Keir Starmer kuwa Waziri Mkuu mpya wa Uingereza huku Rishi Sunak akikubali kushindwa

Keir Starmer kuwa Waziri Mkuu mpya wa Uingereza huku Rishi Sunak akikubali kushindwa

View attachment 3033954
Sir Keir Starmer atakuwa waziri mkuu ajaye wa Uingereza baada ya Rishi Sunak kukubali kushindwa katika kukabiliana na chama cha Labour.

Waziri Mkuu Sunak alisema wapiga kura wametoa "uamuzi wa kutisha" juu ya chama chake baada ya miaka 14 madarakani.

View attachment 3033955
Kiongozi wa chama cha Labour Sir Keir Starmer alisema watu kote nchini Uingereza walikuwa wametangaza kuwa "tayari kwa mabadiliko".

Katika hotuba yake ya kukubali kushindwa baada ya kushikilia kiti chake cha Richmond na Northallerton, Bw Sunak alisema: "Chama cha Labour kimeshinda Uchaguzi huu Mkuu na nimempigia simu Sir Keir Starmer kumpongeza kwa ushindi wake."

Bw Sunak aliongeza: “Leo, tutabadilishana mamlaka kwa njia ya amani na yenye utaratibu na nia njema kwa pande zote. "Na ni jambo ambalo linapaswa kutupa imani sote katika utulivu na mustakabali wa nchi yetu."

"Watu wa Uingereza wametoa uamuzi mzito usiku wa leo, kuna mengi ya kujifunza ... na ninawajibika kwa hasara hiyo. Kwa watahiniwa wengi wazuri, wa Kihafidhina waliofanya kazi kwa bidii ambao wamepoteza usiku wa leo, licha ya juhudi zao zisizo na kuchoka, rekodi zao za mitaa na utoaji, na kujitolea kwao kwa jumuiya zao. Samahani."
Haya Mabadiliko yataendelea Ufaransa na Marekani
 
View attachment 3033954
Sir Keir Starmer atakuwa waziri mkuu ajaye wa Uingereza baada ya Rishi Sunak kukubali kushindwa katika kukabiliana na chama cha Labour.

Waziri Mkuu Sunak alisema wapiga kura wametoa "uamuzi wa kutisha" juu ya chama chake baada ya miaka 14 madarakani.

View attachment 3033955
Kiongozi wa chama cha Labour Sir Keir Starmer alisema watu kote nchini Uingereza walikuwa wametangaza kuwa "tayari kwa mabadiliko".

Katika hotuba yake ya kukubali kushindwa baada ya kushikilia kiti chake cha Richmond na Northallerton, Bw Sunak alisema: "Chama cha Labour kimeshinda Uchaguzi huu Mkuu na nimempigia simu Sir Keir Starmer kumpongeza kwa ushindi wake."

Bw Sunak aliongeza: “Leo, tutabadilishana mamlaka kwa njia ya amani na yenye utaratibu na nia njema kwa pande zote. "Na ni jambo ambalo linapaswa kutupa imani sote katika utulivu na mustakabali wa nchi yetu."

"Watu wa Uingereza wametoa uamuzi mzito usiku wa leo, kuna mengi ya kujifunza ... na ninawajibika kwa hasara hiyo. Kwa watahiniwa wengi wazuri, wa Kihafidhina waliofanya kazi kwa bidii ambao wamepoteza usiku wa leo, licha ya juhudi zao zisizo na kuchoka, rekodi zao za mitaa na utoaji, na kujitolea kwao kwa jumuiya zao. Samahani."
Yaani wenzetu wanaweka maslahi ya nchi mbele kuliko kitu chochote!jamaa kakubali kushindwa kwa uungwana kabisaa!ila huku Africa sasa!tafrani tupu!sijui nani alituloga walah
 
View attachment 3033954
Sir Keir Starmer atakuwa waziri mkuu ajaye wa Uingereza baada ya Rishi Sunak kukubali kushindwa katika kukabiliana na chama cha Labour.

Waziri Mkuu Sunak alisema wapiga kura wametoa "uamuzi wa kutisha" juu ya chama chake baada ya miaka 14 madarakani.

View attachment 3033955
Kiongozi wa chama cha Labour Sir Keir Starmer alisema watu kote nchini Uingereza walikuwa wametangaza kuwa "tayari kwa mabadiliko".

Katika hotuba yake ya kukubali kushindwa baada ya kushikilia kiti chake cha Richmond na Northallerton, Bw Sunak alisema: "Chama cha Labour kimeshinda Uchaguzi huu Mkuu na nimempigia simu Sir Keir Starmer kumpongeza kwa ushindi wake."

Bw Sunak aliongeza: “Leo, tutabadilishana mamlaka kwa njia ya amani na yenye utaratibu na nia njema kwa pande zote. "Na ni jambo ambalo linapaswa kutupa imani sote katika utulivu na mustakabali wa nchi yetu."

"Watu wa Uingereza wametoa uamuzi mzito usiku wa leo, kuna mengi ya kujifunza ... na ninawajibika kwa hasara hiyo. Kwa watahiniwa wengi wazuri, wa Kihafidhina waliofanya kazi kwa bidii ambao wamepoteza usiku wa leo, licha ya juhudi zao zisizo na kuchoka, rekodi zao za mitaa na utoaji, na kujitolea kwao kwa jumuiya zao. Samahani."
Wazungu wanajali sn maslahi ya nchi yao
 
Yaani wenzetu wanaweka maslahi ya nchi mbele kuliko kitu chochote!jamaa kakubali kushindwa kwa uungwana kabisaa!ila huku Africa sasa!tafrani tupu!sijui nani alituloga walah
Chukulia mfano wewe ndio mgombea na ukamuona kabisa mgombea mwenzako anakimbia na box la kura. Je, utakubali kushindwa kihalali?
 
