.Sema kwa viongozi sio wananchi.
Viongozi wanaojitambua ama taasisi ama serikali inayojitambua.
Kama wananchi hawajitambui uhangaike kuiba kura ili iweje!?
Ni vizuri ukijikita kwenye kutoa maoni yako. Masuala ya kuhisi mimi natumia mihemko zaidi, yanaingiaje hapa? Kama unazifahamu vizuri hizo siasa za Uingereza, ziweke hapa jukwaani na tutakuelewa vizuri tu. Huo ni mtazamo wangu tu.Fuatilia vizuri siasa za UK kabla ya kutoa maoni yako. Nahisi hapa unatumia mihemko zaidi kuliko hali halisi ilivyo. Huyo Sunak alikuwa Waziri Mkuu wa tatu kipindi cha miaka mitano.
Kwa hiyo nikusaidieje! Hili ni jukwaa huru. Mbona huuweki sasa huo uelewa wako? Au wewe shida yako ni hiyo mihemko yangu?Ni sawa lakini huo mtazamo wako unapotosha na unaonyesha unatumia mihemuko zaidi ya uelewa wa unachokisema.
Inaonyesha hata hujui unachokitolea mtazamo
Urusi ni noma sana, wamemuondoa madarakani waziri mkuu wa Uingereza huku wakimuweka wanayemtakaLilikuwa ni suala tu la muda. Kwanza mtu mwenye aliipata hiyo nafasi kwa bahati nasibu tu. Halafu akajifanya kiherehere kuingia kwenye vita dhidi ya Urusi.
Na bado viherehere wenzake wengine. Wote watatoka madarakani na hivyo kuingia serikali mpya. Na hii ni kuan,ia hapo Uingereza, Ufaransa, Ujerumani, Marekani kwenyewe, nk. Kote wananchi wanafanya mabadiliko baada ya nchi zao kujiingiza kwenye mgogoro wa Urusi vs Ukraine na hivyo kuwasababishia athari za kutosha tu za kiuchumi.
Lilikuwa ni suala tu la muda. Kwanza mtu mwenye aliipata hiyo nafasi kwa bahati nasibu tu. Halafu akajifanya kiherehere kuingia kwenye vita dhidi ya Urusi.
Na bado viherehere wenzake wengine. Wote watatoka madarakani na hivyo kuingia serikali mpya. Na hii ni kuan,ia hapo Uingereza, Ufaransa, Ujerumani, Marekani kwenyewe, nk. Kote wananchi wanafanya mabadiliko baada ya nchi zao kujiingiza kwenye mgogoro wa Urusi vs Ukraine na hivyo kuwasababishia athari za kutosha tu za kiuchumi.
Hehehehe.Wananchi ndio chanzo!! Sasa hata unapoiba kura hakuna wanaloweza fanya, unategemea nini??! Viongozi wa kizungu wanajitambua toka utotoni, na hawana njaa, AFrica shida ni njaa na ubinafsi wetu.