Kelele za Tundu Lissu akiwa Ubelgiji ni sawa na fimbo ya mbali isiyoweza kuua nyoka. Arudi bongoland kuweka mbinyo wa kisiasa

Kelele za Tundu Lissu akiwa Ubelgiji ni sawa na fimbo ya mbali isiyoweza kuua nyoka. Arudi bongoland kuweka mbinyo wa kisiasa

Idugunde

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2020
Posts
6,404
Reaction score
6,969
Fimbo ya mbali haiwezi kuua nyoka hata kidogo. Lazima iwe karibu na kumfikia nyoka na kisha kumuua.

Lissu yupo Brussel anakula bata kwa mrija, lakini ana malalamiko mengi juu ya mambo yanayotamaraki hapa Tanzania.

Analalamika juu ya kutokuwa na katiba inayokidhi mahitaji ya watanzania. Hivyo anataka Tanzania wapate katiba mpya. Sasa akilalama akiwa Brusels ndio ujumbe utafika vizuri? No anatakiwa aje hapa bongo.

Analalamika juu ya utawala usiofuata sheria na kubambikia watu kesi. Mfano anadai kuwa Mbowe amebambikiwa tuhuma za ugaidi. Lissu aje Tanzania na awasaidie watu kama Mbowe ambao wanaoenewa. Maana msaada wake ni mahakamani.

Kwa ujumla Lissu ana malalamiko mengi ambayo kimsingi hawezi kuyafikisha akiwa Brusele anakula kuku kwa mrija huku anasikiliza rhumba la Kikongo.

N.B . Idugunde ni member wa Jf anayeishi Igunga akifanya kilimo cha Mpunga. Sio mwananchama wa chama chochote kile.
 
Fimbo ya mbali haiwezi kuua nyoka hata kidogo. Lazima iwe karibu na kumfikia nyoka na kisha kumuua.

Lissu yupo Brussel anakula bata kwa mrija, lakini ana malalamiko mengi juu ya mambo yanayotamaraki hapa Tanzania.

Analalamika juu ya kutokuwa na katiba inayokidhi mahitaji ya watanzania. Hivyo anataka Tanzania wapate katiba mpya. Sasa akilalama akiwa Brusels ndio ujumbe utafika vizuri? No anatakiwa aje hapa bongo.

Analalamika juu ya utawala usiofuata sheria na kubambikia watu kesi. Mfano anadai kuwa Mbowe amebambikiwa tuhuma za ugaidi. Lissu aje Tanzania na awasaidie watu kama Mbowe ambao wanaoenewa. Maana msaada wake ni mahakamani.

Kwa ujumla Lissu ana malalamiko mengi ambayo kimsingi hawezi kuyafikisha akiwa Brusele anakula kuku kwa mrija huku anasikiliza rhumba la Kikongo.

N.B . Idugunde ni member wa Jf anayeishi Igunga akifanya kilimo cha Mpunga. Sio mwananchama wa chama chochote kile.
Wewe ni kijani,tena kijani bambikizi, kama sii sehemu ya timu yenyewe.
 
1631269505865.png
 
Lisu arudi nyumbani

..sio jambo la ajabu kwa WANAHARAKATI kulazimika kuhama nchi zao kwa muda.

..Tunao viongozi wengi wa Afrika ambao wamepata kuishi uhamishoni, kwa mfano Thabo Mbeki, Jacob Zuma, Robert Mugabe, Sam Nujoma, Emerson Mnangagwa, na wengine.
 
..sio jambo la ajabu kwa WANAHARAKATI kulazimika kuhama nchi zao kwa muda.

..Tunao viongozi wengi wa Afrika ambao wamepata kuishi uhamishoni, kwa mfano Thabo Mbeki, Jacob Zuma, Robert Mugabe, Sam Nujoma, Emerson Mnangagwa, na wengine.
Harakati huzaa matunda ikiwa tu zinafanyikia home ground. Ndio maana hata Anc walikuwa wanarudi kufanya mashambulizi nyumbani.
 
Back
Top Bottom