Hasa kipindi cha jpm. Mpka watu wakawa wanasema eti hata marekani na uingereza hakuna demokrasy ili tu kujustify jpm aendelee kutukandamiza
Tulijua tu Shehe Ubwabwa ni lazima umponde Magufuli!!

Uchaguzi wa 2025 mtalitaja tu jina la JPM Kwa wema Ili mshinde!! Tukaneni muone
 
Sir Keir Starmer atakuwa waziri mkuu ajaye wa Uingereza baada ya Rishi Sunak kukubali kushindwa katika kukabiliana na chama cha Labour.

Waziri Mkuu Sunak alisema wapiga kura wametoa "uamuzi wa kutisha" juu ya chama chake baada ya miaka 14 madarakani.

Kiongozi wa chama cha Labour Sir Keir Starmer alisema watu kote nchini Uingereza walikuwa wametangaza kuwa "tayari kwa mabadiliko".

Katika hotuba yake ya kukubali kushindwa baada ya kushikilia kiti chake cha Richmond na Northallerton, Bw Sunak alisema: "Chama cha Labour kimeshinda Uchaguzi huu Mkuu na nimempigia simu Sir Keir Starmer kumpongeza kwa ushindi wake."

Bw Sunak aliongeza: “Leo, tutabadilishana mamlaka kwa njia ya amani na yenye utaratibu na nia njema kwa pande zote. "Na ni jambo ambalo linapaswa kutupa imani sote katika utulivu na mustakabali wa nchi yetu."

"Watu wa Uingereza wametoa uamuzi mzito usiku wa leo, kuna mengi ya kujifunza ... na ninawajibika kwa hasara hiyo. Kwa watahiniwa wengi wazuri, wa Kihafidhina waliofanya kazi kwa bidii ambao wamepoteza usiku wa leo, licha ya juhudi zao zisizo na kuchoka, rekodi zao za mitaa na utoaji, na kujitolea kwao kwa jumuiya zao. Samahani."

=====

Pia soma: UK General Election: Waingereza leo kupiga kura kumchagua Waziri Mkuu na Wabunge
Mara baada ya muda mdogo utasikia Sir Keir Starmer anatakiwa kujiuzulu kwa kushindwa kumudu uchumi
 
Chukulia mfano wewe ndio mgombea na ukamuona kabisa mgombea mwenzako anakimbia na box la kura. Je, utakubali kushindwa kihalali?
Unajuaje kabeba sanduku la kura yaweza kuwa kabeba lunch boxes anapelekea mawakala wake wakale
Masanduku ya kura yanafanana sana na masanduku ya kubebea lunch boxes za kubeba vyakula kusambaza mitaani

Si.kila king'aaacho.dhahabu wewe tuliza mpira
 
Unajuaje kabeba sandakan la kura yaweza kuwa kabeba lunch boxes anapelekea mawakala wake wakale
Masanduku ya kura yanafanana sana na masanduku ya kubebea lunch boxes za kubeba vyakula kusambaza mitaani

Si.kila kingaaacho.dhahabu wewe tuliza mpira
Kwa akili hizi ndio maana uongozi wanapewa waliotoka Upinzani nyie mnaishia kuzeekea hapo UVCCM.
 
Lilikuwa ni suala tu la muda. Kwanza mtu mwenye aliipata hiyo nafasi kwa bahati nasibu tu. Halafu akajifanya kiherehere kuingia kwenye vita dhidi ya Urusi.

Na bado viherehere wenzake wengine. Wote watatoka madarakani na hivyo kuingia serikali mpya. Na hii ni kuan,ia hapo Uingereza, Ufaransa, Ujerumani, Marekani kwenyewe, nk. Kote wananchi wanafanya mabadiliko baada ya nchi zao kujiingiza kwenye mgogoro wa Urusi vs Ukraine na hivyo kuwasababishia athari za kutosha tu za kiuchumi.
Hizi sababu ni zako binafsi wala siyo ambazo zimefanya Tories washindwe uchaguzi. Waingereza wana shida zao kama kupanda kwa kugharama za makazi, huduma mbovu za afya (NHS) na masuala mazima ya uhamiaji ambao waingereza wengi wanaupinga kwa sababu ndo sehemu ya kuongezeka kwa gharama ya maisha na kuongeza pressure kwenye huduma za afya.
Suala la vita ya Urusi vs Ukraine wote sera yao ni moja ambayo ni kuisaidia Ukraine dhidi ya Urusi.
Kwa taarifa yako tu Tory imeanza kuchokwa tangu mwaka 2021 kipindi ambacho Waziri Mkuu alikuwa Boris Johnson, baadaye Ritz Truss Waziri Mkuu ambaye aliweka rekodi ya kukaa muda mfupi zaidi (Siku 44) ndo akaja Sunak. Conservative kushindwa uchaguzi ni kitu ambacho kilikuwa hakikwepeki japo hata hiyo Labour yenyewe Waingereza hawaimini ndo maana chama kama Reform UK ambacho kinapinga Uhamiaji kimepata kura nyingi japo hakijapata viti vingi vya bunge.
 
Back
Top Bottom